Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,517
- 9,762
Hapana kwasasa madereva hawakimbii kabisa hivi enzi zile Dar- Mbeya masaa 9 tu ungesemaje? Au Dar- Arusha masaa 7( Ngolika vs Buffalo), Mwanza-Dar masaa 13 tu (Ally's, Mombasa Raha, Colour star) au Kahama-Dar Masaa 11 na nusu au 12 ( Leina, Ally's ) 😂😂😂😂Madereva wamejaa kiburi, jeuri, kejeli, vijembe na nyodo kama vile wameolewa
Una akili ndogo Sana, kwasababu hazijapata ajali ndio zisinyoshewe kidole..Haya tuambie tokea Sauli katoa bus zake lini limepata ajali na kuleta maafa?? Kwa nini kama bus inatakiwa isizidishe speed ya km 80 kwa saa serikali isilete Sheria ya kuingiza bus zenye speed max km 80 kwa saa?? Mwisho kama hupenzi Gari yenye speed si upande Majinja au ABOOD??
Wenye sifa nilizotaja siyo hao ulio quote ...ukiweza soma niliko quoteHapana kwasasa madereva hawakimbii kabisa hivi enzi zile Dar- Mbeya masaa 9 tu ungesemaje? Au Dar- Arusha masaa 7( Ngolika vs Buffalo), Mwanza-Dar masaa 13 tu (Ally's, Mombasa Raha, Colour star) au Kahama-Dar Masaa 11 na nusu au 12 ( Leina, Ally's ) 😂😂😂😂
sauli ni gari bora. wanachonifurahisa wanafika mbeya mapema kwasababu hawasimami ovyo kama wengine njiani. acha kuwachafua.Uendeshaji wao ni wa hovyo kabisa na hauzingatii sheria na kanuni za barabarani.
Sauli hununua Askari wowote wawao zamu siku husika wa usalama barabarani kuanzia Igawa hadi Tunduma na hutoka mtu maalum na gari ndogo Mbeya mjini kwa ajili ya wao wanachokiita kusafisha njia.
Narudia,Sauli na New force ni janga litarajiwalo huko Kusini mwa Tanzania.
Hilo ni kosa lingineClimber sio Yutong
Big Boys haoHapana kwasasa madereva hawakimbii kabisa hivi enzi zile Dar- Mbeya masaa 9 tu ungesemaje? Au Dar- Arusha masaa 7( Ngolika vs Buffalo), Mwanza-Dar masaa 13 tu (Ally's, Mombasa Raha, Colour star) au Kahama-Dar Masaa 11 na nusu au 12 ( Leina, Ally's ) 😂😂😂😂
Si uishi tu mbeya mkuu....inaonyesha we ni mwenyeji kidogoMwambie ni battle ya DPK 712 Vs DWF 418.
Watoto wotee wakina IMANI, TANZANITE, HAPPY NATIONAL, NGANGA, KYELA EXPRESS, KILIMANJARO, SAIBABA, ABOOD, yaani wotee WAKAE PEMBENI.
Ni Youtong Vs Benz..!!!
Naelewa sanaa hii battle.
Naomba idumu milele.
#YNWA
Mkuu wangu,dpk sio yutong n zhongtong climber,Mwambie ni battle ya DPK 712 Vs DWF 418.
Watoto wotee wakina IMANI, TANZANITE, HAPPY NATIONAL, NGANGA, KYELA EXPRESS, KILIMANJARO, SAIBABA, ABOOD, yaani wotee WAKAE PEMBENI.
Ni Youtong Vs Benz..!!!
Naelewa sanaa hii battle.
Naomba idumu milele.
#YNWA
Yap sa kumi anapiga honi hapo Ubungo mataa na folenk zote zileyap mkuu zama za kina safina m-sleeping coach hekima saa 7 mchana yuko moro anatokea green city
Tafuteni pesa acheni ku-klem magari ya wanaume sijui DPK sijui DPC sijui Gemiland sijui Benz,huo ni uzuzuMkuu wangu,dpk sio yutong n zhongtong climber,
Dwf sio benz ni scania gemilang,benz la sauli ni ile 226 dpc hana benzi nyingine.
Asante
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Miaka Ile ilikuwa balaa sana mabasi yanakimbia sema uzuri malori na mizani vilikuwa vichache barabarani hata hizo speed 50 vibao vyake havikuwa vingiSiku hizi Dar -Arusha unaingia saa tisa aisee ..
Mara kadhaa unatoka chuga unaenda kula Ugali dagaa DSM mchana kweupe.
Mbeye hapo to Arusha unakutana na Hood raha tupu
Kwanini usipande magari mengine? Au ni lazima kupanda hizo gari?Uendeshaji wao ni wa hovyo kabisa na hauzingatii sheria na kanuni za barabarani.
Sauli hununua Askari wowote wawao zamu siku husika wa usalama barabarani kuanzia Igawa hadi Tunduma na hutoka mtu maalum na gari ndogo Mbeya mjini kwa ajili ya wao wanachokiita kusafisha njia.
Narudia,Sauli na New force ni janga litarajiwalo huko Kusini mwa Tanzania.
Wanakimbia kupita kiasi. Ila kiukweli magari karibu yote yaendayo Mkoa wa Songwe yanakimbia mno sijui ni umbali wa Dar Tunduma au ni nini.
Na ww acha ulimbukeni wa kushabikia lugha za watu akati huzijui, ni cram na sio creamTafuteni pesa acheniku-cream magari ya wanaume sijui DPK sijui DPC sijui Gemiland sijui Benz,huo ni uzuzu