Ndo ivo tuna mambo mengi sana yasiyo ya maana .Tuwasikitikie tu wanaofanya ivo hakuna namna hawajui walitendaloHalafu wanawake wengi hawajue vile wakiwa natural wanapendeza bila hizo additional za makope,mara crazy hairs and colors, sijui tuna shida gani
Watu smart hawapati taarifa kwenye tv..wana source zao makini sanaNikweli kabisa mfano saivi update za vita huko Ukraine tunazipata kwenye vitabu.
Ujuaji wa kishamba
Kuangalia zile movies zinazoelezewa kwa kiswahili. Ukikuta mtu mwenye Elimu anafanya hivi jua ndo vile vyeti
TV sio source makini si ndio? Kasmart phone kako kanakupa kiburi had unajisahau.Watu smart hawapati taarifa kwenye tv..wana source zao makini sana
Mi sio mtu smart mkuu...tunaongelea watu smart ...heheheTV sio source makini si ndio? Kasmart phone kako kanakupa kiburi had unajisahau.
Yaan imekuwa nongwa mzee babaWatu smart wanajibu mashambulizi kwa mleta mada adi kakimbia uzi wake[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Hakika mkuu...ndo maana wadau wamemsimamia ukuchaMambo yake muachieni mwenyewe,kayajuaje kama yeye siyo mshiriki...
Tatizo binadamu wa siki hizi ni wabishi sana...Hakika mkuu...ndo maana wadau wamemsimamia ukucha
Kakutana na watu smart zaidi yake[emoji28][emoji28][emoji28]Yaan imekuwa nongwa mzee baba
KwakweliNchi Uhuru Umezidi Sasa Hadi Mnaanza Kufatilia Lifestyle Ya Mtu Binafsi.
Ngumu sana mtu smart kujua haya mambo uliyoyasema.1. Kuangalia zile movies zinazoelezewa kwa kiswahili. Ukikuta mtu mwenye Elimu anafanya hivi jua ndo vile vyeti ....vileeeee. ..
2. Kuangalia tamthiliya za azam zinazungumzwa kiswahili wakati zilikuwa na lugha yake ya asili
3. Kuangalia vichekesho vya kipuuzi vya akina majuto,mkonjani n.k hawa nliwahi mwambia dereva kwenye bus ni bora anishushe kuliko kuweka upuuzi wa watu hawa
4. Kuangalia tamthiliya za kinaijeria, ghana, wale waasia wengine n.k
Ongeze na wewe ...
Ngumu sana mtu smart kujiita jina hili.Hahahaha,tafuteni hela wadogo zangu maisha hayataki mbwe mbwe zote hzo.
Ati watu gani????[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]Huku Sasa Ni kuwachagulia maisha ma-smart wenzio
Watu smart....😂Ati watu gani????[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]