Mkuu mbona Mumbai mwewe wetu anaenda kama kawaida hadi sasa?Prof. Kabudi ni mwalimu wangu, anajua kabisa justice system ya US sio common law system hivyo foreign awards za common law are only applicable kwenye commonwealth countries. Ndio maana baada ya South Africa ni Canada, wanasubirua safari za Mumbai na UK. US na China ni salama kabisa na Kabudi analijua hili vizuri tuu.
.
P
Wakati mwingine akili yako huwa inapinda (inagota) sana.Waziri Prof Kabudi ameuliza swali zuri sana kwamba.......Mbona Dream liner zote mbili zilizotokea Marekani zilifika salama hazikukamatwa??.......kulikoni Canada?
Waswahili walisema " kikulacho ki nguoni mwako".......Prof aliangalie jambo hili kwa umakini mkubwa maana hawa wapinzani wa kisiasa wa hapa Bongo pamoja na usaliti wao ujanja wao unaishia humu humu ndani labda kidogo wanaishia SA.
Swali lako Prof Kabudi ni la maana sana........Kwanini Canada?
Maendeleo hayana vyama!
Scapegoat.Waziri Prof Kabudi ameuliza swali zuri sana kwamba.......Mbona Dream liner zote mbili zilizotokea Marekani zilifika salama hazikukamatwa??.......kulikoni Canada?
Waswahili walisema " kikulacho ki nguoni mwako".......Prof aliangalie jambo hili kwa umakini mkubwa maana hawa wapinzani wa kisiasa wa hapa Bongo pamoja na usaliti wao ujanja wao unaishia humu humu ndani labda kidogo wanaishia SA.
Swali lako Prof Kabudi ni la maana sana........Kwanini Canada?
Maendeleo hayana vyama!
Hata nami nimeshindwa kuelewa ndege ambayo haijakabidhiwa inakamatwaje?Kwani ndege imekamatiwa kiwandani?!
Halafu prof. anashindwa kungamua kuwa inategemea na sheria za nchi husika.Scapegoat.
Anayedai atakosaje kujua anadai nn?
Akili za kushikiwa! Mara ngapi mnatangaza ujio wa ndege mpya. Inafanywa siri watu wanapojazana uwanja wa ndege kuzipokea?
Dr Slaa ni padre hawezi kutenda hiyo dhambi!
Kelele za nini lipeni deni.Prof. Kabudi ni mwalimu wangu, anajua kabisa justice system ya US sio common law system hivyo foreign awards za common law are only applicable kwenye commonwealth countries. Ndio maana baada ya South Africa ni Canada, wanasubirua safari za Mumbai na UK. US na China ni salama kabisa na Kabudi analijua hili vizuri tuu.
.
P
ππππ€£π€£π€£πππ πππ πππMabeberu Kanyaga,vibaraka kanyaga,mabwanyenye kanyagakanyagaaaaa......
Anatusumbua Sana Mkulima, Nguvu Anapata WapiHuyu mkulima ni msumbufu sana. Halafu anaweza vp kuishawishi mamlaka zifanye haya?
Hapa ndo pakuanzia. Haiwezekani mtu mmoja akashindana na serikali nzima kwa kushirikiana na serikali za mataifa makubwa. Huo ushawishi unatokea wapi?Anatusumbua Sana Mkulima, Nguvu Anapata Wapi
Mkulima ni nani,
Nani aliopo nyuma ya mkulima,
Nani aliyempa taarifa kama ndege yetu ipo kanada na itatoka na tarehe hiyo.
Ni wakati mzuri wa kushughulika nao.
WAKIWEKA UGOKO WEKA CHUMA!