Ni sahihi kwa Mwanaume aliyeoa kupika?

Ushimen kuna wadau wanauliza huku eti huwa una kuna na nazi?
 
Hayo ni malezi tu yanakuja kujenga mazoea

Mi msure huwa anapika enzi anatulea kama single Dad ila hata alipooa tuko wakubwa weekends anatoa hizo treat.

Lakin kwenye makuzi yao wanasema mama yao alikua hawatenganishi kazi za jikoni sijui za mwanamke

Hata nakua naona mabinam zangu wakiume wakiwa kwenye zamu ya upishi, vyombo sa hapo baadae kimoja kinaweza kua hobby...

Wala si kurogwa.
 
Hahahah umenikumbusha siku nimeenda ukweni baada ya long time.

Nilikabidhiwa Kisu, Wavu wa kuchomea nyama, kiberiti na Beberu la hatari
 
Jambo hema Baba kuwalikia wanaye. Inapendeza. Pia kuna ile akina sisi tulizaliwa madume tupu.
 
Swal la mwanaume kupika au kusaidia kazi yoyote ile ya ndani (ambayo anaiweza), likifanyika kwa utashi wa mwanaume mwenyewe bila kutumwa na mke wake haliwezi kuondoa thamani ya uanaume wake.

Mbaya ni ile kufanya kitu fulani kwasababu mke amekutaka ufanye, nasisitiza AMEKUTAKA UFANYE.
 
Lack of exposure, ungekuwa umetoka kidogo na kuiona dunia nje ya mipaka ya Tanzania hili jambo lisingekusumbuwa akili.

Kwanza nakupa challenge ni hotel gani unayoijuwa wewe Chef ni mwanamke?
 
Mbona ni maisha ya kwaida tu. Yani kama mimi kuna mboga au msosi flani nikitaka kula kujigalagaza namuachia mzee baba jiko.

Mkuu unafikir mahaba ni mpaka ubebwe upelekwe bafuni?
 
Lack of exposure, ungekuwa umetoka kidogo na kuiona dunia nje ya mipaka ya Tanzania hili jambo lisingekusumbuwa akili.

Kwanza nakupa challenge ni hotel gani unayoijuwa wewe Chef ni mwanamke?
Hotel ni kazini. Nyumbani is home of Mahaba tu.
 
Mbona ni maisha ya kwaida tu. Yani kama mimi kuna mboga au msosi flani nikitaka kula kujigalagaza namuachia mzee baba jiko.

Mkuu unafikir mahaba ni mpaka ubebwe upelekwe bafuni?
Hahahaa yale ya kitanga
 
Nimecheka vibaya mno...

Ila mkuu chai yenyewe huwa ina iva kweli??

Au nayo huwa inaungua pia 🤗😊
 
Siku hiz nazi hazikuniwi kwenye mbuzi tena
View attachment 2181175
Mzungu alijua wanaume wengi wanaona ni aibu kukaa kwenye mbuzi na kukuna nazi akaamua kurahisha mambo
Imewarahusishia wapishi wa kiume.

Kupika ni kwa mwanamke.

Mambo ya kumodify mpaka ukune na mashine inaonekana kazi ya upishi si yako una force tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…