Ina haki ipaukee ππIlikuwa ni usd 6 , niliunganisha kwenye mzigo wangu wa bidhaa ikawekwa humo kwenye box , so usafr nililipia jumla kwenye box
ππKuna sisi wa gereji, ufue bila sabuni si zitagina zioze
Nachojua kila nguo inakuwaga na maelekezo yake namna ya kuitumia ili ikae mda mrefuMkuu jeans zetu hizi za bongo zinatoa rangi zinachuja kipindi inachuja na kutoa rangi pia na uchafu unatoka directly
Na the more you soak in soapy water the more it bleach and kupauka so solution
Usiziloeke, ukitaka kufua chukua maji yako bila soap au eka kiduchu sana then fua suuza anika
But hii ni theory yangu tu ππππ mi ndo hufua hivo jeans zangu na bado zinamuonekano mzuri hata zilizonirruka
Kuna vigauni nilichukua kwa Frank Knows, kamoja ni loose dress material ya cotton. Kila napokifua, nikivaa kinazidi kuwa kifupi.Hili ni janga kwakweli
Bila pasi?Ukifua bana vizuri kwenye kamba ikae imenyoka na ukianua usikunje iweke kamba ya ndani au kabatini bila kuikunja. Muda wowote chukua na vaa
Hyo haipauki sasa mana niliamua kutest kununua huko huko, yani hyo cadet boss huku inauzwa 45000 , wakat huku ukinunua cadet zetu hz za 17000-25000 , aisee andaa ndoo nzima kufulia jeans moja tuu mana hyo rangi sjui kama utamix na nguo zingineIna haki ipaukee ππ
πInakera mno unatamani uirudishe dukani mie napata tabu sana na mitandio Yani ukiweka kwenye maji yanabadilika rangi sikuhiz nitakuwa nanunua yenye asili ya shiffon hata magaun nilojaribu kununua ya dizain hiyo Yako vizuri ila hiz zingine ni majangaKuna vigauni nilichukua kwa Frank Knows, kamoja ni loose dress material ya cotton. Kila napokifua, nikivaa kinazidi kuwa kifupi.
Kengine kalitoa mapelee ππ mifuo miwili tu hakatamaniki.
ππKuna kupauka....
Na kuna kupoteza elasticity.....
Jeans linakuwa limekaa Kama kitambaa.
Feels like suruali za Vasco Dagama.
ππMagauni yakuwa km kijora Sasa ukute Ina kampira siku mbili inatoka kiunoniπ€£π€£π€£Kuna vigauni nilichukua kwa Frank Knows, kamoja ni loose dress material ya cotton. Kila napokifua, nikivaa kinazidi kuwa kifupi.
Kengine kalitoa mapelee ππ mifuo miwili tu hakatamaniki.
Dona hili hili auπKama ni sabuni za unga haswa kufulia mashati tafuta zile og za bei kama Elfu 5 zipo kibao kweny supermarket nyingi ni brand za nje..
Ile kuna hizi za buku jero wanachanganya na unga wa dona kwanza hazina povu na zinapausha kabisa..
Maajabu.Ila Jeans Chapa "ZARA" zinazingua......
ππππ.
Ukifikisha nayo miezi miwili una bahati.
Fasta unaona inapwaya unajiuliza mbona nakondaπππKuna kupauka....
Na kuna kupoteza elasticity.....
Jeans linakuwa limekaa Kama kitambaa.
Feels like suruali za Vasco Dagama.
wanachanganya watu ni wahuni sana ukianglia sabuni sio nyepesi nimeona sana ...Dona hili hili auπ
Sio ZARA tuu zote sjui Jeep, Polo ni usenge mtupuIla Jeans Chapa "ZARA" zinazingua......
ππππ.
Ukifikisha nayo miezi miwili una bahati.
Ni hatari kwakweliwanachanganya watu ni wahuni sana ukianglia sabuni sio nyepesi nimeona sana ...
Na viwanda bubu vipo kitaani sana bora kununua supermarket.