MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Mtu smart hali tunda kimasihara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za mabeki tatu?Ukute jamaa ikifika saa 5 anaangalia hivi vipindi vya Azam Tv
Nakubaliana na wewe huwenda definition yake ya mtu smart inawalakini.Ngumu sana kumkuta mtu smart anaamini usmart ni movie na series zilizotoka west
Mtoa maada anapenda movie za kihindi....,1. KUangalia zile movies zinazoelezewa kwa kiswahili. Ukikuta mtu mwenye Elimu anafanya hivi jua ndo vile vyeti ....vileeeee. ..
2. Kuangalia tamthiliya za azam zinazungumzwa kiswahili wakati zilikuwa na lugha yake ya asili
3. Kuangalia vichekesho vya kipuuzi vya akina majuto,mkonjani n.k hawa nliwahi mwambia dereva kwenye bus ni bora anishushe kuliko kuweka upuuzi wa watu hawa
4. Kuangalia tamthiliya za kinaijeria,ghana,wale waasia wengine n.k
Ongeze na wewe ...
Unadisi movie iliyofanyiwa dubbing ukitoka hapo unaenda kuangalia movie yenye subtitle yenye lugha ya Kiingereza.1. KUangalia zile movies zinazoelezewa kwa kiswahili. Ukikuta mtu mwenye Elimu anafanya hivi jua ndo vile vyeti ....vileeeee. ..
2. Kuangalia tamthiliya za azam zinazungumzwa kiswahili wakati zilikuwa na lugha yake ya asili
3. Kuangalia vichekesho vya kipuuzi vya akina majuto,mkonjani n.k hawa nliwahi mwambia dereva kwenye bus ni bora anishushe kuliko kuweka upuuzi wa watu hawa
4. Kuangalia tamthiliya za kinaijeria,ghana,wale waasia wengine n.k
Ongeze na wewe ...
1. KUangalia zile movies zinazoelezewa kwa kiswahili. Ukikuta mtu mwenye Elimu anafanya hivi jua ndo vile vyeti ....vileeeee. ..
2. Kuangalia tamthiliya za azam zinazungumzwa kiswahili wakati zilikuwa na lugha yake ya asili
3. Kuangalia vichekesho vya kipuuzi vya akina majuto,mkonjani n.k hawa nliwahi mwambia dereva kwenye bus ni bora anishushe kuliko kuweka upuuzi wa watu hawa
4. Kuangalia tamthiliya za kinaijeria,ghana,wale waasia wengine n.k
Ongeze na wewe ...
Nakazia..mtu smart hasusi susi hovyo kama mtoa mada hadi anataka kushuka kwenye basi...anataka kutuonyesha ameishi maisha ya kudekezwa..AKA mtoto wa mama...5.ni ngumu sana mtu smart kuponda yale wanayoyapenda wenzake na kuona upuuzi.
6.mtu smart hajisemi bali husemewa na watu.
7.mtu smart ni ngumu sana kwake kutokuwa na subira kiasi kwamba akiona kitu asichpenda kwenye basi angairishe safari kisa kitu hiko.
Mfano mtu smart hawezi kusitisha safari kwa sababu tu kwenye basi amewekwa binadamu mwenzie anaongea na kuigiza,huyo siyo smart ni mtu gubu.
8.mtu smart ni ngumu sana kudharau jitihada za wengine wanazofanya kujipatia mkate wa siku.
Acha ushamba ndugu, Kwaiyo wewe umewasomea watanzania wote kiasi kwamba uelewa wako nawao wanao.Fact nikiona mtu anaangalia movie zimetafasiriwa namvua heshima zote
Nikweli kabisa mfano saivi update za vita huko Ukraine tunazipata kwenye vitabu.Mtu smart hatazami TV anasoma vitabu...TV ni zetu wapumbavu
ila huwa inatokea.Ni ngumu sana mdada.smart kudandia wanaume sababu ya majina.
Yeah na doze kwa ajili ya future use.Mleta mada amepata miongozo
Kwa miongozo aliyopata sidhani kama atarudia tena 🤣Yeah na doze kwa ajili ya future use.
Mtu smart kila anachojibu anakuwa na lengo flani....😁Ni ngumu sana mtu smart kuanzisha uzi wa kichokozi.Halafu akijibiwa anaanza na yeye kujibu kwa taharuki.
Mtu smart hawezi kaa chooni alaletewa chakula akala. Anatoka chooni (anashuka kwenye bus ambalo linaonesha upuuzi ili mind yake isiwe corrupt/pollutedNakazia..mtu smart hasusi susi hovyo kama mtoa mada hadi anataka kushuka kwenye basi...anataka kutuonyesha ameishi maisha ya kudekezwa..AKA mtoto wa mama...