F16 Falcon
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 750
- 1,645
Weka pichaNina Samsung LED ya South Africa tangu 2013 hadi Leo,
Haina shida yeyote..inapiga mzigo.
Kwangu Mimi Samsung ndy brand yangu
Kuanzia fridge, Home theatre,tv
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Nina Hisense yangu 43" FULL HD mwaka mmoja umeisha i really enjoy the quality, nilisevu hela yangu nikamnunulia binti yangu pamba kali WoolworthsSi sawa, kwenye TV cha muhimu ni ubora wa kioo. Sio sawa kabisa na simu. Simu ina mambo mengi maCPU, maGPU huko na makolokolo kibao.
Turudi kwenye TV sio simu hizo Samsung ni nzuri lakini ni overpriced. Ukinunua Samsung ya milioni 1 unachomzidi mwenye Hisense ya laki sita ni jina la brand tu yaani laki nne yote unakuwa umelipia brand na laki sita ndio actual value ya product
Mkuu pita hapaWadau nilikuwa na smart TV 4 K nchi 50 wale wajaa laana wakasepa nayo.
Nina Samsung Hd nchi 32 ilikuwa chumbani ndio nimeileta sebuleni yani tofauti ni kubwa sana.
Sasa nimeokota pochi la mzungu nataka ninunue TV ya kweli nirudi kwenye modern life.
Karibuni kwa ushauri.
Ipi ni Bora Kati ya Hisense ya south Africa na China!??Kama pesa ipo TV ni Sony na LG. LG kuna Nanocell , Oled na oled Evo. bei zake ni hatari sana.
Kama hela ni ya mawazo go for Nanocell ya 2022 55" nadhani haizidi 2m
Samsung sio mbaya zipo okey hakikisha unachukua kuanzia Series 8.
Hisense ni takataka ya kichuna yenye jina kubwa.
Hizi zipo za aina mbili kuna za South afrika na China.
South afrika - boksi la kaki
China - Boksi jeupe
Go for chines.
Kwa ubora wa picha pia TCL sio wabaya sema nazo zinachakakachuliwa siku hizi
Sawa lakini kwenye maelezo yako ulisema Hisense ni takataka [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kama ulinisoma vizuri nimesema lg ni tv bora kwa tv zinazoletwa africa , nafahamu huko first world wana options za kutosha
Mkuu nataman nikupinge hiyo namba 3 but naheshimu uzoefu wako kwenye hizi bidhaa sasa hebu tujuze huo ubora wa Skyworth wana quality zipiKwa maoni yangu,
Tv zenye ubora kuanzia quality ya picha, software & hardware
1. Sony
2. LG
3. Skyworth
4. Samsung (ubahatishe OG & latest series)
5. HISENSE
6. TCL
Halafu yatafata makampuni mengine ,
ya kawaida
Zipo frsh sioMpya sijaziona MDA mrefu sana hapa bongo,Labda upate used,
Nazo quality yake sio haba
Google haiandiki mkuu, Taja Author aliyeandika na kupost kwenye Search engine ya GoogleKwa mujibu wa GOOGLE
View attachment 2488406
Don't argue with Stupid people they will drag you down to their level and beat you with experience π€£Nachokijua mimi hakuna mtu kwenye ukoo wenu anakijua ama atakuja kukijua. Ufahamu wangu na uelewa wangu juu ya hato mambo hakuna mtu kwenye ukoo wenu atakuja kua nao.
Siwezi kukusaidia kwa sababu huna akili. Nasaidia wenye akili.
wachache sana wanaijua hii kampun kwa ubora inaongozaI like sony
My entaitaiment package yote ni sony
Ps5
Sound bar(japo nmekutana na harman kardon studio8)
TV
ukinunua hiyo hisense yako,siku ukijakukutana na sony bravia mbn utaipiga teke hiyo takataka ya kichinaMbona Hisense wengi wameisifu wewe umeitowa maana kabisa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hamn tv hapoStar X napenda Hisense ila haidumu Starx ninzuri sana Kwa mwonekano na ningumu
Anae andika ni naniGoogle haiandiki mkuu, Taja Author aliyeandika na kupost kwenye Search engine ya Google
πππAnae andika ni nani
Mkuu Chief-Mkwawa Ufafanuz kidogo hapa. Ni ipi nzuri kati ya Google Tv vs Android Tv based on their x-sticksGoogle TV ndio bora kwa sababu inaoffer features nyingi nzuri kuliko Android TV. Pia kwenye Google TV unaweza Usearch content kirahisi across the web wakati Android TV inakulimit kusearch kwenye installed apps. Kingine Google TV zipo well optimized na mara nyingi ni cheaper than Android TV
Wala haipo hivyoπππ
Ulikuta ipoje?Wala haipo hivyo
Google now kuna baadhi ya search ukitafuta inafanya kazi kama AI Open(chatgpt)hawakuletei Web iliyoandika,wanaleta data ambazo zipo rated Web nyingi....Ulikuta ipoje?