vibaraka na watu wenye mihemko ni hatari sana kuwajumuisha kwenye midahalo yoyote ile, busara ni kuwapuuza kuepusha uharibifu na usumbufu na kutoa fursa kwa wenye dhamana ya kuongoza na kuwatumikia waTanzania wachape kazi vizuri zaidiBUSARA ni kuitisha mdahalo Ili akufundisheni msiyoyajua Kwa manufaa ya umma,
Kiongozi anawezaje kupuuza HOJA za msingi?
Nawe ndio unajibu HOJA za Lissu hivyo?mandamano huko moshi yametia aibu wallah
chadema ni wakukodisha watu kwa kuwalipa kweli
AG Hana uwezo wa kujibu hoja za ukweli, yeye atakuja na majibu ya kulazimisha. Akiingia kwenye mdahalo ataishia kumwambia Lisu aache uchochezi.Siamini kama AG hawezi kumjibu Lissu,
Labda Yuko bussy na majukumu.
umeilazimisha furaha sio, ingawao moyoni una majonziNimecheka kwa nguvu, mmepuuza halafu msemaji wa ccm kajitokeza kujiliza! Hiyo miungano ya kihuni ifike mwisho. Lisu anaeleweka vizuri asemacho kuliko hayo majizi ya kura.
Hivi,ukirudia kupitisha macho yako kwa hicho ulichokicharaza unakielewa ndugu "avocado "?🇹🇿 Huyo mbeatukaji Hana hoja yoyote na ni mazuzu tuu wanamwona anaongea point kumbe kupayuka kote ni vapor tuu
🔹 Kwa makusudi anajua accord ya muungano wetu kuwa unique dunia nzima ei Neither federal nor unitary
🔹 Inajulikana kabisa na sababu zilitolewa kuwa hakuna kitu kinachoitwa Tanganyika kwa Sasa kwa sababu ili surrender all it's power kwenye muungano na ila dissolve lakini Zanzibar ili surrender some na ku retain some.
🔹 Ndio maana Zanzibar Wana sub katiba Yao, ndio maana Zanzibar Wana sub citizenship Yao. Lengo ilikuwa ni kutokana na udogo wake is dissolve Moja kwa Moja kwenye muungano
🔹 Hivyo vi hoja kuwa Kwa nini Wana vitbulisho vya ukaazi ni hoja dhaifu Sana kwani ni sawa sawa na ninyi mlivyo kwenye daftari la ukoo
🔹 Kitendo Cha baadhi ya mazuzu kuulazimisha au kuleta hoja kana kwamba hii ni purely unitary ni utaahira.
🔵 Haya ma federation na ma unitary mnayoyadoma duniani yalianzishwa na watu. Kwa nini msiwapongeze wazee wetu Nyerere na karume kwa kutunga muungano ambao ni unique na unauoumiza vichwa vya wasomali.duniani kote kuufanyia utafiti ? Kwa nini tusiwape u proffesa waasisi Hawa na kuwapa credit zao?
🔹 Wazazabari na wazanzibari na wazanzibari ni Watanzania. Watanzania bara ni Watanzania . Utake ni hivyo hivyo usitake ni hivyo hivyo
Sasa huu ulikuwa muda muafaka kutatua changamoto hizi kabla ya kuingia uchaguzi.AG Hana uwezo wa kujibu hoja za ukweli, yeye atakuja na majibu ya kulazimisha. Akiingia kwenye mdahalo ataishia kumwambia Lisu aache uchochezi.
Kama Yaliisha Naomba Unijibu Hili swali Mkuu!ni ya kupuuza kabisa, kwasababu tayari mambo hayo yaliisha kwa mujibu wa sheria
CCM NI MAJIZI YANAKATAA KATIBA MPYA ITAWAFUNGA JELASalaam, Shalom.
Ni wiki sasa, Mwanasheria msomi Tundu Lissu ametoa HOJA nzito kuhusiana na Muungano wetu, na anatoa HOJA Kwa kutumia Katiba ya nchi iliyopo.
