"Ni Tanzania tu utasikia biashara inakufa kwa sababu ina wateja wengi" Yerico Nyerere

"Ni Tanzania tu utasikia biashara inakufa kwa sababu ina wateja wengi" Yerico Nyerere

Sikubaliani na wewe kwenye matumizi ya maneno makali, lakini kuhusu mwenge, ninakuunga mkono kwa asilimia mia moja. Mwenge ni uchawi wa Serikali wenye lengo la kuwapumbaza wananchi ili watawalike kirahisi. Kuna nyuzi kadhaa humu jukwaani zinazoelezea ukweli wa mbio za mwenge. Ni ushikina kamili!
Hivi jamaa ametumia maneno makali, mimi naona ametumia maneno sahihi kwa matendo yanayofanyika. Sijui lakini mambo yenu ya Tafsida.Kuna msemo wa Kizungu unasema call a spade a spade nafikiri ndicho alichofanya.
 
Maneno meeeeengi ishu za msingi hujazigusa
2016 nauli ya mwendokasi ilikua 650 Lita moja ya dizeli ilikua 1699,
Leo hii 2024 nauli ya mwendokasi ni 750 na Lita moja ya dizeli ni 3000+ ,

Hapa hata uwe mtaalamu wa uchumi kutoka kuzimu, lazima kampuni ife tu
Mbona daladala hazifi au wao wamebakiwa na bei ya mafuta hio hio?
 
"Black people are not complete human beings because THEY DON'T HAVE A GOOD BRAIN to govern the society as White people. They are still under the process of becoming the complete human beings."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
Do huyu aliua kabisa.
 
Hivi wale waimba nyimbo za kusifu na kutukuza za mama yao wapo?
 
Kamanda husiangalie hoja kwa jicho moja au kwa upande mmoja.

Mashirika ya umma in a modern economy lazima yatengeneze faida na kuexpand bussiness..Kinachotakiwa kwa sababu ya unparallel favour na advantages wanazopewa during the course of running their bussiness, wanatakiwa price yao iwe affordable na fair kwa majority of citizen na ndiyo maana ya kupewa favour kubwa hizo.

Ila suala la kutengeneza faida halikwepeki. Nafikiri ni mwezi ulipita ulimuona mkuu wa nchi akikabidhiwa gawio la serikali toka mashirika ya umma na kipindi cha mwendazake the same, halafu concept yako inasema serikali ndiyo itoe divident huoni hapo kuna kitu kinamiss.Tunaongelea modern economy ambayo model yake kwetu haijulikani kama ni ni socialism au capitalism ila inaendeshwa kicapitalism ingawa hawajatamka. Ila kwa azimio la Zanzibari automatically waliua ideologies zote za kisocialism toka kwenye azimio la Arusha, the late Mwl Nyerere alifafanua vizuri kabisa hii controversy au naweza kuhiita inconsistency ideologies.
Mkuu naona hapa tunazungumza lugha moja hasa kwenye hoja ya kutengeneza faida, Ili shirika lolote liwe sustainable financially lazima mapato yawe kibiashara na sio kutoa huduma tu, japo nimeshambuliwa mno humu lakini hoja Iko hapo. Tuna mashirika ambayo tunataka yalete faida na yawe sustainable kwa uendeshaji wa kutoa huduma. Hicho kitu haiwezekani.
 
"Unaweza usiamini kwamba ni Tanzania tu inatokea kwa mara ya kwanza duniani, kwamba biashara inakufa kwa sababu ina wateja wengi. Yes amini Mwendokasi inakufa huku ongezeko la wateja ni kubwa sana na haina mpinzani ni wao tu Dar nzima. Hivi sisi ni akina nani? sisi ni MANYANI" Anasema Yerico Nyerere.

Sio tu wana wateja wengi, wametengenezewa barabara zao, wamepewa sehemu bure za garage na maghala na parkings, wameongezewa roots nyingine kama sita tena root zenye wateja wengi balaa mpaka za mbaghala, wamepewa vituo vyao vya kukatia ticketi , kupakia na kushusha abilia.

😒Tena unaweza kuambiwa walipewa au wanapewa excemption kwenye baadhi ya kodi na kuingiza mabasi na vipuri. Kibaya wanawateja mpaka inakinaisha, wateja ni wengi kuliko mabasi yao yote.Sasa hawa watu biashara yao imewezaje kufa, katumia neno labda sisi ni MANYANI, akimaanisha ni kama wanyama wa msituni,hilo ni swali la kujiuliza tufanye nini turudi kuwa binadamu na si Tumbili, nyani sokwe???

