Ni njia ipi nzuri ya kufua Nguo ili zidumu na ubora wake kwa muda mrefu bila kufifia rangi/kuchuja?

Ni njia ipi nzuri ya kufua Nguo ili zidumu na ubora wake kwa muda mrefu bila kufifia rangi/kuchuja?

Ni kweli hatuwez kumudu nguo og unafikiria ununue nguo laki mbili aisee ni ghali Kwa maisha tunayoishi wengi
Shida wafanyabiashara nao wanatuponza mno na hizo lonya wanazotuletea. kuna vibrand flani flani hivo vina nguo bei za kawaida, ni nzuri na quality nzuri.

Mwaka 2018 nilinunua vi body suits vya mafungu SA, vya H&M na Zara. Nikanunua dozen. Ni cheap tu, na quality yake nzuri sana nilivaa hadi nikachoka wakavigawana madogo vikiwa bado vizuri kabisa.

Kuna nguo ni nzuri na cheap huku haziletwi sijui...
 
Its simple bro,kwa jeans nunua zile original ingawa ni bei kali. Zipo hadi laki moja kwa jeans moja au tshirt 50,000. Pili kuwa na nguo nyingi ili usirudie sana nguo na hence usifue mara kwa mara. Tatu nguo kama jeans haifuliwi mara kwa mara kwa mwaka iwe hata mara 4 hadi 5( uwe nazo nyingi). Nne tumia sabuni original kama vile Omo acha na zile sabuni za kupima tsh 500. Tano ukianika nguo anua mara tu baada ya kukauka,sio nguo unafua asubuhi inashinda siku nzima hadi kesho jioni.
 
Ni kweli inawezekana tumekosa iyo elimu ya kuagiza lkn tunakosa uhakika na unachoagiza mara nying picha sio uhalisia wa kitu
Kim Jong Jr
Watu wananunua Magari ya mamilion online Kwa picha sembuse hizo nguo za elfu 10 kumi!


1682281563671.jpg
1682281559766.jpg
1682281555414.jpg
 

Attachments

  • 1682280583700.jpg
    1682280583700.jpg
    60.8 KB · Views: 25
Shida wafanyabiashara nao wanatuponza mno na hizo lonya wanazotuletea. kuna vibrand flani flani hivo vina nguo bei za kawaida, ni nzuri na quality nzuri.

Mwaka 2018 nilinunua vi body suits vya mafungu SA, vya H&M na Zara. Nikanunua dozen. Ni cheap tu, na quality yake nzuri sana nilivaa hadi nikachoka wakavigawana madogo vikiwa bado vizuri kabisa.

Kuna nguo ni nzuri na cheap huku haziletwi sijui...

Yaah SA Hii fursa ya nguo nimeiona na ni rahisi sana kwa upande wangu

Shida moja ya waTanzania walio wengi ni wanapenda Vitu cheap jamani yaani Yupo radhi anunue Vya 10.000 hata Mia ajaze ndani ila siyo kitu cha 100,000 kimoja [emoji119]
 
Inategemea na jinsi unavyotumia nguo zako, Kuna watu anaweza kaa na nguo mwilini kea muda wa siku 3 kuendelea bila kabadilisha,afu kazi anazofanya Zina nature ya uchafu mwingi sana.

Nguo inakuwa imechafuka Sana na kufua ing'are Ni shughuli pevu Yaani lazima utumie brush ndo itakate.Sasa nguo Kama hiyo itakosaje kuchakaa?
We ni seme tu
 
Au Nunua nyingi zisizo na ubora uwe unabadilisha Mara kwa mara
Afadhali hii 🤣
zikiwa nyingi ndani ya mwezi ukivaa mara 2/3 huwezi ona tumefubaa chap chap
 
Afadhali hii [emoji1787]
zikiwa nyingi ndani ya mwezi ukivaa mara 2/3 huwezi ona tumefubaa chap chap

Ila kwa mwanaume Hapana
Ajichange tu
Jeans zake 10
Za kitambaa 5(depends na majukumu)
Cardet 10
Track 5
Shorts Kama anavaa 5
T shirt round 10
T shirt V 6
T shirt form 6 10
Shati mikono mifupi 10
Shati mikono mirefu 10
 
Yaah SA Hii fursa ya nguo nimeiona na ni rahisi sana kwa upande wangu

Shida moja ya waTanzania walio wengi ni wanapenda Vitu cheap jamani yaani Yupo radhi anunue Vya 10.000 hata Mia ajaze ndani ila siyo kitu cha 100,000 kimoja [emoji119]
Siku ukiwa tayari tuyajenge...... Tukikomaa labda tutatengeneza costumer base yetu.

Kule bwana nguo nzuriiiii....Afu bei kawaida sana.
 
Siku ukiwa tayari tuyajenge...... Tukikomaa labda tutatengeneza costumer base yetu.

Kule bwana nguo nzuriiiii....Afu bei kawaida sana.

Nipo tayari muda wote
Nikitaka mzigo hata kesho unafungwa unakuja
Shida ni hao watejaa
Yaani wanatulazimisha tuwauzie maronya
 
Nipo tayari muda wote
Nikitaka mzigo hata kesho unafungwa unakuja
Shida ni hao watejaa
Yaani wanatulazimisha tuwauzie maronya
Balaa! Sisi ndio aina ya watu tunatamani kufanya biashara ili tujiuzie wenyewe 😀
 
maxresdefault.jpg


Habari wakuu, nguo ni mojawapo ya mahitaji matatu muhimu. Ni hitaji muhimu lakini bajeti yake nayo inabidi ichungwe hasa kwa kina sisi ambao bado uchumi haujawa stable.

Huwa nasikitika sana nimenunua nguo lakini nikifua tu mara mbili ama mara tatu ni hohe hahe, nguo inakuwa imeanza kufifia na kuchuja, hapa kukwepa aibu ni kununua tu nyingine ila bajeti nayo inapigwa na upepo wa kisuli suli.

Nguo zenyewe hususani ni hizi jeans na cardets hata za mitumba zilizovaliwa sana huko lakini huku zikifika ukifua mara 4 mara 5 shida yani.

Tunakwepa sabuni za unga tunatumia sabuni za vipande lakini wapi, Kuna jeans yangu niliipenda sana niliifua kama mara tano hivi haitamaniki

Ni vipi tunaweza kufua nguo kwa kuhakikisha zinakaa muda mrefu?
Kwa elimu yangu ya Fizikia, Ili nguo idumu na rangi yake(achana na zile zilizopigwa dye )usianike juani.
 
Inategemea na nguo yenyewe, grades (Wenyewe wanaita malonya), hasa zinazo chuja rangi.
Pia;
1. Kuifua mara kwa mara (kupendelea kuivaa/kauka nikuvae).
2. Kuianika juani muda mrefu
3. Aina ya sabuni tunazofulia (Nafikiri Omo na Ariel ni best).
4. Maji ya chumvi yanapausha nguo
 
Back
Top Bottom