Cha kushangaza wanaibuka viongozi tena wenye hadhi ya juu kabisa na kumjibu TUNDU Lissu kiujumla jumla tu. Anauliza swali Kwa kunukuu Katiba ya nchi, lakini anajibiwa Kwa kauli nyepesi za kisiasa bila ushahidi wowote au nukuu yoyote kisheria, imekaaje hii?
Jamani, HOJA hujibiwa Kwa HOJA,
Ikiwa wamekosekana viongozi wa Serikali wenye uwezo wa kumjibu TUNDU Lissu kisomi, ni Bora kunyamaza.
Swali linabaki kuwa, huko serikalini hawapo watu wenye capacity ya kumjibu TUNDU Lissu Kwa HOJA?
Karibuni🙏
Lucas MwashambwaSalaam, Shalom.
Ni wiki sasa, Mwanasheria msomi Tundu Lissu ametoa HOJA nzito kuhusiana na Muungano wetu, na anatoa HOJA Kwa kutumia Katiba ya nchi iliyopo.
Cha kushangaza wanaibuka viongozi tena wenye hadhi ya juu kabisa na kumjibu TUNDU Lissu kiujumla jumla tu. Anauliza swali Kwa kunukuu Katiba ya nchi, lakini anajibiwa Kwa kauli nyepesi za kisiasa bila ushahidi wowote au nukuu yoyote kisheria, imekaaje hii?
Jamani, HOJA hujibiwa Kwa HOJA,
Ikiwa wamekosekana viongozi wa Serikali wenye uwezo wa kumjibu TUNDU Lissu kisomi, ni Bora kunyamaza.
Swali linabaki kuwa, huko serikalini hawapo watu wenye capacity ya kumjibu TUNDU Lissu Kwa HOJA?
Karibuni🙏
Tundulisu huyu huyu aliekuwa anasapati usho gaSalaam, Shalom.
Ni wiki sasa, Mwanasheria msomi Tundu Lissu ametoa HOJA nzito kuhusiana na Muungano wetu, na anatoa HOJA Kwa kutumia Katiba ya nchi iliyopo.
Cha kushangaza wanaibuka viongozi tena wenye hadhi ya juu kabisa na kumjibu TUNDU Lissu kiujumla jumla tu. Anauliza swali Kwa kunukuu Katiba ya nchi, lakini anajibiwa Kwa kauli nyepesi za kisiasa bila ushahidi wowote au nukuu yoyote kisheria, imekaaje hii?
Jamani, HOJA hujibiwa Kwa HOJA,
Ikiwa wamekosekana viongozi wa Serikali wenye uwezo wa kumjibu TUNDU Lissu kisomi, ni Bora kunyamaza.
Swali linabaki kuwa, huko serikalini hawapo watu wenye capacity ya kumjibu TUNDU Lissu Kwa HOJA?
Karibuni🙏
Kamjibu hoja zake.Tundulisu huyu huyu aliekuwa anasapati usho ga
huo ni mtazamo na maoni yako tu kwamba ati kiongozi fulani hana usemi mahala fulani...Kama Yaliisha Naomba Unijibu Hili swali Mkuu!
Kwanini Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hana Usemi Zanzibar???
Kwanini waziri wa Afya wa JMT hana usemi Zanzibar??
Lucas anapendekeza CHADEMA ifutwe,
Kwahiyo wewe ndo Think tank ya Lumumba wamekutuma? Huna uwezo wa kujibu hoja za Lissu kaite Wengine🇹🇿 Huyo mbeatukaji Hana hoja yoyote na ni mazuzu tuu wanamwona anaongea point kumbe kupayuka kote ni vapor tuu
🔹 Kwa makusudi anajua accord ya muungano wetu kuwa unique dunia nzima ei Neither federal nor unitary
🔹 Inajulikana kabisa na sababu zilitolewa kuwa hakuna kitu kinachoitwa Tanganyika kwa Sasa kwa sababu ili surrender all it's power kwenye muungano na ila dissolve lakini Zanzibar ili surrender some na ku retain some.
