ToniXrated
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 1,134
- 2,993
Kamari huwa ni ulevi mkali sana kuliko hata ulevi wa pombe. Ukishauingia ulevi huu kuuacha ni ngumu na inahitaji sana maamuzi magumu ili uweze kuachana nao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ndo maana siku hizi sikuoni kwenye jukwaa la kanji[emoji3][emoji3]Usnikumbushe maumivu ya uefa mwaka Jana,Madrid na mancity pale bernabeu[emoji22]
Nilibet Live in play,
dkk ya 80 man city anaongoza Moja bila nikampa man city to qualify odds 1.06 -NIKATIA MZIGO pamoja na man city to win 1.14 - NIKATIA MZIGO
Dakk 9 tu zilizofata niliambulia maumivu makali sana[emoji22] View attachment 2392387
Aisee inawezekana kabisaa haya mambo balaaa...!!sitosahau mwaka 2017 mkamalia mwenzangu alivyoaga dunia tukiwa kwenye gari tunampeleka hospital..story ilikuwa ni ivi jamaa alibeti timu 11 premier betting akatia 250k ikawa inatoka 110m mechi 6 zilikuwa zinacheza jumamosi, 4 jumapili na moja jumatatu ..zikatoa zote ikawa imebaki moja inacheza jumatatu LIlle vs PSG ..jamaa alishajipa uhakika mazima kuwa PSG anashinda akaenda mpaka kutafuta kiwanja cha kuanza kuje ga ..siku ya mechi PSG kafa 4-2 tukamuona mtu anaishiwa nguvu mara pumzi inatoka kwa shida kumuaisha hospital akafia njian.
Dakika 2 goli mbili, unaeza ukazirai [emoji38][emoji38][emoji38]
HeheheMimi huwa nikikumbuka natafuta mahali tulivu nalia kwanza [emoji22][emoji22]
Wala hawajageuka nyumaNilimuomba untd na udinese
Over 1.5,wakaondoka na laki
Kwenye maisha usidharau wanachofanya wenzio hata kama ww hauoni thamani yake, watu wanaendesha maisha through bettingWanaobet wana ugonjwa wa akili, ni waota ndoto tu kama Alinacha.
Vv
Kwanini hukuturbo ?Juventus 0 - 1 Empoli.
Nilikosa usingizi mwezi mzima na bodaboda yangu niliiona chungu mwezi mzima nilikuwa natoa deiwaka tu!.
Niliweka mkeka sportpesa wenye mechi 38(behewa)ambao endapo ningeshinda nilikuwa najikamatia 22 Milioni point something na niliweka buku 2 tu.Sitakaa nisahau aisee!.
Mechi zote nikafanikiwa kushinda na ikawa Imebaki mechi ya Juventus vs Empoli,ilikuwa mwanzo kabisa wa ligi na nakumbuka ndiyo Ronaldo amemaliza kuhama Juventus!,hakuna siku niliomba,kufunga na kusali kama wakati naisubiri hiyo mechi!.Kibaya zaidi nilimpa Juventus direct win na kibaya zaidi saaaaaana hiyo hela nishaanza kuipangia bajeti!.
Aisee baada ya ile mechi nilizima simu wiki nzima na sikupata usingizi takribani mwezi kila nikikumbuka!.
Omba yasikukute mkuu!.
😁Hawa ni kazi kazi lazima uwaogope wanaweza kuweka ata 6 hukoOption 1-5 ndio habari yenyewe, bata zangu zinaboostiwa na hio option, nikiwa sina pesa na ninampango na pisi kali ndio zangu, mende wenu kama bayern, mancity, psv, ajax, benfica siwagusi sitaki ujinga.
Get rich or die tryingsitosahau mwaka 2017 mkamalia mwenzangu alivyoaga dunia tukiwa kwenye gari tunampeleka hospital..story ilikuwa ni ivi jamaa alibeti timu 11 premier betting akatia 250k ikawa inatoka 110m mechi 6 zilikuwa zinacheza jumamosi, 4 jumapili na moja jumatatu ..zikatoa zote ikawa imebaki moja inacheza jumatatu LIlle vs PSG ..jamaa alishajipa uhakika mazima kuwa PSG anashinda akaenda mpaka kutafuta kiwanja cha kuanza kuje ga ..siku ya mechi PSG kafa 4-2 tukamuona mtu anaishiwa nguvu mara pumzi inatoka kwa shida kumuaisha hospital akafia njian.
