Ni njia ipi nzuri ya kufua Nguo ili zidumu na ubora wake kwa muda mrefu bila kufifia rangi/kuchuja?

Ni njia ipi nzuri ya kufua Nguo ili zidumu na ubora wake kwa muda mrefu bila kufifia rangi/kuchuja?

95% ya nguo zinazouzwa Madukani Bongo ni Fake au Reject za Viwandani ambazo wafanyabiashara wakienda China au Uturuki wanazinunua kwa Bei poa na wakileta huku wanapata faida zaidi ya 100%. Ni wabongo wachache sana wanaoweza kumudu kuvaa nguo OG.
Na kwa Bongo kuipata nguo OG utaikuta kwenye Mtumba iliyokwisha jambiwa na wazungu huko ilikotoka.
😂😂😂Kwakweli mwaka Jana nimemnunulia mdogowangu cadet mtumba aisee anadunda nazo had Leo nilishauriwa humu nakumbuka ngoja June nikasaule Tena hakuna namna 😂😂😂
 
Kufua nguo za rangi hiyo ni taaluma kama alivyokwisha sema pale, na ili kufanya nguo yake isipauke mapema vile vile ni elimu kama ilivyo elimu zingine uzitumiazo katika kufanikisha jambo lako

Huku wanafunzi wanaojifanya waalimu ni wengi kuliko waalimu wenye taaluma na ufuaji na upigaji pasi nguo..

Hivyo basi muhimu ni kuvaa kanzu nyeupe hizo mambo za kupauka utazisikia tuu redioni na kwenye mitandao
 
😂😂😂Kwakweli mwaka Jana nimemnunulia mdogowangu cadet mtumba aisee anadunda nazo had Leo nilishauriwa humu nakumbuka ngoja June nikasaule Tena hakuna namna 😂😂😂
Ndio hivyo. Dukani zimejaa fake tupu. Na kwa vile wengi hawajui pamba basi wanapigwa mnoo.
 
Yani zile cadet acha kabisa hazichuji Wala hazipauki tutavaa tu malonya ya wazungu 😂😂Kwakweli
Hakuna namna. Ukitaka nguo au kiatu cha mchina OG kwa Bongo utakipata kwenye mtumba na siyo Dukani. Na ukitaka kujua kwamba hizi nguo za Dukani Bongo ni fake hata wachina wenyewe hawazivai🤣🤣
 
Beigani wanauza labda nitapat mchumba nikamfanyie shopping😀
Hamna kitu, ni midosho iliyochangamka, I know the place. Kama unataka nguo kali OG mitumba grade A, nenda Kinondoni kabla hujafika mataa ya Morocco ukiwa unatokea Biafra kuna jamaa anajiita White Collection. Yupo karibu na Safari Automotive. Achana na hayo maduka yao ya midosho. Or jipange uingie WoolWorths.
 
Heri hata vunja bei.
Naona T shirt zake angalau

Frank kwenye heels yuko poa.
Kwa Fred za watoto vipi nisije kujichanganya na kaela kangu ka mawazo😂😂
 
Hao uliowataja wote hakuna anaeuza nguo. Mnauziwa reject za Viwandani. Huwezi nunua jeans mpya OG kwa 20k. Never ever.
Mambo ya Jeans me sijui.

Nina T shirts nilichukua Kwa Vunja Bei ziko bado poa.
Nna Raba nilichukua kwake.. aisee sijajutia
 
Kuna kale karaha babe kavaa kapendeza jamni Sio mnafatana ke umependeza mwenzio jeans anapandisha pandisha inaporomoka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Alooo sikuwahi ku imagine kama upo na masikhara kiasi hicho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom