Mkuu budget ndo iko ivyo alaf geto lenyewe dogo kwaiyo naona kama itatosha tu sanasana kuangalia epl uefa na sometimes kucheza fifaKaka TV ya 32" ni ndogo japo sijui matumizi yako. Go for atleast 43. pia ongeza pesa kidogo kufikia 550k utapata TV nzuri ya level yako.
Kweli unachosema mimi natumia Sony ya 2021 ipo ivyoKwa ufahamu wangu Google TV na Android TV ni kitu kimoja atleast kwa miaka ya karibuni.
Zamani miaka iliopita Google TV ilikuwa kwenye chromecast ilikuwa ni OS tofauti kabisa.
Ila Chromecast za sasa na Tv zote ambazo zinatumia Google TV ni android tv, Google TV ni launcher tu on top of Android TV.
Na ndio machaguo yangu samsung ya kuundwa south sijawahi ifikiria kuinunua hata iwe na spec zipi au lg ya egyptHi mizigo ya LG na Samsung iñayozalishwa ulaya ndio og.
Hizi za Korea na China ni takataka na ndizo zimejaa Sana uku bongo.
Hizo za ulaya utazipata Kama mtumba, ila quality yake inazd Hizi mpya za Korea na china
Company gani ya bet unaizungumzia kabla sijakujibu vizuri maana nafanya kazi kwenye company moja wapo kwenye izo tvNakupa research mzee nenda kweny vibanda umiza na sehemu za betting zile Tvs zao zinapiga kazi kama zikiwasha saa moja asubuhi mpaka saa 6 usiku then angalia zile brand ni za wapi? Then uje kukuta izo LG ,Samsung ,Sony ni nadra sio Tvs za kazikazi ni ubishoo.
Majina sizijua ila Kuna meaneo mfano pale keko furniture Wana ofisi yao Kuna Tv starx ,TCL Zinapnga kazi mda wote ..Kuna siku nilienda pale sinza kumekucha pale karibu na Pr complex Kuna ofisi ya betting tvs kibao zipo pale ni brand za mchina..Company gani ya bet unaizungumzia kabla sijakujibu vizuri maana nafanya kazi kwenye company moja wapo kwenye izo tv
Yes ni nzuri huu mwaka wa 4 ipo powakabisa Star X
Zinakufa vibaya mnoMajina sizijua ila Kuna meaneo mfano pale keko furniture Wana ofisi yao Kuna Tv starx ,TCL Zinapnga kazi mda wote ..Kuna siku nilienda pale sinza kumekucha pale karibu na Pr complex Kuna ofisi ya betting tvs kibao zipo pale ni brand za mchina..
Njoo mabibo mwisho hapa karibu na kitu cha mafuta pale mwisho kabisa Kuna starx izo LG ,Samsung ni tvs za kibishoo sio kazi kazi.
Lg na Samsung kwa hizi za bongo ndo uchafu zaidi n,vioo zinatoka mistari kama simuZinakufa vibaya mnoView attachment 2489409
Hizi wanaweka sababu ni bei rahisi, hio tv ikiwa Samsung ama TCL haiongezi ama kupunguza faida yao. So in short term tv ya bei rahisi ina make sense.Majina sizijua ila Kuna meaneo mfano pale keko furniture Wana ofisi yao Kuna Tv starx ,TCL Zinapnga kazi mda wote ..Kuna siku nilienda pale sinza kumekucha pale karibu na Pr complex Kuna ofisi ya betting tvs kibao zipo pale ni brand za mchina..
Njoo mabibo mwisho hapa karibu na kitu cha mafuta pale mwisho kabisa Kuna starx izo LG ,Samsung ni tvs za kibishoo sio kazi kazi.
Lakini ule utendaji wa kazi kama rahisi kumbuka hawa wanalipia DStv kile kifurushi kikubwa kwamba pesa wanayo..Kingine ule ufanyaji kazi mpaka saa 7 usiku kuanzia saa moja asubuhi.Hizi wanaweka sababu ni bei rahisi, hio tv ikiwa Samsung ama TCL haiongezi ama kupunguza faida yao. So in short term tv ya bei rahisi ina make sense.
Tv moja Samsung huku inafanya kazi mpaka sometime saa kumi usiku na asubuhi inawashwa, zinakaa miaka hadi 8 na unaitoa sio kwamba imeharibika unauza tu unanunua nyengine.Lakini ule utendaji wa kazi kama rahisi kumbuka hawa wanalipia DStv kile kifurushi kikubwa kwamba pesa wanayo..Kingine ule ufanyaji kazi mpaka saa 7 usiku kuanzia saa moja asubuhi.
Hapo mwisho umetaja kampuni kubwa sana, huwezi kuzikuta kila sehemu Tanzania, mimi nina Smart TV Sony Nina iwasha wikiendi masaa 24 na nikiishika nyuma sisikii ikiwa ya motoNakupa research mzee nenda kweny vibanda umiza na sehemu za betting zile Tvs zao zinapiga kazi kama zikiwasha saa moja asubuhi mpaka saa 6 usiku then angalia zile brand ni za wapi? Then uje kukuta izo LG ,Samsung ,Sony ni nadra sio Tvs za kazikazi ni ubishoo.
Sawa ...Ila kwa hapa bongo kwa hizi big brands tunaletewa fake .Tv moja Samsung huku inafanya kazi mpaka sometime saa kumi usiku na asubuhi inawashwa, zinakaa miaka hadi 8 na unaitoa sio kwamba imeharibika unauza tu unanunua nyengine.
Tv ni kitu kinakaa miaka 10 ama 20 hivyo hizo tv kukaa hivyo ni kitu cha kawaida sana, hasa kwa tech ya Led/lcd
Hizi ndio shule nilikuwa nahitaji mpaka kufunguwa huu Uzi.Kampuni zote mkuu inabidi uwe makini hata hisense ana vimeo vya kutosha tu.
Samsung TV zake za bei rahisi vioo vinatoka BOE (Mchina) hivyo unaweza nunua na ikawa na display mbaya vile vile.
Ila ikiwa Qled ama Oled uhakika huo sio mchina na hupati laki 6.
Nano tv ama hizi Qled nyingi ni kuanzia 1m kupanda, na Oled ni 3m kupanda.
Pia LED inategemea ikiwa na mwanga wa kutosha na standard nzuri kama Hdr10 inaweza kuwa nzuri pia ika compete na hizo Qled na Nano.
Dini zote zinakataza usipige mwanamke, sheria za nchi pia zinakataza, halafu mwanamke anakwambia nipigie kama Wewe ni mwanaume kweli, unategemea kinafuata nini?Domestic violence🤣🙌
Tatizo linakuja kwenye poor quality ya Picha, na utamu wa TV ndio uko hapo ni Picha.Nakupa research mzee nenda kweny vibanda umiza na sehemu za betting zile Tvs zao zinapiga kazi kama zikiwasha saa moja asubuhi mpaka saa 6 usiku then angalia zile brand ni za wapi? Then uje kukuta izo LG ,Samsung ,Sony ni nadra sio Tvs za kazikazi ni ubishoo.