Ni shule gani ya sekondari ilijengwa na wakoloni Waarabu halafu Serikali ikaitaifisha baada ya uhuru 1961?

Ni shule gani ya sekondari ilijengwa na wakoloni Waarabu halafu Serikali ikaitaifisha baada ya uhuru 1961?

Kikwete ni muislamu ila amesoma shule za kanisa.

Mzee makamba ni muislamu ila amesoma shule za kanisa
Kanisa lilikuwa linapewa pesa na serikali tangu ya mjerumani,yaani Kodi ya abubakari kinjekitile ngwale na abdallah mkwawa,na huo mchezo haukuisha Hadi serikali huru
 
Habari wadau.

Nasikia baada ya kupata uhuru mwaka 1961 serikali ilitaifisha shule zilizojengwa na wakoloni

Mfano shule zilizojengwa na wakoloni wazungu kama Ilboru, pugu, mazengo, forodhani, etc

Je ni shule zipi zilitaifishwa ambazo zilijengwa na wakoloni waarabu?

Maana waarabu walitangulia kuja tanganyika na zanzibar kwa kwa miaka zaidi ya 500 kabla wakoloni wazungu hawajaja
mwarabu na shule ni sawasawa mbingu na ardhi
 
Mbona israel kuna gays wa kutosha nako walitawaliwa na mwarabu
Mkuu sijazungumzia waislam, wakristo na wayahudi🤣🤣🤣🤣


Hapa bongo/lamu/Mombasa, pemba na Unguja, Tanga Dar gays wanatoka sehemu kwa waarabu au wazungu.

Usitupeleke ng'ambo ta EA
 
Kwani unanijua vizuri na niko wapi? Suppose nimesoma na naishi huko mwanangu? Jifunze kuunganisha mdomo na ubongo wako kabla ya kuandika
We ni mtanzania tu mla ugali.

Suppose ni imagery .

Kaangalie international School hapa bongo matokeo yao au mitaala yao ipo sawa na nyie?

👉 kaangalie idadi ya wanafunzi wa hizo international school ni raia wa jamii gani?

👉Kaangalie matajiri wengi ni jamii gani?

Then uje hapa maliza kula ugali kabisa.
 
Mkoloni muarabu aliacha magofu ya misikiti yake tu ambako huko nako kulikuwa na madrasa za kukaririsha watoto wa kiafrika lugha yake ambako athari yake ipo mpaka leo. Bora mkoloni mzungu aliyeacha makanisa na shule ambazo ni faida kwa waafrika hadi sasa.
 
Mkuu sijazungumzia waislam, wakristo na wayahudi🤣🤣🤣🤣


Hapa bongo/lamu/Mombasa, pemba na Unguja, Tanga Dar gays wanatoka sehemu kwa waarabu au wazungu.

Usitupeleke ng'ambo ta EA
Kwa nini hutaki ng'ambo, kuna nini umeona!?
 
Mwarabu na shule wapi na wapi?

Yeye anakitabu chake kimoja ukishakikariri tayari kimekamilika na itakuwa umeeleea hesabu zote kuanzia hisabati, mathematics, additional mathematics, basic applied mathematics,pure mathematics, physic,chemistry, biology , finance, law , engineering nk. Hawahitaji madrasa ya kawaida Wala viti vya kukaa
Hapa hata wewe inaonyesha shule imekupita mbali, kukulili kitabu kukoje na kusoma kukuje.
Haya tuseme watanzania wakristo ni ea somi, na tuone kupitia elimu ya wameisaidia nini Tanzania.

Ukiisoma historia ya Tanzania, utaona wale ambao hawakusoma ndiyo asilimia kubwa walipogania uhuru wa nchi, hata ukiangalia eneo la kiuchumi biashara kubwa kubwa zimeshikiliwa na wale wasiosoma, huku waliosoma, wakishindwa hata kuanzisha kiwanda cha spoku za baiskeli zinazotengezwa china.

Alafu kuna maneno ya Chini chini watu wanasema, Ustarabu ulianzis pwani, kwa wasiosoma eti hata Lugha adhimu ya Kiswahili ikianzia huko.
 
Back
Top Bottom