Ni siku gani kubeti kulitaka kukutoa uhai?

Ni siku gani kubeti kulitaka kukutoa uhai?

Lazi juzi kanikosesha laki ningeamkia sokoni kuchukua jogoo
 

Attachments

  • Screenshot_20221021-093349_1xBet.jpg
    Screenshot_20221021-093349_1xBet.jpg
    107.2 KB · Views: 34
Huu
Kuna siku nilweka walaka (mechi 32)
Nilichangnya bet..mkeka ulikua wa week 2
Ulikua unatoa kma million 45 hvi niweka stake ya Mia sana.

Mkeka ukatoa mechi 31 then cash out inatoka milion 2 na laki 5 hivii.........
Ile mechi iliyobaki niliipa 0.5 yaani lipatikane goli moja tu...
Na nikianglia kweny history wale jamaa wanafungna Sana...

Nkasema huyu mhindi leo Kala hasara ...zilikua timu za Argentina...zinacheza mida ya saa nane usiku bc mzee sikulala hdi sa 11 dk ya 90 bila bila....Daaah dk za nyongeza

Kuna timu inapata penat nkasema Sasa "kwishaaa" weee jmaa kapaisha penat kwnd kweny cash out inagoma....
Toka siku hyo. Nimeacha kubet.
Huu ni uongo, mkeka wa milioni 45 wanakupaje cashout 2.5M afu imebaki timu moja umeweka over 0.5 ambayo hata odds ukiwa kubwa sana haizidi 1.5

Au kuna typing error?
 
Kuna wakati mrusi nae anapasuka sana tu sema betting ni timing tu
 

Attachments

  • Screenshot_20221021-094643_1xBet.jpg
    Screenshot_20221021-094643_1xBet.jpg
    95.9 KB · Views: 34
Hivi michezo ya kubashiri inaweza kutumika kama njia ya kujikwamua kiuchumi? Vipi kuhusu uraibu (addictions) faida na hasara kwa vijana, watoto na jamii kwa ujumla?
 
Kwenye maisha usidharau wanachofanya wenzio hata kama ww hauoni thamani yake, watu wanaendesha maisha through betting
Mkuu, wewe unaona ni sawa? Hivi unaamini kabisa kuwa hao wenye makampuni ya betting wana mahela mengi na wanatafuta watu wa kuwagawia? Yaani unatoa buku unapewa milioni!

Ndio maana inasemwa betting is a mental disorder, tafiti zimethibitisha hivyo na wengine wanaingia madeni makubwa kwa sababu ya betting na huishia kujiua.

Vv
 
Mkuu, wewe unaona ni sawa? Hivi unaamini kabisa kuwa hao wenye makampuni ya betting wana mahela mengi na wanatafuta watu wa kuwagawia? Yaani unatoa buku unapewa milioni!

Ndio maana inasemwa betting is a mental disorder, tafiti zimethibitisha hivyo na wengine wanaingia madeni makubwa kwa sababu ya betting na huishia kujiua.

Vv
Sio kwamba wenye makampuni Wana mihela mingi Bali hii ni biashara kama biashara zingine, kwenye biashara hiyo hiyo Kuna mwingine atafanikiwa na mwingine ata lose, ukiifanya kwa weredi betting faida yake ni zaidi ya mfanyakazi mfano Kuna mtu yeye kila siku kaweka malengo ya kupata faida ya laki kwenye betting, hao wanaotumia buku kupata million ndio hao ambao wanamfaidisha muhindi
 
Back
Top Bottom