Ni sahihi kwa mtoto kuona picha ya baba yake alipokuwa mtoto?

Ni sahihi kwa mtoto kuona picha ya baba yake alipokuwa mtoto?

Kuna picha moja nikiwa na miaka kama miwili hivi ilipigwa 1991 nimevaa suti nimejikojolea af nalia sura imekunjamana.
Wanangu siki wameiona walicheka sanaaaaa....yan walicheka ..but hakuna changes zozote katika mahusiano na namna wanavyonichukulia kulinga na msingi wa kwajengea nidhamu uliotumika
 
Unakuta mtoto ana miaka 15 na kuendelea kisha anakutana na picha ya utotoni ya baba yake. Baadae jioni anamuona baba anarudi nyumbani.

Hivi mnadhani huyu mtoto anaweza kuweka au kudumisha heshima kwa mzazi aliyokuwa nayo awali?
Sidhani kama ni sahihi maana wababa uwa wanaibuka tu kutokakea porini wakiwa watu wazima kabisa..
 
Unakuta mtoto ana miaka 15 na kuendelea kisha anakutana na picha ya utotoni ya baba yake. Baadae jioni anamuona baba anarudi nyumbani.

Hivi mnadhani huyu mtoto anaweza kuweka au kudumisha heshima kwa mzazi aliyokuwa nayo awali?
Vipi tayari mwanao ameiona sura yako ya utotoni kama CHIMPANZEE kabla hujafanya surgery?
 
Unakuta mtoto ana miaka 15 na kuendelea kisha anakutana na picha ya utotoni ya baba yake. Baadae jioni anamuona baba anarudi nyumbani.

Hivi mnadhani huyu mtoto anaweza kuweka au kudumisha heshima kwa mzazi aliyokuwa nayo awali?
Aisee, JF inapitia wakati mgumu sana! Ifike wakati kuwe na vigezo kwa mtu anayetaka kujiunga lasivyo tutajikuta tunasoma nyuzi za wagonjwa wa Milembe.
 
Kuna picha moja nikiwa na miaka kama miwili hivi ilipigwa 1991 nimevaa suti nimejikojolea af nalia sura imekunjamana.
Wanangu siki wameiona walicheka sanaaaaa....yan walicheka ..but hakuna changes zozote katika mahusiano na namna wanavyonichukulia kulinga na msingi wa kwajengea nidhamu uliotumika
Duh 😅 ila huwezi kujua wanawaza nini mkuu, au chemba wanadiscuss nini. Ila nahisi wakikuona na wakavuta picha huwa wanacheka moyoni
 
Back
Top Bottom