Ni siku gani kubeti kulitaka kukutoa uhai?

Ni siku gani kubeti kulitaka kukutoa uhai?

Usnikumbushe maumivu ya uefa mwaka Jana,Madrid na mancity pale bernabeu[emoji22]

Nilibet Live in play,
dkk ya 80 man city anaongoza Moja bila nikampa man city to qualify odds 1.06 -NIKATIA MZIGO pamoja na man city to win 1.14 - NIKATIA MZIGO

Dakk 9 tu zilizofata niliambulia maumivu makali sana[emoji22] View attachment 2392387
Mkuu ndo maana siku hizi sikuoni kwenye jukwaa la kanji[emoji3][emoji3]
 
sitosahau mwaka 2017 mkamalia mwenzangu alivyoaga dunia tukiwa kwenye gari tunampeleka hospital..story ilikuwa ni ivi jamaa alibeti timu 11 premier betting akatia 250k ikawa inatoka 110m mechi 6 zilikuwa zinacheza jumamosi, 4 jumapili na moja jumatatu ..zikatoa zote ikawa imebaki moja inacheza jumatatu LIlle vs PSG ..jamaa alishajipa uhakika mazima kuwa PSG anashinda akaenda mpaka kutafuta kiwanja cha kuanza kuje ga ..siku ya mechi PSG kafa 4-2 tukamuona mtu anaishiwa nguvu mara pumzi inatoka kwa shida kumuaisha hospital akafia njian.
Aisee inawezekana kabisaa haya mambo balaaa...!!
 
Aisee Yuefa flani nilicheza Meridinabet kutumia bonus kubet ya 3000 unayopewa ukijiunga na Odda masharti yake ziwe 3+ aisee nitandika keka la Mechi za uefaa option za kibabe sana Ikabaki Lazio na Dortmund option second half kila timu ifunge goli nilikuwa nakula 2.5M kwa buku 3 aiseee sikuamini Siku ile dortmund walinitosaa tena Hallaand hakucheza mbwa waleee shenzi sana. Ila sijawahi weka stake kubwa kusema ukweli maana kanji ana balaa[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Juventus 0 - 1 Empoli.

Nilikosa usingizi mwezi mzima na bodaboda yangu niliiona chungu mwezi mzima nilikuwa natoa deiwaka tu!.

Niliweka mkeka sportpesa wenye mechi 38(behewa)ambao endapo ningeshinda nilikuwa najikamatia 22 Milioni point something na niliweka buku 2 tu.Sitakaa nisahau aisee!.

Mechi zote nikafanikiwa kushinda na ikawa Imebaki mechi ya Juventus vs Empoli,ilikuwa mwanzo kabisa wa ligi na nakumbuka ndiyo Ronaldo amemaliza kuhama Juventus!,hakuna siku niliomba,kufunga na kusali kama wakati naisubiri hiyo mechi!.Kibaya zaidi nilimpa Juventus direct win na kibaya zaidi saaaaaana hiyo hela nishaanza kuipangia bajeti!.

Aisee baada ya ile mechi nilizima simu wiki nzima na sikupata usingizi takribani mwezi kila nikikumbuka!.

Omba yasikukute mkuu!.
Kwanini hukuturbo ?

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Kuna siku nilweka walaka (mechi 32)
Nilichangnya bet..mkeka ulikua wa week 2
Ulikua unatoa kma million 45 hvi niweka stake ya Mia sana.

Mkeka ukatoa mechi 31 then cash out inatoka milion 2 na laki 5 hivii.........
Ile mechi iliyobaki niliipa 0.5 yaani lipatikane goli moja tu...
Na nikianglia kweny history wale jamaa wanafungna Sana...

Nkasema huyu mhindi leo Kala hasara ...zilikua timu za Argentina...zinacheza mida ya saa nane usiku bc mzee sikulala hdi sa 11 dk ya 90 bila bila....Daaah dk za nyongeza

Kuna timu inapata penat nkasema Sasa "kwishaaa" weee jmaa kapaisha penat kwnd kweny cash out inagoma....
Toka siku hyo. Nimeacha kubet.
 
sitosahau mwaka 2017 mkamalia mwenzangu alivyoaga dunia tukiwa kwenye gari tunampeleka hospital..story ilikuwa ni ivi jamaa alibeti timu 11 premier betting akatia 250k ikawa inatoka 110m mechi 6 zilikuwa zinacheza jumamosi, 4 jumapili na moja jumatatu ..zikatoa zote ikawa imebaki moja inacheza jumatatu LIlle vs PSG ..jamaa alishajipa uhakika mazima kuwa PSG anashinda akaenda mpaka kutafuta kiwanja cha kuanza kuje ga ..siku ya mechi PSG kafa 4-2 tukamuona mtu anaishiwa nguvu mara pumzi inatoka kwa shida kumuaisha hospital akafia njian.
Get rich or die trying
 
Kuna siku nilweka walaka (mechi 32)
Nilichangnya bet..mkeka ulikua wa week 2
Ulikua unatoa kma million 45 hvi niweka stake ya Mia sana.