🔹 Ndio maana Zanzibar Wana sub katiba Yao, ndio maana Zanzibar Wana sub citizenship Yao. Lengo ilikuwa ni kutokana na udogo wake is dissolve Moja kwa Moja kwenye muungano
🔹 Hivyo vi hoja kuwa Kwa nini Wana vitbulisho vya ukaazi ni hoja dhaifu Sana kwani ni sawa sawa na ninyi mlivyo kwenye daftari la ukoo
🔹 Kitendo Cha baadhi ya mazuzu kuulazimisha au kuleta hoja kana kwamba hii ni purely unitary ni utaahira.
🔵 Haya ma federation na ma unitary mnayoyadoma duniani yalianzishwa na watu. Kwa nini msiwapongeze wazee wetu Nyerere na karume kwa kutunga muungano ambao ni unique na unauoumiza vichwa vya wasomali.duniani kote kuufanyia utafiti ? Kwa nini tusiwape u proffesa waasisi Hawa na kuwapa credit zao?
🔹 Wazazabari na wazanzibari na wazanzibari ni Watanzania. Watanzania bara ni Watanzania . Utake ni hivyo hivyo usitake ni hivyo hivyo
Mke wa marehemu upo !Enzi za mume wako ulikuwa active sana !!Chato wazima lakiniKumpuuza nalo ni jibu tosha, kwani hayo kaanza kuyaongea leo?
Setina na Chama cha Mapinduzi, Tanganyika na Zanzibar, in wasomi wengi na wenye weledi wa kujibu hoja za msomi TAML lkn hawana hoja za kisheria au kikatiba ndiyo maana ni lazima tu wabwajaje ili mama aendelee kuwatunza ktk nafasi zao.Salaam, Shalom.
Ni wiki sasa, Mwanasheria msomi Tundu Lissu ametoa HOJA nzito kuhusiana na Muungano wetu, na anatoa HOJA Kwa kutumia Katiba ya nchi iliyopo.
Cha kushangaza wanaibuka viongozi tena wenye hadhi ya juu kabisa na kumjibu TUNDU Lissu kiujumla jumla tu. Anauliza swali Kwa kunukuu Katiba ya nchi, lakini anajibiwa Kwa kauli nyepesi za kisiasa bila ushahidi wowote au nukuu yoyote kisheria, imekaaje hii?
Jamani, HOJA hujibiwa Kwa HOJA,
Ikiwa wamekosekana viongozi wa Serikali wenye uwezo wa kumjibu TUNDU Lissu kisomi, ni Bora kunyamaza.
Swali linabaki kuwa, huko serikalini hawapo watu wenye capacity ya kumjibu TUNDU Lissu Kwa HOJA?
Karibuni🙏
Hana hoja yule.Kamjibu hoja zake.
CHAWA WA MAMA LETA PICHA!!mandamano huko moshi yametia aibu wallah
chadema ni wakukodisha watu kwa kuwalipa kweli
Huyu aliyemchokoza Lissu kuhusu Muungano atajuta bora angenyamaza.Salaam, Shalom.
Ni wiki sasa, Mwanasheria msomi Tundu Lissu ametoa HOJA nzito kuhusiana na Muungano wetu, na anatoa HOJA Kwa kutumia Katiba ya nchi iliyopo.
Cha kushangaza wanaibuka viongozi tena wenye hadhi ya juu kabisa na kumjibu TUNDU Lissu kiujumla jumla tu. Anauliza swali Kwa kunukuu Katiba ya nchi, lakini anajibiwa Kwa kauli nyepesi za kisiasa bila ushahidi wowote au nukuu yoyote kisheria, imekaaje hii?
Jamani, HOJA hujibiwa Kwa HOJA,
Ikiwa wamekosekana viongozi wa Serikali wenye uwezo wa kumjibu TUNDU Lissu kisomi, ni Bora kunyamaza.
Swali linabaki kuwa, huko serikalini hawapo watu wenye capacity ya kumjibu TUNDU Lissu Kwa HOJA?
Karibuni🙏
Panda jukwaani uuambie umma kwamba hana hoja na umpelekee matobholwa ale!Hana hoja yule.
Ana njaa tu