Ni sahihi mke kuvaa skin tight mbele za watoto wake wa kiume?

Wazazi wa kike wa siku hizi wamekua watu wa hovyo kabisa hawana maadili ya kulea watoto wao matokeo yake mapunga na wasiotaka kuoa kuongezeka

Si vyema mama kuvaa mavazi ya kutatanisha mbele ya watoto wako wakiume haswa kwa wale walio kwenye balehe na waliokwisha balehe

Binafsi namuona mpuuzi na mpumbavu mama mtu mzima asiyevaa na kuzungumza kwa heshima.

Nb
Kumbuka unapotafuta mwanamke wa kuoa sio tu unatafuta mke bali unatafuta pia mlezi wa watoto wako, zingatia
 
πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜
 
Kwahiyo Bumunda linatuna mbele ya watoto na yeye anaona poa
 
Huyo shemeji yako ana cha kulindia mpunga,almaarufu mkia? Na kwanini mwamba anakushitakia wewe kwani wewe ni paroko?
 
Hahahaha πŸ˜‚ teacher angalia usiende kula watoto wetu
Utaenda jela
We bado unajitafuta
Acha tamaaa
Ukiona chup ya student pita mbali sana
Dedication 20% song Acha tamaaa mbaya
 
Wanawake hawanaga akili wao wanaona mtoto wa kiume ni kama wa kike.kama wewe ni Baba wa mtoto wa kiume vitu kama hivyo ni kutoa AMRI na ukirudia mara ya pili unamshtua na makofiiiiiii kidogo akili zinarudigi wakinaswa makofi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…