Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Wauuweeeeeeehhh π€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπππππππ€£βοΈβοΈβοΈ!! Santo sana!Watu smart....π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wauuweeeeeeehhh π€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπππππππ€£βοΈβοΈβοΈ!! Santo sana!Watu smart....π
Ni ngumu sana kumkuta mtu smart anatoa ushuti pumba kama huu "tafuten hela"Hahahaha,tafuteni hela wadogo zangu maisha hayataki mbwe mbwe zote hzo.
Ni ngumu sama mtu smart kupewa miongozo, mara nyingi huwa wanakuwa wanayo tayariMleta mada amepata miongozo
Uzi una miaka miwili na miezi miwili ila nimeguswa tu kutia neno hapa.1. Kuangalia zile movies zinazoelezewa kwa kiswahili. Ukikuta mtu mwenye Elimu anafanya hivi jua ndo vile vyeti ....vileeeee. ..
2. Kuangalia tamthiliya za azam zinazungumzwa kiswahili wakati zilikuwa na lugha yake ya asili
3. Kuangalia vichekesho vya kipuuzi vya akina majuto,mkonjani n.k hawa nliwahi mwambia dereva kwenye bus ni bora anishushe kuliko kuweka upuuzi wa watu hawa
4. Kuangalia tamthiliya za kinaijeria, ghana, wale waasia wengine n.k
Ongeze na wewe
Mwenye akili hawezi kuanzisha thread kama hii1. Kuangalia zile movies zinazoelezewa kwa kiswahili. Ukikuta mtu mwenye Elimu anafanya hivi jua ndo vile vyeti ....vileeeee. ..
2. Kuangalia tamthiliya za azam zinazungumzwa kiswahili wakati zilikuwa na lugha yake ya asili
3. Kuangalia vichekesho vya kipuuzi vya akina majuto,mkonjani n.k hawa nliwahi mwambia dereva kwenye bus ni bora anishushe kuliko kuweka upuuzi wa watu hawa
4. Kuangalia tamthiliya za kinaijeria, ghana, wale waasia wengine n.k
Ongeze na wewe
Oya kunywa soda nitakulipia kwa namba ya nidaNgumu sana kumkuta mtu smart anaanzisha uzi kuzungumzia vitu vidogo kama hivi
Ila hii ya tamthiliya za Nigeria... Nakubali mi sio smart ..1. Kuangalia zile movies zinazoelezewa kwa kiswahili. Ukikuta mtu mwenye Elimu anafanya hivi jua ndo vile vyeti ....vileeeee. ..
2. Kuangalia tamthiliya za azam zinazungumzwa kiswahili wakati zilikuwa na lugha yake ya asili
3. Kuangalia vichekesho vya kipuuzi vya akina majuto,mkonjani n.k hawa nliwahi mwambia dereva kwenye bus ni bora anishushe kuliko kuweka upuuzi wa watu hawa
4. Kuangalia tamthiliya za kinaijeria, ghana, wale waasia wengine n.k
Ongeze na wewe