0ozg Tz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 4,155
- 11,168
Huwa naamin,watu wa betting hata wafiwe na nani hawawez kulia,maana maumivu ambayo walishawah kuyapata ni makubwa mnoJapo sijawahi kubeti ila ila Nyie jamaa mna stress Sana ...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa naamin,watu wa betting hata wafiwe na nani hawawez kulia,maana maumivu ambayo walishawah kuyapata ni makubwa mnoJapo sijawahi kubeti ila ila Nyie jamaa mna stress Sana ...
Mkuu huyo Antwerp mimi nina bahati mbaya nae kengemaji huyo hafai kabisaKuna Royal Antwerp, galatasaray, club blugge, Rb leizpig na Paimeras ndo naishi nao hao jamaa, stake kubwa..
Huu ni uongo, mkeka wa milioni 45 wanakupaje cashout 2.5M afu imebaki timu moja umeweka over 0.5 ambayo hata odds ukiwa kubwa sana haizidi 1.5Kuna siku nilweka walaka (mechi 32)
Nilichangnya bet..mkeka ulikua wa week 2
Ulikua unatoa kma million 45 hvi niweka stake ya Mia sana.
Mkeka ukatoa mechi 31 then cash out inatoka milion 2 na laki 5 hivii.........
Ile mechi iliyobaki niliipa 0.5 yaani lipatikane goli moja tu...
Na nikianglia kweny history wale jamaa wanafungna Sana...
Nkasema huyu mhindi leo Kala hasara ...zilikua timu za Argentina...zinacheza mida ya saa nane usiku bc mzee sikulala hdi sa 11 dk ya 90 bila bila....Daaah dk za nyongeza
Kuna timu inapata penat nkasema Sasa "kwishaaa" weee jmaa kapaisha penat kwnd kweny cash out inagoma....
Toka siku hyo. Nimeacha kubet.
Mimi pia nampasuaga vibaya mno,yaani hachomokagiKuna wakati mrusi nae anapasuka sana tu sema betting ni timing tu
Aiseee Hawa jamaa majasiri sanaHuwa naamin,watu wa betting hata wafiwe na nani hawawez kulia,maana maumivu ambayo walishawah kuyapata ni makubwa mno
Game ya Lazio kadi nyekundu waliyopata ndo iliharibu lakin wangeshindaLazi juzi kanikosesha laki ningeamkia sokoni kuchukua jogoo
Mmiliki wa monza ni silvio belusconi
Mtu wa mipangoMmiliki wa monza ni silvio belusconi
Yes wazee wa betting nashangaa hawajashtuka wakati mmiliki ni mkamaria...Mtu wa mipango
SureGame ya Lazio kadi nyekundu waliyopata ndo iliharibu lakin wangeshinda
Ni huzuni kwakweliKuna jamaa mmoja alikuta timu ipo dakika ya 67 na inaongoza goli tatu kwaiyo akaipa ishinde na akatia ada yake pale.
Mchezo uliisha 3 - 3!
Kuna maumivu makubwa sana kwenye kubeti, wewe kilikukuta nini mpaka ukaona roho itaacha mwili?
Betting ni ugonjwa wa akili, mgonjwa wa akili hawezi kujua hizo hatari hadi apone.betting ni hatari kwa afya na kiuchumi do at ur own risk
Mkuu, wewe unaona ni sawa? Hivi unaamini kabisa kuwa hao wenye makampuni ya betting wana mahela mengi na wanatafuta watu wa kuwagawia? Yaani unatoa buku unapewa milioni!Kwenye maisha usidharau wanachofanya wenzio hata kama ww hauoni thamani yake, watu wanaendesha maisha through betting
Sio kwamba wenye makampuni Wana mihela mingi Bali hii ni biashara kama biashara zingine, kwenye biashara hiyo hiyo Kuna mwingine atafanikiwa na mwingine ata lose, ukiifanya kwa weredi betting faida yake ni zaidi ya mfanyakazi mfano Kuna mtu yeye kila siku kaweka malengo ya kupata faida ya laki kwenye betting, hao wanaotumia buku kupata million ndio hao ambao wanamfaidisha muhindiMkuu, wewe unaona ni sawa? Hivi unaamini kabisa kuwa hao wenye makampuni ya betting wana mahela mengi na wanatafuta watu wa kuwagawia? Yaani unatoa buku unapewa milioni!
Ndio maana inasemwa betting is a mental disorder, tafiti zimethibitisha hivyo na wengine wanaingia madeni makubwa kwa sababu ya betting na huishia kujiua.
Vv