Ni ngumu sana kwa mtu smart kufanya haya...

Ķomeo la chuma nae ni smart et!!kaanzisha thread kuwaponda watu smart while akiangalia upande mmoja tu wa kuangalia na kufatilia Movies
Mtu smart aaangalia kwa upande wake na anawaachia wenzie nao waseme kwa upande wao....
 
Ni ngumu Sana mtu smart kukuta anawapangia watu vya kuangalia kwenye runinga .
 
ngumu sana mwenye akili kuwa na signature kama yako
 
Ngumu mno kwa mwenye akili kushindwa kutofautisha vichekesho na serious matter
 
Kuvaa zile ndala za manyoya mengi mbele
Kubandika kope na kucha ndefuuu kama jini
Kunyoa kiduku halafu unatia rangi ya njanooo kama yanga
Kuvaa vikuku miguu yote miwili halafu miguu yenyewe michafuuuu
Kubisahana na watu pasipo sababu ya msingi
Kuongea hovyo hata pasipo na sababu ya kuongea
Kutukana watu hapa JF badala ya kujibu hoja
Kutaka kila mtu awe na opinion kama za kwako even when you are wrong
 
Yaani hapo kwenye kiduku na nywele za rangi lah so poah! Mara utakuta kijani oh nyekundu jaman wanawake tuna tabu sie.
 
Yaani hapo kwenye kiduku na nywele za rangi lah so poah! Mara utakuta kijani oh nyekundu jaman wanawake tuna tabu sie.
Mwingine anachanganya zoe, njano, kijani, nyeupe blue halafu ukute kabandika na kucha na kope

Ccm sio ccm, yanga sio yanga yaani unashindwa hata kumuelewa
 
Mwingine anachanganya zoe, njano, kijani, nyeupe blue halafu ukute kabandika na kucha na kope

Ccm sio ccm, yanga sio yanga yaani unashindwa hata kumuelewa
[emoji23][emoji23][emoji23]raibow kichwan jumlisha hizo kope na kucha yaani ni kituko hapo wengi ua wamejichubua pia sasa umuone akiwa juani
 
[emoji23][emoji23][emoji23]raibow kichwan jumlisha hizo kope na kucha yaani ni kituko hapo wengi ua wamejichubua pia sasa umuone akiwa juani
Halafu wanawake wengi hawajue vile wakiwa natural wanapendeza bila hizo additional za makope,mara crazy hairs and colors, sijui tuna shida gani
 
Ngumu sana kumkuta mtu smart anaanzisha uzi kuzungumzia vitu vidogo kama hivi
Ni ngumu mtu asiye smart kuelewa kuwa vitu vidogo ndo huunda vikubwa. Na wasomi tunasema every little action, there is reaction. Bogaz/bogus wanaamini kuna vitu vidogo.😁
 
Mwingine anachanganya zoe, njano, kijani, nyeupe blue halafu ukute kabandika na kucha na kope

Ccm sio ccm, yanga sio yanga yaani unashindwa hata kumuelewa
Anakuwa Utopolo kweli kweli.....
 
Mimi la 7 C nasoma comments
Acha nisiwe mjuaji niwaachie nyie wasomi mpambane naye huyu smata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…