Ni sababu ipi inapelekea asilimia kubwa ya wanawake kuwa na mahusiano ya kimapenzi na bodaboda?

kwa utafiti mfupi nilioufanya nimegundua akina dada wengi hasa wake za watu wanadate na mabodaboda

kwa anaejua chanzo cha akina Dada kutokwa macho kwa mabodaboda anijuze haraka sana kuna maamuzi nataka kuyachukua
Unatako kuwa boda boda?
 
tajiri mi mbona nshakuelewa
 
Mkuu wewe ni boda boda?
 
Mkuu nakubaliana na wewe, kuna ndugu yangu mmoja baada ya kumaliza form 6 miaka mi3 iliyopita aligoma kabisa kuendelea na chuo, badala yake alinunua pikipik mpya na kuanza u-bodaboda ilikuwa ngumu mwanzoni maana wazee walimkalia sana vikao wakidai anadhalilisha familia (kutokana na asili ya kiarabu tuliyonayo)

Lakini jamaa aligoma kabisa kuwasikiliza na wazee wakafanya kama kumsusa maana alionekana hana adabu. Lakini hivi sasa ninavyokuambia ana bodaboda jumla 32 na yeye bado anapiga kazi, na ana mjengo wa maana na gari ya kutembelea kaiweka uani kwake. Ila still bado ni bodaboda.
 
Umeandika kwa hisia sanaa mkuu...ukichanganya na ile 100 mama aliyoirudisha kwenye tozo ya mafuta basi ni kisirani tupu
 
hiki ndo chanzo cha mimi kuwa single mpaka hivi leo kitu DHARAU Mungu wangu!!!!![emoji24][emoji24][emoji24]
 
Tatizo humu watu ni wabishi Sana na wanadharau sana.
 
hiki ndo chanzo cha mimi kuwa single mpaka hivi leo kitu DHARAU Mungu wangu!!!!![emoji24][emoji24][emoji24]
Watu hawaelewi ...mwanamke atakusamehe yote Ila dharau hata aje papa akuombee msamaha yaani hauta fanya kitu ....na hasahau kamwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…