Mimi nilikuwa najiuliza swali kama hilohilo lakini kwenye sekta ya Afya hasa kuhusu Bima ya afya ya Taifa (NHIF). Hivi NHIF inawezaje kupata hasara wakati inaoperate kama COMPREHENSIVE group insurance ila yenyewe ikiwa na advantage ya kuwa na group la wafanyakazi wa serikali wa nchi nzima. Kibaya wao ndio wanadetermine type of services to offer, amount to pay for providers of services and when to pay them na hawana hofu ya competetion kwani wako peke yao tu kwa wafanyakazi wa serikali. Nakwambia ni kituko cha dunia kwa wale wanaoelewa mambo ya individual na global health insurance system.

Kwa normal private health insurance, wao ni kinyume, wanatafuta wateja, wanatakiwa na kulazimika kuoffer better hospitals and services na kulipa watoa huduma vizuri na timely kwani wanaweza kukosa wateja na kampuni ikafa.

Conversely, group health insurance nyingi za kawaida kama za wafanyakazi wa masupermarkets, labda mashirika ya umma, wafanyakazi wa masoko fulani mara nyingi hata premium zao (michango) ni za chini kwa sababu wanaserve groups, kwa hiyo wako 100% sure kila mwezi wataingiza malipo ya wateja wao wa kwenye group na kiasi gani na ni wengi kidogo.

Sasa cha kushangaza na kusikitisha NHIF ya Tanzania ni tofauti na other normal group health insurance, hawa si group health insurance ya kawaida bali ni National Group Health Insurance, wana kundi kubwa la mamilioni ya wafanyakazi nchi nzima ambao kila mwezi wanakatwa divident toka kwenye mishahara yao na hela inaingia moja kwa moja NHIF;utafiti umeonyesha zaidi ya asilimia 80% ya wafanyakazi wanaweza kukaa miezi zaidi ya sita bila kutumia any of the NHIF insurance, tena wengine wanatumia cash kuliko card za NHIF kwa sababu ya kadhia zake, mimi nilikaa miaka 6 nikaitumia mara 2 tu. Thus, the estimated expected marginal profit of NHIF kwa mwezi ni kama mara 300% ya other normal group health insurance na more than 500% ya normal health insurance companies/firms

Halafu leo unaambiwa NHIF wako ICU kifedha kwa hiyo wanaondoa Baadhi ya huduma na dawa. Pathetic. Nakubaliana na Yerico sisi hatutofautiani na Manyani na tumbili, wanyama wa msituni. Swali tufanye nini tutoke huku msituni kwenye giza turudi kwenye mwanga ,tuishi kama binadamu wengine na si kama wanyama?
Katiba Mpya bado hamuitaki? Ikiheshimiwa na kulindwa au ikijilinda kutokana na ukali wake, tutachagua na kuongozwa na tunayemtaka, tutapanga mpango ya nchi kwa pamoja na kwa utashi wa kila mtu, tutalinda Mali zetu. Miradi inakufa kwa kuwa, mtu mmoja ndio aliyeamua iwepo, mtu anayepingwa mpaka na wasaidizi wake wa karibu. Unategemea nini kitatokea kama si kuhujumiwa kwa hiyo miradi picha ya manufaa na iwepo wa wateja, ili tu kumtia aibu, kumdhalilisha aliyeiasisi?
 
Nchi inakosa national economic strategic planners kila mtu anakimbilia siasa tu.
Kwenye makaratasi tuna planners wazuri.
Tunakosa wasimamizi au waendeshaji hizo plans.
Tatizo letu lipo kwenye plan execution and how to maintain project life cycle.
Hii yote huchangiwa na uvivu, kukosa utamaduni wa kujifunza kila siku, nepotism, na wizi (ubadhirifu). Ubinafsi umetuzidi.
 
"Unaweza usiamini kwamba ni Tanzania tu inatokea kwa mara ya kwanza duniani, kwamba biashara inakufa kwa sababu ina wateja wengi. Yes amini Mwendokasi inakufa huku ongezeko la wateja ni kubwa sana na haina mpinzani ni wao tu Dar nzima. Hivi sisi ni akina nani? sisi ni MANYANI" Anasema Yerico Nyerere.

Sio tu wana wateja wengi, wametengenezewa barabara zao, wamepewa sehemu bure za garage na maghala na parkings, wameongezewa roots nyingine kama sita tena root zenye wateja wengi balaa mpaka za mbaghala, wamepewa vituo vyao vya kukatia ticketi , kupakia na kushusha abilia.

😒Tena unaweza kuambiwa walipewa au wanapewa excemption kwenye baadhi ya kodi na kuingiza mabasi na vipuri. Kibaya wanawateja mpaka inakinaisha, wateja ni wengi kuliko mabasi yao yote.Sasa hawa watu biashara yao imewezaje kufa, katumia neno labda sisi ni MANYANI, akimaanisha ni kama wanyama wa msituni,hilo ni swali la kujiuliza tufanye nini turudi kuwa binadamu na si Tumbili, nyani sokwe???

