Ni nani huyu anayevujisha habari za Serikali yetu kule Canada?!

Mkuu mbona Mumbai mwewe wetu anaenda kama kawaida hadi sasa?
Hivyo ndivyo nilivyopata taarifa kutoka kwa supplier wa ATCL.
 
Wakati mwingine akili yako huwa inapinda (inagota) sana.

Hapa unachochea nini kwa mada hii?
 
Scapegoat.
Anayedai atakosaje kujua anadai nn?
Akili za kushikiwa! Mara ngapi mnatangaza ujio wa ndege mpya. Inafanywa siri watu wanapojazana uwanja wa ndege kuzipokea?
 
Scapegoat.
Anayedai atakosaje kujua anadai nn?
Akili za kushikiwa! Mara ngapi mnatangaza ujio wa ndege mpya. Inafanywa siri watu wanapojazana uwanja wa ndege kuzipokea?
Halafu prof. anashindwa kungamua kuwa inategemea na sheria za nchi husika.
 
Kelele za nini lipeni deni.
 
Mkulima ni nani,
Nani aliopo nyuma ya mkulima,
Nani aliyempa taarifa kama ndege yetu ipo kanada na itatoka na tarehe hiyo.
Ni wakati mzuri wa kushughulika nao.
WAKIWEKA UGOKO WEKA CHUMA!
 
Hana Lolote, Muda Huu Nadhani Atalipa Fidia Serikali Ya Viwanda Haiwezi Kuvumilia Ujinga
Jambo Hilo Hilo Kila Mara Na Ameshindwa Hadharani

Waziri Naye Ajitafakari Sana Kuhusu Ambassador Asijekuwa Anatumika
 
Mabeberu Kanyaga,vibaraka kanyaga,mabwanyenye kanyagakanyagaaaaa......
πŸ˜€πŸ˜πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜…πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜…πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Mkulima Shida Sana Ndugu Yangu
Yaani
 
Huyu mkulima ni msumbufu sana. Halafu anaweza vp kuishawishi mamlaka zifanye haya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…