Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?

Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?

Ni bajeti yako tu mkuu

Wale wachovu wenzangu wanakwenda na Boss, StarX
Hizi ni sawa na watumiaji wa simu wa Tecno, Itel, infinix

Wale wa uchumi wa kati wanakwenda na Hisense, TLC
Hizi ni sawa na watumiaji wa simu za Oppo Xiaomi nk

Wale wanaojiweza wanakwenda na Sony LG Samsung Apple Tv
Hizi ni sawa na watumiaji wa simu za Samsung iPhone nk
Kweli kabsi
 
Humu naona watu wana bwabwaja tu wala hawatoi jibu la kueleweka. Hawa TV manufacturers wote wana TV za level mbali mbali kwa budget mbali mbali. Mfano LG zipo za kawaida, nanocell, QNED,OLED etc! sasa wewe unapomwambia mtu nunua LG/samsung/Sony/Hisense ndio bora! Ni LG ipi? na ni bora kuliko hisense ipi? Maana hisense wana za kawaida, ULED (QLED/ Mini LED) etc! Mshauri mtu kwa specific model kutokana na budget yake lakini si kulinganisha the whole brand
 
Hii comments imemaliza , Hisense hamna kitu pale aisee upande wa TV only Sony na LG , Samsung nao almost jina tuu, TCL ni brand ya kichina Ila ya kibabe Sana ,
Asikudanganye mtu. Brand za tv Duniani ni LG, Samsung, Sony, Panasonic na Philips ila ukitaja TV kubwa 3 ni LG, Samsung na Sony.

Ukisema Samsung hakuna kitu ni jina kwa watu utaonekana mjinga, hujui chochote, labda kama utasema kwa wajinga wengine.

Kwa kukusaidia zaidi ni kwamba TV manufacturers hutoa TV kwa mtiririko ama series hivyo the latest series ni more advanced kuliko the previous series ila haimaanishi kwamba previous series sio nzuri. Ukinunua series ya mwaka huu kwa tv unaweza kukaa nayo hadi series 5 hadi 10 huko mbele ndio unataka kubadilisha labda kama unapenda kubadilisha kila mwaka ni sawa.

Ndio maana leo unasikia mtu anakwambia alinunua tv yake mwaka 2012 na bado inatumika vizuri. Ni maamuzi yako.
 
Asikudanganye mtu. Brand za tv Duniani ni LG, Samsung, Sony, Panasonic na Philips ila ukitaja TV kubwa 3 ni LG, Samsung na Sony.

Ukisema Samsung hakuna kitu ni jina kwa watu utaonekana mjinga, hujui chochote, labda kama utasema kwa wajinga wengine.

Kwa kukusaidia zaidi ni kwamba TV manufacturers hutoa TV kwa mtiririko ama series hivyo the latest series ni more advanced kuliko the previous series ila haimaanishi kwamba previous series sio nzuri. Ukinunua series ya mwaka huu kwa tv unaweza kukaa nayo hadi series 5 hadi 10 huko mbele ndio unataka kubadilisha labda kama unapenda kubadilisha kila mwaka ni sawa.

Ndio maana leo unasikia mtu anakwambia alinunua tv yake mwaka 2012 na bado inatumika vizuri. Ni maamuzi yako.
Umetisha sana
 
Kwa maoni yangu,
Tv zenye ubora kuanzia quality ya picha,software&hardware

1. Sony
2. LG
3. Skyworth
4. Samsung (ubahatishe OG& latest series)
5. HISENSE
6. TCL
Afu yatafata makampuni mengine ,
ya kawaida
Kwenye hisense [emoji51]
 
Ni kwa sababu moja tu mkuu, value for money.

Hisense ni budget tv brand, inakuonjesha ubora kidogo kwa bei ya chini kidogo.

Hata hivyo Hisense sio brand bora ya kuchina, kuna TCL sijui TLC hii ndio kidogo kujaribu kuwakaribia Samsung ama LG.

Ukitaka tv ya bei ndogo na ubora wa kawaida nenda tu Hisense.

Samsung Galaxy S22 ina uwezo wa kurekodi 8k, hii ni milioni 2-3, Tecno ina uwezo wa kurekodi 8k, hii ni laki 5-7. Kwa kua zote zinaweza kurekodi video za 8k haina maana kwamba zinalingana.

Vits ni gari sasa sawa na LC 300, kwamba zote zinatembea barabarani kama gari ila kuna tofauti kubwa sana kati ya vits na V8.
Huyu jamaa inaonekana hajawahi kukutana na Samsung OG huyu
 
Kwa maoni yangu,
Tv zenye ubora kuanzia quality ya picha,software&hardware

1. Sony
2. LG
3. Skyworth
4. Samsung (ubahatishe OG& latest series)
5. HISENSE
6. TCL
Afu yatafata makampuni mengine ,
ya kawaida
Toa namba 3, 5 na 6 kwenye hiyo orodha. Hizo namba ni takataka. Kwamba skyworth sijui nini ni bora kuliko Samsung kwa huo mtiririko wako sio?😂 Aisee. Ni brand ya wapi kwanza boss?

Tv nunueni kwa authorized dealers, sio unanunua tv kwa fundi tv unategemea nini?
 
Huyu jamaa inaonekana hajawahi kukutana na Samsung OG huyu
Samsung zote ni OG mkuu, hao wanunua Sinsung sio Samsung.

Pili wananunua tv kwa fundi tv sio Dukani. Uliwahi kuona wapi Samsung tv inauzwa laki 2 ama laki 3. Wanapenda vya dezo halfu wanakuja kulaumu brand badala ya kujilaumu wenyewe.
 
Asikudanganye mtu. Brand za tv Duniani ni LG, Samsung, Sony, Panasonic na Philips ila ukitaja TV kubwa 3 ni LG, Samsung na Sony.

Ukisema Samsung hakuna kitu ni jina kwa watu utaonekana mjinga, hujui chochote, labda kama utasema kwa wajinga wengine.

Kwa kukusaidia zaidi ni kwamba TV manufacturers hutoa TV kwa mtiririko ama series hivyo the latest series ni more advanced kuliko the previous series ila haimaanishi kwamba previous series sio nzuri. Ukinunua series ya mwaka huu kwa tv unaweza kukaa nayo hadi series 5 hadi 10 huko mbele ndio unataka kubadilisha labda kama unapenda kubadilisha kila mwaka ni sawa.

Ndio maana leo unasikia mtu anakwambia alinunua tv yake mwaka 2012 na bado inatumika vizuri. Ni maamuzi yako.
Huna cha kunisaidia chochote na hujui chochote , umeongea upumbavu mtupu
 
Kwa maoni yangu,
Tv zenye ubora kuanzia quality ya picha,software&hardware

1. Sony
2. LG
3. Skyworth
4. Samsung (ubahatishe OG& latest series)
5. HISENSE
6. TCL
Afu yatafata makampuni mengine ,
ya kawaida
Hii ni only for genius , wajinga wa Samsung hawawez kuelewa , Samsung zinazouzwa Africa ni Sawa Sawa na toleo Lao la smu za Aseries yaani ni Ujinga mtupu unless ubahatishe zinazokuwa shipped to Europe
 
Back
Top Bottom