Ni suala la muda tu ila Sauli na New Force mabasi yanayoelekea Tunduma na Mbeya yatamaliza watu

Ni suala la muda tu ila Sauli na New Force mabasi yanayoelekea Tunduma na Mbeya yatamaliza watu

Madereva wamejaa kiburi, jeuri, kejeli, vijembe na nyodo kama vile wameolewa
Hapana kwasasa madereva hawakimbii kabisa hivi enzi zile Dar- Mbeya masaa 9 tu ungesemaje? Au Dar- Arusha masaa 7( Ngolika vs Buffalo), Mwanza-Dar masaa 13 tu (Ally's, Mombasa Raha, Colour star) au Kahama-Dar Masaa 11 na nusu au 12 ( Leina, Ally's ) 😂😂😂😂
 
Haya tuambie tokea Sauli katoa bus zake lini limepata ajali na kuleta maafa?? Kwa nini kama bus inatakiwa isizidishe speed ya km 80 kwa saa serikali isilete Sheria ya kuingiza bus zenye speed max km 80 kwa saa?? Mwisho kama hupenzi Gari yenye speed si upande Majinja au ABOOD??
Una akili ndogo Sana, kwasababu hazijapata ajali ndio zisinyoshewe kidole..


Mitanzania akili ziko matakoni
 
Hapana kwasasa madereva hawakimbii kabisa hivi enzi zile Dar- Mbeya masaa 9 tu ungesemaje? Au Dar- Arusha masaa 7( Ngolika vs Buffalo), Mwanza-Dar masaa 13 tu (Ally's, Mombasa Raha, Colour star) au Kahama-Dar Masaa 11 na nusu au 12 ( Leina, Ally's ) 😂😂😂😂
Wenye sifa nilizotaja siyo hao ulio quote ...ukiweza soma niliko quote
 
Uendeshaji wao ni wa hovyo kabisa na hauzingatii sheria na kanuni za barabarani.

Sauli hununua Askari wowote wawao zamu siku husika wa usalama barabarani kuanzia Igawa hadi Tunduma na hutoka mtu maalum na gari ndogo Mbeya mjini kwa ajili ya wao wanachokiita kusafisha njia.

Narudia,Sauli na New force ni janga litarajiwalo huko Kusini mwa Tanzania.
sauli ni gari bora. wanachonifurahisa wanafika mbeya mapema kwasababu hawasimami ovyo kama wengine njiani. acha kuwachafua.
 
Sikuhizi chuma mdomdo, hata ajali nyingi ni majeruhi, zenye vifo chache sana kama ile ya jana
 
Hapana kwasasa madereva hawakimbii kabisa hivi enzi zile Dar- Mbeya masaa 9 tu ungesemaje? Au Dar- Arusha masaa 7( Ngolika vs Buffalo), Mwanza-Dar masaa 13 tu (Ally's, Mombasa Raha, Colour star) au Kahama-Dar Masaa 11 na nusu au 12 ( Leina, Ally's ) 😂😂😂😂
Big Boys hao
 
Siku hizi Dar -Arusha unaingia saa tisa aisee ..

Mara kadhaa unatoka chuga unaenda kula Ugali dagaa DSM mchana kweupe.

Mbeye hapo to Arusha unakutana na Hood raha tupu
 
Mwambie ni battle ya DPK 712 Vs DWF 418.

Watoto wotee wakina IMANI, TANZANITE, HAPPY NATIONAL, NGANGA, KYELA EXPRESS, KILIMANJARO, SAIBABA, ABOOD, yaani wotee WAKAE PEMBENI.

Ni Youtong Vs Benz..!!!

Naelewa sanaa hii battle.

Naomba idumu milele.

#YNWA
Si uishi tu mbeya mkuu....inaonyesha we ni mwenyeji kidogo
 
Kiukweli hizi bus sasa hivi hazikimbii, sema tu wako wako rough sana na overtake zisizo na maana za hovyo hovyo tu kuna bus moja ya kilimanjaro miaka ya 2005 kama kumbukumbu itakuwa sawa ilitoka ubungo saa 12 iliingia mbeya saa 7 dereva alipofika tu traffic wakambeba
 
Miaka ya 2012 hapo tulikuwa tunatoka njombe saa 06:00 Ubungo unafika saa 15:30 na bus la Budget.
 
Tanga Dar ni km 354 watu tunatumia masaa 6 Hadi Saba.
Korogwe Dar ni km 300 tunatumia masaa 5 Hadi 6.
Magari ni yale Yale, barabara zilezile Ila maadili tofauti.
Madereva wa ruti za Tanga wako makini Sana.
 
Mwambie ni battle ya DPK 712 Vs DWF 418.

Watoto wotee wakina IMANI, TANZANITE, HAPPY NATIONAL, NGANGA, KYELA EXPRESS, KILIMANJARO, SAIBABA, ABOOD, yaani wotee WAKAE PEMBENI.

Ni Youtong Vs Benz..!!!

Naelewa sanaa hii battle.

Naomba idumu milele.

#YNWA
Mkuu wangu,dpk sio yutong n zhongtong climber,

Dwf sio benz ni scania gemilang,benz la sauli ni ile 226 dpc hana benzi nyingine.

Asante

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Siku hizi Dar -Arusha unaingia saa tisa aisee ..

Mara kadhaa unatoka chuga unaenda kula Ugali dagaa DSM mchana kweupe.

Mbeye hapo to Arusha unakutana na Hood raha tupu
Miaka Ile ilikuwa balaa sana mabasi yanakimbia sema uzuri malori na mizani vilikuwa vichache barabarani hata hizo speed 50 vibao vyake havikuwa vingi
 
Uendeshaji wao ni wa hovyo kabisa na hauzingatii sheria na kanuni za barabarani.

Sauli hununua Askari wowote wawao zamu siku husika wa usalama barabarani kuanzia Igawa hadi Tunduma na hutoka mtu maalum na gari ndogo Mbeya mjini kwa ajili ya wao wanachokiita kusafisha njia.

Narudia,Sauli na New force ni janga litarajiwalo huko Kusini mwa Tanzania.
Kwanini usipande magari mengine? Au ni lazima kupanda hizo gari?
 
Back
Top Bottom