Mkeka ukatoa mechi 31 then cash out inatoka milion 2 na laki 5 hivii.........
Ile mechi iliyobaki niliipa 0.5 yaani lipatikane goli moja tu...
Na nikianglia kweny history wale jamaa wanafungna Sana...

Nkasema huyu mhindi leo Kala hasara ...zilikua timu za Argentina...zinacheza mida ya saa nane usiku bc mzee sikulala hdi sa 11 dk ya 90 bila bila....Daaah dk za nyongeza

Kuna timu inapata penat nkasema Sasa "kwishaaa" weee jmaa kapaisha penat kwnd kweny cash out inagoma....
Toka siku hyo. Nimeacha kubet.
Mkuu, kuna mtu nilimwambia huko juu zipo timu za over 0.5 zinagoma betting haina formular ni upepo tu.
 
Kuna siku nilweka walaka (mechi 32)
Nilichangnya bet..mkeka ulikua wa week 2
Ulikua unatoa kma million 45 hvi niweka stake ya Mia sana.

Mkeka ukatoa mechi 31 then cash out inatoka milion 2 na laki 5 hivii.........
Ile mechi iliyobaki niliipa 0.5 yaani lipatikane goli moja tu...
Na nikianglia kweny history wale jamaa wanafungna Sana...

Nkasema huyu mhindi leo Kala hasara ...zilikua timu za Argentina...zinacheza mida ya saa nane usiku bc mzee sikulala hdi sa 11 dk ya 90 bila bila....Daaah dk za nyongeza

Kuna timu inapata penat nkasema Sasa "kwishaaa" weee jmaa kapaisha penat kwnd kweny cash out inagoma....
Toka siku hyo. Nimeacha kubet.
Daah... maumivu yake si mchezo kabisa
 
Kuna siku nilweka walaka (mechi 32)
Nilichangnya bet..mkeka ulikua wa week 2
Ulikua unatoa kma million 45 hvi niweka stake ya Mia sana.

Mkeka ukatoa mechi 31 then cash out inatoka milion 2 na laki 5 hivii.........
Ile mechi iliyobaki niliipa 0.5 yaani lipatikane goli moja tu...
Na nikianglia kweny history wale jamaa wanafungna Sana...

Nkasema huyu mhindi leo Kala hasara ...zilikua timu za Argentina...zinacheza mida ya saa nane usiku bc mzee sikulala hdi sa 11 dk ya 90 bila bila....Daaah dk za nyongeza

Kuna timu inapata penat nkasema Sasa "kwishaaa" weee jmaa kapaisha penat kwnd kweny cash out inagoma....
Toka siku hyo. Nimeacha kubet.
Dah mechi 32 wengine mnavipaji. Sii tuwapeni mitaji ya maana muwe mnatuchagulia timu zetu mbili tunatia laki tunatengene,a buku 50 daily
 
sitosahau mwaka 2017 mkamalia mwenzangu alivyoaga dunia tukiwa kwenye gari tunampeleka hospital..story ilikuwa ni ivi jamaa alibeti timu 11 premier betting akatia 250k ikawa inatoka 110m mechi 6 zilikuwa zinacheza jumamosi, 4 jumapili na moja jumatatu ..zikatoa zote ikawa imebaki moja inacheza jumatatu LIlle vs PSG ..jamaa alishajipa uhakika mazima kuwa PSG anashinda akaenda mpaka kutafuta kiwanja cha kuanza kuje ga ..siku ya mechi PSG kafa 4-2 tukamuona mtu anaishiwa nguvu mara pumzi inatoka kwa shida kumuaisha hospital akafia njian.
Duh!,betting imeshaua kumbe
 
Mi naumiaga kila siku tu. Hii habari yakuziamini clubs zenye majina makubwa na direct win zinaniponzaga sana. Atleast kwenye OVER/UNDER na DOUBLE CHANCE huwa zinanitoaga ila kidogo sana.
 
Back
Top Bottom