Chief Wingia
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 2,653
- 4,744
Haya wataje hizo shule au madrasa walizojenga huko Zanzibar walipotawala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uelewa wako wa utamaduni una mapana gani!?Tamaduni zao hazikuhusiana na kujenga shule , mbona misikiti walijenga ?
Autism inahusiana vipi na utamaduni?Marekani inaongozwa kwa autism,shida nini!?
Kanisa lilikuwa linapewa pesa na serikali tangu ya mjerumani,yaani Kodi ya abubakari kinjekitile ngwale na abdallah mkwawa,na huo mchezo haukuisha Hadi serikali huruKikwete ni muislamu ila amesoma shule za kanisa.
Mzee makamba ni muislamu ila amesoma shule za kanisa
mwarabu na shule ni sawasawa mbingu na ardhiHabari wadau.
Nasikia baada ya kupata uhuru mwaka 1961 serikali ilitaifisha shule zilizojengwa na wakoloni
Mfano shule zilizojengwa na wakoloni wazungu kama Ilboru, pugu, mazengo, forodhani, etc
Je ni shule zipi zilitaifishwa ambazo zilijengwa na wakoloni waarabu?
Maana waarabu walitangulia kuja tanganyika na zanzibar kwa kwa miaka zaidi ya 500 kabla wakoloni wazungu hawajaja
Mkuu sijazungumzia waislam, wakristo na wayahudi🤣🤣🤣🤣Mbona israel kuna gays wa kutosha nako walitawaliwa na mwarabu
Na mliambiwa Wana hela Hadi mkaenda kuomba!?Badala ya kuwapa watu elimu, wao wanawapa tende.
Kuna sehemu kulikua na shida ya madarasa, wakaemda kuombwa kuchangia ujenzi. Badala ya kuchangia ujenzi wa madarasa, wao wakaleta maboksi ya tende
We ni mtanzania tu mla ugali.Kwani unanijua vizuri na niko wapi? Suppose nimesoma na naishi huko mwanangu? Jifunze kuunganisha mdomo na ubongo wako kabla ya kuandika
Kwamba tz tuna elimu na ujuzi kuzidi Qatar, Saudia nk!?mwarabu na shule ni sawasawa mbingu na ardhi
Kwa nini hutaki ng'ambo, kuna nini umeona!?Mkuu sijazungumzia waislam, wakristo na wayahudi🤣🤣🤣🤣
Hapa bongo/lamu/Mombasa, pemba na Unguja, Tanga Dar gays wanatoka sehemu kwa waarabu au wazungu.
Usitupeleke ng'ambo ta EA
Mwarabu hakuwa mkoloni,faida ya kanisa ni nini!?Mkoloni muarabu aliacha magofu ya misikiti yake tu ambako huko nako kulikuwa na madrasa za kukaririsha watoto wa kiafrika lugha yake ambako athari yake ipo mpaka leo. Bora mkoloni mzungu aliyeacha makanisa na shule ambazo ni faida kwa waafrika hadi sasa.
Rudi kwa niliyemnukuuAutism inahusiana vipi na utamaduni?
Tuliambiwa na nani? Wameombwa na wenzao wavaa kobaziNa mliambiwa Wana hela Hadi mkaenda kuomba!?
Hata waislam wasomi wamesomea western au unataka kunitajia msomi wa Zenzi aliyesomea arabuni 😂😂😂😂Kwa nini hutaki ng'ambo,Kuna nini umeona!?
Hapa hata wewe inaonyesha shule imekupita mbali, kukulili kitabu kukoje na kusoma kukuje.Mwarabu na shule wapi na wapi?
Yeye anakitabu chake kimoja ukishakikariri tayari kimekamilika na itakuwa umeeleea hesabu zote kuanzia hisabati, mathematics, additional mathematics, basic applied mathematics,pure mathematics, physic,chemistry, biology , finance, law , engineering nk. Hawahitaji madrasa ya kawaida Wala viti vya kukaa
faida ni shuleMwarabu hakuwa mkoloni,faida ya kanisa ni nini!?