Mimi nilikuwa najiuliza swali kama hilohilo lakini kwenye sekta ya Afya hasa kuhusu Bima ya afya ya Taifa (NHIF). Hivi NHIF inawezaje kupata hasara wakati inaoperate kama COMPREHENSIVE group insurance ila yenyewe ikiwa na advantage ya kuwa na group la wafanyakazi wa serikali wa nchi nzima. Kibaya wao ndio wanadetermine type of services to offer, amount to pay for providers of services and when to pay them na hawana hofu ya competetion kwani wako peke yao tu kwa wafanyakazi wa serikali. Nakwambia ni kituko cha dunia kwa wale wanaoelewa mambo ya individual na global health insurance system.

Kwa normal private health insurance, wao ni kinyume, wanatafuta wateja, wanatakiwa na kulazimika kuoffer better hospitals and services na kulipa watoa huduma vizuri na timely kwani wanaweza kukosa wateja na kampuni ikafa.

Conversely, group health insurance nyingi za kawaida kama za wafanyakazi wa masupermarkets, labda mashirika ya umma, wafanyakazi wa masoko fulani mara nyingi hata premium zao (michango) ni za chini kwa sababu wanaserve groups, kwa hiyo wako 100% sure kila mwezi wataingiza malipo ya wateja wao wa kwenye group na kiasi gani na ni wengi kidogo.

Sasa cha kushangaza na kusikitisha NHIF ya Tanzania ni tofauti na other normal group health insurance, hawa si group health insurance ya kawaida bali ni National Group Health Insurance, wana kundi kubwa la mamilioni ya wafanyakazi nchi nzima ambao kila mwezi wanakatwa divident toka kwenye mishahara yao na hela inaingia moja kwa moja NHIF;utafiti umeonyesha zaidi ya asilimia 80% ya wafanyakazi wanaweza kukaa miezi zaidi ya sita bila kutumia any of the NHIF insurance, tena wengine wanatumia cash kuliko card za NHIF kwa sababu ya kadhia zake, mimi nilikaa miaka 6 nikaitumia mara 2 tu. Thus, the estimated expected marginal profit of NHIF kwa mwezi ni kama mara 300% ya other normal group health insurance na more than 500% ya normal health insurance companies/firms

Halafu leo unaambiwa NHIF wako ICU kifedha kwa hiyo wanaondoa Baadhi ya huduma na dawa. Pathetic. Nakubaliana na Yerico sisi hatutofautiani na Manyani na tumbili, wanyama wa msituni. Swali tufanye nini tutoke huku msituni kwenye giza turudi kwenye mwanga ,tuishi kama binadamu wengine na si kama wanyama?
Hakuna biashara inayokufa sababu ya wateja wengi
 
Kwenye makaratasi tuna planners wazuri.
Tunakosa wasimamizi au waendeshaji hizo plans.
Tatizo letu lipo kwenye plan execution and how to maintain project life cycle.
Hii yote huchangiwa na uvivu, kukosa utamaduni wa kujifunza kila siku, nepotism, na wizi (ubadhirifu). Ubinafsi umetuzidi.
Planners wetu wana plan au project plans ambazo ni unrealistic hazitekerezeki kwa mfano SGR project ya kutoka dar hadi Moro kuna mzigo gani au biashara gani watu kupanda waende Morogoro kufanya nini ?
 
Mwendokasi lazima ife kama wanajiibia wenyewe kwa nini isife hakuna watu Wazalendo hapo huo mradi upo ubia na Serikali kwa jina tu ukiwauliza wanapata kiasi gani hakuna jibu utapewa...
 
Mkuu naona hapa tunazungumza lugha moja hasa kwenye hoja ya kutengeneza faida, Ili shirika lolote liwe sustainable financially lazima mapato yawe kibiashara na sio kutoa huduma tu, japo nimeshambuliwa mno humu lakini hoja Iko hapo. Tuna mashirika ambayo tunataka yalete faida na yawe sustainable kwa uendeshaji wa kutoa huduma. Hicho kitu haiwezekani.
Nafikiri uko sahihi. Ila tunatofautiana kwenye sehemu moja,tofauti na wafanyabisahara wengine, tofauti na makampuni mengine, hawa jamaa wanapata favour kubwa sana(nimeziita compelling advantages). Sasa kutokana na hizo advantages wanatakiwa waendelee kuweka price zao favourable na affordable kwa watanzania. Hapa naongelea mtaji wa wateja. Kwa faida wanayopata wanatakiwa watoes huduma na wapate faida.
 
Hapo tungetoa hawa wabantu wezi wezi. Tutafute meneja, CFO, Chief engineer, Mtu wa nanunuzi. Chief Inspector wazungu wenye uzoefu. Watu wenye misimamo na utamaduni wa kusema no wakiona jambo halipo sawa au wanaingiliwa majukumu yao.
 
