Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?

Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?

Sijawahi tumia hisense yoyote , nyingi nilizoziona hata hizo oled zina mapungufu kadhaa hazikidhi mahitaji yangu. .ninapoamua kununua electronics devices ,huwa naangalia features sio jina , as iam very tech hungry!! Kwa miaka kadhaa lg yupo juu ya majina mengi kwa upande wa Tv zinazokuja africa.
Nimetoa mfano wa magic remote ambayo kwa sasa anayo lg peke yake , kuna thinQ lg android app amabyo umaweza kutumia simu yako kama magic remote ,
Kwenye electronics hisence ni taka taka , unless uwe hujui unatafuta nini na ndio sababu huwa zipo cheap.kuanzia tv fridge, ac, hadi washers .
Nitafute hela???? Hela unazo weye unayenunua midosho!
Kuna Hisense kali sana mkuu sema haziji tu huku Africa, highend za makampuni ya kichina pia wananunua Display Samsung na LG.
 
Hisense oled umetumia wapi? Duka lipi dar wana hisense oled? Magic remote? Yaani ninunue tv sababu ya remote? Hayo mapungufu yataje hapa si kupiga kelele tu.
Kama hujui features bora ukae kimya tu, , kioo cha amoled kinagharimu mara tatu zaidi ya lcd, na aliyetumia amoled huwezi mrudisha kwenye lcd .
Hujui features za magic remote na inaonyesha hujawai tumia , ungejaribu ungenielewa!
Pungufu moja la Hisense ni sound quality ,
 
Wadau nilikuwa na smart TV 4 K nchi 50 wale wajaa laana wakasepa nayo.

Nina Samsung Hd nchi 32 ilikuwa chumbani ndio nimeileta sebuleni yani tofauti ni kubwa sana.

Sasa nimeokota pochi la mzungu nataka ninunue TV ya kweli nirudi kwenye modern
69FEB91F-EC41-4E1A-BBE5-7479D8E1F5BF.png
life.

Karibuni kwa ushauri.
 
Toa namba 3, 5 na 6 kwenye hiyo orodha. Hizo namba ni takataka. Kwamba skyworth sijui nini ni bora kuliko Samsung kwa huo mtiririko wako sio?[emoji23] Aisee. Ni brand ya wapi kwanza boss?

Tv nunueni kwa authorized dealers, sio unanunua tv kwa fundi tv unategemea nini?
Skyworth Ni brand kubwa sn kwa soko la ulaya kuliko Hata Samsung ya wakorea.
 
Hii ni only for genius , wajinga wa Samsung hawawez kuelewa , Samsung zinazouzwa Africa ni Sawa Sawa na toleo Lao la smu za Aseries yaani ni Ujinga mtupu unless ubahatishe zinazokuwa shipped to Europe
Sahii kabisa,
Ukiwa kwny industry ya tv,
Hizi wanazotuletea Africa hasa k'koo ni overpriced afu quality chefuchefu
Ukiipata samsung yenyewe kwa soko la Europe, hasa za mtumba Ndo quality.
 
Wadau nilikuwa na smart TV 4 K nchi 50 wale wajaa laana wakasepa nayo.

Nina Samsung Hd nchi 32 ilikuwa chumbani ndio nimeileta sebuleni yani tofauti ni kubwa sana.

Sasa nimeokota pochi la mzungu nataka ninunue TV ya kweli nirudi kwenye modern life.

Karibuni kwa ushauri.
Sony hutojutia.
 
Hapa Bongo kwa Tsh 650,000/= unapata Hisense yenye inchi 43, smart kabisa na ni 4K resolution, umeshamaliza kazi. Sasa wewe huoni hiyo Samsung umenunua kwa laki saba halafu ni 32 inches tu. Ukikutana na muuzaji mwenye tamaa sana hiyo Hisense unapata kwa laki saba. Kupata Samsung au LG yenye ubora sawa na Hisense hii inakupasa uwe na milioni moja kupanda.
Hessence forever
 
Kama hujui features bora ukae kimya tu, , kioo cha amoled kinagharimu mara tatu zaidi ya lcd, na aliyetumia amoled huwezi mrudisha kwenye lcd .
Hujui features za magic remote na inaonyesha hujawai tumia , unhejaribu ungenielewa
Pungufu moja la hisense ni sound quality ,
Amoled ni vioo vya simu, siyo vya TV. TV zinatumia oled. Panels karibu zote za tv za wrgb oled wanatengeneza LG Display na kuwauzia company zoote unazojua wewe. Hisense pia ni wateja wa LG display. Lg nimeshatumia sana. Magic remote ni feature nzuri lakini hiyo peke yake haiwezi nifanya nichague lg, yapo mengi ninayoyaangalia
 
Samsung Hizi mpya kwa soko letu la bongo wanatueletea makapi, ovyo kabisa

Tena Kuna Samsung za mtumba from U.K,
Zina quality na imara sn kuliko Hizi mpya za skuhz wanazofyatua China ili kushindana sokoni
 
Brands mbili nzuri zenye quality ya juu, LG na Sony, hizo unapata value for money(kibongobongo)

Brands za size ya kati, quality nzuri ni Samsung na Hisence.

Zaidi ya hapo unanunua TV za kawaida, specs kubwa lakini ubora na thamani ndogo.

Kuna brands unanunua na baada ya miaka kumi ipo vile vile, hujafungua hata screw moja, and that's Sony na LG. Japo matunzo ni muhimu pia.

Verdict: kama kweli mzigo upo, nenda na Sony au LG. Kama upo wa kawaida, nenda na Hisence au Samsung.
Wachache sn watakuelewa,
Ndo maana brand ya LG na Sony hazijawahi kushuka Bei, ila Samsung na Hisense wanashusha Bei kila kukicha kushindana na michina.
 
Sahii kabisa,
Ukiwa kwny industry ya tv,
Hizi wanazotuletea Africa hasa k'koo ni overpriced afu quality chefuchefu
Ukiipata samsung yenyewe kwa soko la Europe, hasa za mtumba Ndo quality.
Shida ya electronics mitumba unakuwa nyuma sana kwa tech, bahati nasibu kuupata na most likely usipate unachohitaji.
 
Back
Top Bottom