Mkuu, kuna mtu nilimwambia huko juu zipo timu za over 0.5 zinagoma betting haina formular ni upepo tu.Kuna siku nilweka walaka (mechi 32)
Nilichangnya bet..mkeka ulikua wa week 2
Ulikua unatoa kma million 45 hvi niweka stake ya Mia sana.
Mkeka ukatoa mechi 31 then cash out inatoka milion 2 na laki 5 hivii.........
Ile mechi iliyobaki niliipa 0.5 yaani lipatikane goli moja tu...
Na nikianglia kweny history wale jamaa wanafungna Sana...
Nkasema huyu mhindi leo Kala hasara ...zilikua timu za Argentina...zinacheza mida ya saa nane usiku bc mzee sikulala hdi sa 11 dk ya 90 bila bila....Daaah dk za nyongeza
Kuna timu inapata penat nkasema Sasa "kwishaaa" weee jmaa kapaisha penat kwnd kweny cash out inagoma....
Toka siku hyo. Nimeacha kubet.
Daah... maumivu yake si mchezo kabisaKuna siku nilweka walaka (mechi 32)
Nilichangnya bet..mkeka ulikua wa week 2
Ulikua unatoa kma million 45 hvi niweka stake ya Mia sana.
Mkeka ukatoa mechi 31 then cash out inatoka milion 2 na laki 5 hivii.........
Ile mechi iliyobaki niliipa 0.5 yaani lipatikane goli moja tu...
Na nikianglia kweny history wale jamaa wanafungna Sana...
Nkasema huyu mhindi leo Kala hasara ...zilikua timu za Argentina...zinacheza mida ya saa nane usiku bc mzee sikulala hdi sa 11 dk ya 90 bila bila....Daaah dk za nyongeza
Kuna timu inapata penat nkasema Sasa "kwishaaa" weee jmaa kapaisha penat kwnd kweny cash out inagoma....
Toka siku hyo. Nimeacha kubet.
Mweee mechi dhidi ya lazio alisepa na kijiji hakukuwa ata na goli moja🤣🤣🤣🤣udinese sasa havi mcheze 2+ hana ubishi
Yaan huu huwa ni uchawi sio bureGame ya Juzi
Atletico Madrid - Rayo Vallecano
Nilimpa Atletico Madrid nikawa nasubiria mpira uishe nile pesa yangu sasa angalia kilichotokea
View attachment 2392517
Dah mechi 32 wengine mnavipaji. Sii tuwapeni mitaji ya maana muwe mnatuchagulia timu zetu mbili tunatia laki tunatengene,a buku 50 dailyKuna siku nilweka walaka (mechi 32)
Nilichangnya bet..mkeka ulikua wa week 2
Ulikua unatoa kma million 45 hvi niweka stake ya Mia sana.
Mkeka ukatoa mechi 31 then cash out inatoka milion 2 na laki 5 hivii.........
Ile mechi iliyobaki niliipa 0.5 yaani lipatikane goli moja tu...
Na nikianglia kweny history wale jamaa wanafungna Sana...
Nkasema huyu mhindi leo Kala hasara ...zilikua timu za Argentina...zinacheza mida ya saa nane usiku bc mzee sikulala hdi sa 11 dk ya 90 bila bila....Daaah dk za nyongeza
Kuna timu inapata penat nkasema Sasa "kwishaaa" weee jmaa kapaisha penat kwnd kweny cash out inagoma....
Toka siku hyo. Nimeacha kubet.
Duh!,betting imeshaua kumbesitosahau mwaka 2017 mkamalia mwenzangu alivyoaga dunia tukiwa kwenye gari tunampeleka hospital..story ilikuwa ni ivi jamaa alibeti timu 11 premier betting akatia 250k ikawa inatoka 110m mechi 6 zilikuwa zinacheza jumamosi, 4 jumapili na moja jumatatu ..zikatoa zote ikawa imebaki moja inacheza jumatatu LIlle vs PSG ..jamaa alishajipa uhakika mazima kuwa PSG anashinda akaenda mpaka kutafuta kiwanja cha kuanza kuje ga ..siku ya mechi PSG kafa 4-2 tukamuona mtu anaishiwa nguvu mara pumzi inatoka kwa shida kumuaisha hospital akafia njian.
Huwa mnafaidika na nini kupinga pinga tu hata ambavyo huvijui,unazan kwa vile wewe kupata elfu 10 ilivyongumu unazani na kila mtu iko hivyoChai, yaan huo upumbavu wa kiwango kikubwa mno. GAME 11 uweke 250k??? A very very very very big MISTAKE...