acontinuer
JF-Expert Member
- Dec 9, 2015
- 241
- 246
Kweli kabsiNi bajeti yako tu mkuu
Wale wachovu wenzangu wanakwenda na Boss, StarX
Hizi ni sawa na watumiaji wa simu wa Tecno, Itel, infinix
Wale wa uchumi wa kati wanakwenda na Hisense, TLC
Hizi ni sawa na watumiaji wa simu za Oppo Xiaomi nk
Wale wanaojiweza wanakwenda na Sony LG Samsung Apple Tv
Hizi ni sawa na watumiaji wa simu za Samsung iPhone nk
Dawa ni nini?Hii inakamata vibaka boss?,watarudi hao na kuibeba na hiyo mpya😆😆
YeahNilichojifunza hapa ni kwamba LG wapo vizuri lakini hawana kelele brand yao inajiuza yenyewe.
Yani mimi uweke hisense na TCL apo nachukua TCLHii comments imemaliza , Hisense hamna kitu pale aisee upande wa TV only Sony na LG , Samsung nao almost jina tuu, TCL ni brand ya kichina Ila ya kibabe Sana ,
Hamna kitu unajuaUtakuja kuniambia kitukitacho kukuta maneno yangu yaweke pini kisha weka mfukoni
Hamna tv humo, ni takataka kweli, sema wabongo wengi tunaenda kwa mkumbo, kama budget ndogo ni bora hata TCL.Mbona Hisense wengi wameisifu wewe umeitowa maana kabisa?
Asikudanganye mtu. Brand za tv Duniani ni LG, Samsung, Sony, Panasonic na Philips ila ukitaja TV kubwa 3 ni LG, Samsung na Sony.Hii comments imemaliza , Hisense hamna kitu pale aisee upande wa TV only Sony na LG , Samsung nao almost jina tuu, TCL ni brand ya kichina Ila ya kibabe Sana ,
Umetisha sanaAsikudanganye mtu. Brand za tv Duniani ni LG, Samsung, Sony, Panasonic na Philips ila ukitaja TV kubwa 3 ni LG, Samsung na Sony.
Ukisema Samsung hakuna kitu ni jina kwa watu utaonekana mjinga, hujui chochote, labda kama utasema kwa wajinga wengine.
Kwa kukusaidia zaidi ni kwamba TV manufacturers hutoa TV kwa mtiririko ama series hivyo the latest series ni more advanced kuliko the previous series ila haimaanishi kwamba previous series sio nzuri. Ukinunua series ya mwaka huu kwa tv unaweza kukaa nayo hadi series 5 hadi 10 huko mbele ndio unataka kubadilisha labda kama unapenda kubadilisha kila mwaka ni sawa.
Ndio maana leo unasikia mtu anakwambia alinunua tv yake mwaka 2012 na bado inatumika vizuri. Ni maamuzi yako.
Kwenye hisense [emoji51]Kwa maoni yangu,
Tv zenye ubora kuanzia quality ya picha,software&hardware
1. Sony
2. LG
3. Skyworth
4. Samsung (ubahatishe OG& latest series)
5. HISENSE
6. TCL
Afu yatafata makampuni mengine ,
ya kawaida
Huyu jamaa inaonekana hajawahi kukutana na Samsung OG huyuNi kwa sababu moja tu mkuu, value for money.
Hisense ni budget tv brand, inakuonjesha ubora kidogo kwa bei ya chini kidogo.
Hata hivyo Hisense sio brand bora ya kuchina, kuna TCL sijui TLC hii ndio kidogo kujaribu kuwakaribia Samsung ama LG.
Ukitaka tv ya bei ndogo na ubora wa kawaida nenda tu Hisense.
Samsung Galaxy S22 ina uwezo wa kurekodi 8k, hii ni milioni 2-3, Tecno ina uwezo wa kurekodi 8k, hii ni laki 5-7. Kwa kua zote zinaweza kurekodi video za 8k haina maana kwamba zinalingana.
Vits ni gari sasa sawa na LC 300, kwamba zote zinatembea barabarani kama gari ila kuna tofauti kubwa sana kati ya vits na V8.
Toa namba 3, 5 na 6 kwenye hiyo orodha. Hizo namba ni takataka. Kwamba skyworth sijui nini ni bora kuliko Samsung kwa huo mtiririko wako sio?😂 Aisee. Ni brand ya wapi kwanza boss?Kwa maoni yangu,
Tv zenye ubora kuanzia quality ya picha,software&hardware
1. Sony
2. LG
3. Skyworth
4. Samsung (ubahatishe OG& latest series)
5. HISENSE
6. TCL
Afu yatafata makampuni mengine ,
ya kawaida
Samsung zote ni OG mkuu, hao wanunua Sinsung sio Samsung.Huyu jamaa inaonekana hajawahi kukutana na Samsung OG huyu
Chief hujakutana na Samsung wewe. Achana na hizi Samsung za kichiba zinazouzwa 1.8M Kwa inch 65 vuta kitu Cha 7M ndio utaelewaHii comments imemaliza , Hisense hamna kitu pale aisee upande wa TV only Sony na LG , Samsung nao almost jina tuu, TCL ni brand ya kichina Ila ya kibabe Sana ,
Huna cha kunisaidia chochote na hujui chochote , umeongea upumbavu mtupuAsikudanganye mtu. Brand za tv Duniani ni LG, Samsung, Sony, Panasonic na Philips ila ukitaja TV kubwa 3 ni LG, Samsung na Sony.
Ukisema Samsung hakuna kitu ni jina kwa watu utaonekana mjinga, hujui chochote, labda kama utasema kwa wajinga wengine.
Kwa kukusaidia zaidi ni kwamba TV manufacturers hutoa TV kwa mtiririko ama series hivyo the latest series ni more advanced kuliko the previous series ila haimaanishi kwamba previous series sio nzuri. Ukinunua series ya mwaka huu kwa tv unaweza kukaa nayo hadi series 5 hadi 10 huko mbele ndio unataka kubadilisha labda kama unapenda kubadilisha kila mwaka ni sawa.
Ndio maana leo unasikia mtu anakwambia alinunua tv yake mwaka 2012 na bado inatumika vizuri. Ni maamuzi yako.
Nachokijua mimi hakuna mtu kwenye ukoo wenu anakijua ama atakuja kukijua. Ufahamu wangu na uelewa wangu juu ya hato mambo hakuna mtu kwenye ukoo wenu atakuja kua nao.Huna cha kunisaidia chochote na hujui chochote , umeongea upumbavu mtupu
Jifunze Kwanza kuandikaSiwezi kukudaidia kwa sababu huna akili. Nasaidia wenye akili.
Hii ni only for genius , wajinga wa Samsung hawawez kuelewa , Samsung zinazouzwa Africa ni Sawa Sawa na toleo Lao la smu za Aseries yaani ni Ujinga mtupu unless ubahatishe zinazokuwa shipped to EuropeKwa maoni yangu,
Tv zenye ubora kuanzia quality ya picha,software&hardware
1. Sony
2. LG
3. Skyworth
4. Samsung (ubahatishe OG& latest series)
5. HISENSE
6. TCL
Afu yatafata makampuni mengine ,
ya kawaida