Ni ngumu sana kwa mtu smart kufanya haya...

Ni ngumu sana kwa mtu smart kufanya haya...

Halafu wanawake wengi hawajue vile wakiwa natural wanapendeza bila hizo additional za makope,mara crazy hairs and colors, sijui tuna shida gani
Ndo ivo tuna mambo mengi sana yasiyo ya maana .Tuwasikitikie tu wanaofanya ivo hakuna namna hawajui walitendalo
 
Kuangalia zile movies zinazoelezewa kwa kiswahili. Ukikuta mtu mwenye Elimu anafanya hivi jua ndo vile vyeti

Hakuna UTUMWA mbaya kama wakujiona uko FREE...

Mkuu kujua kiingereza tuseme mara ngapi kuwa haina uhusiano na akili au werevu and whatever...??? ile ni Lugha tu... kwahyo ukimuona mkorea anaangalia Muvi iliyowekwa maneno ya kikorea sio Smart..????
 
Nchi Uhuru Umezidi Sasa Hadi Mnaanza Kufatilia Lifestyle Ya Mtu Binafsi.
 
Watu smart wanajibu mashambulizi kwa mleta mada adi kakimbia uzi wake[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
1. Kuangalia zile movies zinazoelezewa kwa kiswahili. Ukikuta mtu mwenye Elimu anafanya hivi jua ndo vile vyeti ....vileeeee. ..

2. Kuangalia tamthiliya za azam zinazungumzwa kiswahili wakati zilikuwa na lugha yake ya asili

3. Kuangalia vichekesho vya kipuuzi vya akina majuto,mkonjani n.k hawa nliwahi mwambia dereva kwenye bus ni bora anishushe kuliko kuweka upuuzi wa watu hawa

4. Kuangalia tamthiliya za kinaijeria, ghana, wale waasia wengine n.k

Ongeze na wewe ...
Ngumu sana mtu smart kujua haya mambo uliyoyasema.
 
Back
Top Bottom