Ni njia ipi nzuri ya kufua Nguo ili zidumu na ubora wake kwa muda mrefu bila kufifia rangi/kuchuja?

Ndugu fanya mazoezi sana, mwanaume haupaswi kuwa na MASABURI makubwa namna hiyo
 
Shiffon is the best. Hazipauki
Sina sketi 🤣 kwahiyo ni magauni tu. Ni kubadili, leo cotton kesho shifon. Shiffon hana mpinzani.

Ingawa kuna shiffon ukiipitisha kwenye kitu cha ncha kali inatoa nyuzii.
 

Sio wewe peke yako jinzi mimi miaka yote sifulii sabuni na tishirt na mashati nafulia sabuni ya kipande nguo zangu hudumu sana , na mara moja moja jinzi nikiona imezidi uchafu naanza kufua mashati na tishet halafu lile povu lake lisilo na nguvu ndio napitishia suruali humo nafua then nasuuza na sipaki sabuni hata ya kipande, jinzi hadi naiacha inakua na muonekano mzuri na rangi yake ile ile na ukiweza usianike nguo kwenye jua
 
Shiffon is the best. Hazipauki
Sina sketi 🤣 kwahiyo ni magauni tu. Ni kubadili, leo cotton kesho shifon. Shiffon hana mpinzani.

Ingawa kuna shiffon ukiipitisha kwenye kitu cha ncha kali inatoa nyuzii.
Ni kweli lakini nyingi ziko vizuri ila Magauni ya dizain hiyo Yako vizuri kiukweli hat kutoa rangi ni nadra lakin Sasa huwez kuvaa shiffon kilasiku shida ndo huanzia hapo
 
Nachojua kila nguo inakuwaga na maelekezo yake namna ya kuitumia ili ikae mda mrefu
Mfano kuna ambazo hutakiwi kutumia sabuni kali hutakiwi kuanika kwenye mwanga mkali wa jua etc
Ni wachache sana wanaosoma Label za kwenye nguo na kufuata maelekezo yake ,Mtu nguo kwenye Label imeandikwa "Tumble Dry" hata haelewi maana yake nini🤣🤣🤣
 
Ni kweli lakini nyingi ziko vizuri ila Magauni ya dizain hiyo Yako vizuri kiukweli hat kutoa rangi ni nadra lakin Sasa huwez kuvaa shiffon kilasiku shida ndo huanzia hapo
Kuna vigauni vimejaa town vya shiffon ni vizuri. Dizain mbali mbali. Sema nahisi we nguo fupi huvai 😂 maana tule tupo magotini
 
Ila Sasa inategemea na shughuli zako mwingine anashughuli zinahusisha vumbi ni ngumu kufua hivo nguo
 
Kuna vigauni vimejaa town vya shiffon ni vizuri. Dizain mbali mbali. Sema nahisi we nguo fupi huvai 😂 maana tule tupo magotini
😂Huwa nanunua ndefu ila zile fupi ni nzuri sana na hat Bei zake ni nzuri pia
 
95% ya nguo zinazouzwa Madukani Bongo ni Fake au Reject za Viwandani ambazo wafanyabiashara wakienda China au Uturuki wanazinunua kwa Bei poa na wakileta huku wanapata faida zaidi ya 100%. Ni wabongo wachache sana wanaoweza kumudu kuvaa nguo OG.
Na kwa Bongo kuipata nguo OG utaikuta kwenye Mtumba iliyokwisha jambiwa na wazungu huko ilikotoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…