Anakudharau sana.Kinachonipa changamoto ya kuwaza sana n kuwa wife licha ya kupata ushahidi wote hadi wa maabara bado anakataa
We jamaa katili sanaFukuza MKE na mtoto asiye wako
Wewe unamwita Player boy hana mwelekeo wakati ndiye kamtomba mkeo? Bado ubamdharau?😅😅Mtoto ananiwazisha sana
Nina hakika huyu mtoto anaingia kwenye maisha magumu sana
Baba mtoto mwenyewe ni Playerboy asiye na uelekeo wa kutunza mtoto
Mama katoka nje katombwa hadi mimba akaiacha ikakua hadi akazaa na akakumbambikia....yaani anakuona kama zombie vileKuna Makosa Kwa mwanaume hayasameheki,
Mojawapo ni MKE ku-cheat,
Sasa kama alibeba mpaka mimba akakubambikia😀😀 hiyo ni zaidi ya dharau.
Hapo unafukuza wote.
Sijui Kwa nini Vijana WA siku hizi hawajiamini
Acha story za kinyonge hizo, kuna watakao kwambia samehe tu mtoto hana kosa, ndiyo hana kosa lakini siyo mtoto wako.Nimegundua wife alichepuka akabeba mimba na kujifungua mtoto hafanani na mimi baba yake wala mama yake
Hapa nimekaa na mtoto hadi miaka miwili imefika
Nipo njia panda nimuache wife na mtoto au niendelee kuishi nao!?
Jamaa haelewi kabisa anataka niniMie kanitia hasira sanaa, tena akiendelea na ujinga wake atazidi kuzalishiwa mke wake na hata akioa mwingine anaweza kuzalishwa na wahuni.
Sasa si ni bora mtoto wa ku adopt kuliko wa aina hiyo ya kugeuzwa falaIla ukae Naye tuu hakuna namna,mimi mwenyewe nafikiria kuadopt ,ila Nina wa kwangu
Nakushauri uendelee na upuuzi wako na ndio maana mkeo kapata guts za kuzaa nje, kisha akamwambia rafiki yake, kisha mkapima akakana majibu ya DNA. Wewe ni mnyonge, ishi hivyo hivyo na mkeo anakujua ndio maana anagomea hata DNA results.Baba yake yupo Huko Kusini dereva wa Daladala kazalisha sana wanawake huko
Dogo day care nimelipia 2m ada ya mwezi sijui maisha yake yatakuwaje
Mama mtu naye n mzigo tu kila unachomwanziashia kufanya kinakufa
Mae...una shida wewe, siyo bure. Huko tunapoelekea na huu uzi utakandikwa makofi au mods watakupiga ban.Mtoto ananiwazisha sana
Nina hakika huyu mtoto anaingia kwenye maisha magumu sana
Baba mtoto mwenyewe ni Playerboy asiye na uelekeo wa kutunza mtoto
Jamaa kashachezewa akili huyu.Mama katoka nje katombwa hadi mimba akaiacha ikakua hadi akazaa na akakumbambikia....yaani anakuona kama zombie vile
Huyo jamaa inavyoelekea ni ndocha fulaniJamaa kashachezewa akili huyu.
We are sailing in the same boat...Nimegundua wife alichepuka akabeba mimba na kujifungua mtoto hafanani na mimi baba yake wala mama yake
Hapa nimekaa na mtoto hadi miaka miwili imefika
Nipo njia panda nimuache wife na mtoto au niendelee kuishi nao!?
Hafanani na mama yake tena! Itakuwa labda mlibadilishiwa hospitali kama alizaliwa hospitali.Nimegundua wife alichepuka akabeba mimba na kujifungua mtoto hafanani na mimi baba yake wala mama yake
Hapa nimekaa na mtoto hadi miaka miwili imefika
Nipo njia panda nimuache wife na mtoto au niendelee kuishi nao!?
Mtu ana matatizo unatumia lugha mbaya una matatizo ganiAtakuwa hanidhi hazalishi
"Listen to your gut"Nimegundua wife alichepuka akabeba mimba na kujifungua mtoto hafanani na mimi baba yake wala mama yake
Hapa nimekaa na mtoto hadi miaka miwili imefika
Nipo njia panda nimuache wife na mtoto au niendelee kuishi nao!?
Wawili
Pita kwa wakili atakupa muongozo mzuriAnan
Anakudharau sana.
Ulipimia wapi?
Nipe mwongozo nikawapime hawa wangu watatu kabla sijawandikia wosia wa kurithi mali zangu
Nakuelewa Mkuu n hali inafika akili inagandaWewe una akili timamu kweli? Anakuwazisha kwani ni mtoto wako? Unanitia hasira asee!
Na kuna swali unalikwepa hadi sasa hivi..... huyo mke una watoto nae wangapi?