Hapo tungetoa hawa wabantu wezi wezi. Tutafute meneja, CFO, Chief engineer, Mtu wa nanunuzi. Chief Inspector wazungu wenye uzoefu. Watu wenye misimamo na utamaduni wa kusema no wakiona jambo halipo sawa au wanaingiliwa majukumu yao.
Kabisa, kibaya hata wakila, wakihujumu na kujilimbikizia mali. Ikijulikana papo pasipo wasiwasi na ushahidi tele , utasikia wamehamishwa idara au taasisi. Sasa unategemea nini kuhusu wengine.Tulitegema wale wanaokutwa na ubadhilifu wa mali za umma,kifungo miaka 20 na kutahifishwa mali zao zote ili iwe fundisho kwa wengine. China, Japani wameweza.
 
Boss, kwanza hakuna pahala niliposema serikali iyape mashirika ya umma au kwa mjadala huu mwendokasi ipewe dividends, nilitumia neno subsides. Nadhani labda hujui tofauti ya maneno hayo mawili au umejizima data.

Pili, nilisema mashirika sampuli ya mwendokasi, kwa maana ya mashirika ya kutoa huduma, hayapo designed kutengeneza faida, lakini kama yakitengeneza si jambo baya ila si lazima. Muhimu ni usimamizi madhubutu, kupewa ruzuku pale yanapo chechemea ili huduma ziendelee kutolewa kwa wananchi bila kuvurugika.

Tatu, sijui unaongelea “modern economy” gani? Lakini tembea dunia hii, nchi karibu zote zilizo staarabika, kuanza uropa, amerika ya kusini na kaskazini, huduma za “metro” zinaendeshwa na serikali na mashirika husika yanapewa ruzuku.

Ngoja nikuulize swali, unaweza kutoa sababu 5 tu, kwanini mji wa Dar es salaam unahitaji huduma za mwendokasi???
Nimekusikia mkuu, sihitaji kujibu maswali yako kwani hii ni free discussion, ninaweza kuwa niko sahihi au na wewe unaweza kuwa uko sahihi. tofauti yangu mimi na wewe ni suala la kupewa ruzuku na kutojiendesha kwa faida.

Sasa kama shirika limepewa mazingira wezeshi yote ili litengeneze faida kwa nini lipewe ruzuku. Hizo nchi za uropa, amerika kaskazini na kusini naomba uzitaje na ulete ushahidi hapa. Mimi nilishawahi kukaa maeneo kama hayo na walikuwa na well refurnished state of art public transport system kama mwendokasi and was runned by state. na sikuwahi kusikia wanapewa ruzuku , hivi waendeshaji wa yale mabasi ya uingereza au ile treni ya uingereza ya chini unafikiri wanapewa ruzuku na serikali au wao ndio wanacontribube faida kwa serikali. Tena bora ungeesema nchi za russia au cuba au scandinavian countries na si a pure capitalist countries. Ni kweli wana public transport na zinajiendesha kwa faida na hawapewi ruzuki labda wanapokula hasara kwa sababu ya justifiable reasons or unforeseen events ndipo serikali inawapatia addition /top up capital kustabilize shirika lisimame na kuendelea.

Swali langu la msingi ni je inamake sense serikali ya Tanzania kutoa subsidies kwa mashirika ya umma halafu baadae wanawaomba wawape gawio kutokana na faida wanayotengeneza, alifanya Magufuri na juzi tumemuona mama akifanya, mabillioni ya fedha yametolewa kwa serikali kama gawio kutokana na faida ya mashirika ya umma;leo tunaambiwa hayatakiwa kutengeneza faida,does it make sense; to summarize, kwa nini wawape gawio kama serikali inajua hawatakiwi kutengeneza faida; zaidi kama wameomba gawio la faida, kwa nini tena wawarudishie tena fedha hizo kwa nia ya subsidies au ruzuku. Ukiniambia initial running cost hapo nakubali kwani ndio shirika linaanza. Je jiulize mashirka ya umma ambayo serikali imeingia shea na firms au wwatu wengine, NMB, AIRTEL etc unaweza sema hawatakiwi kutengeneza faida, mbona tunatajiwa matrillioni ya faida kutoka NMB ni kwa sababu ya uongozi mzuri.. Tatizo linalotokea ni kutokana na wizi, usimamizi mbaya wa mashirika haya, yabaishia kula hasara kwa hiyo serikali inabidi iendelee kutop up running capital ili yasije kusimama na sio subsidies.


Ila unaweza ukawa na hoja ingawa bado sijaielewa mkuu. Kwa sababu hii ni free forum na discussion no response or proposition is wrong let agree on disagreement ambacho ni kitu chema kwenye critical discussion kama hizi ambazo hazina majibu sahihi kwani nyingi ni complex na zina attributes (visababishi vingi).

Ili kufafanua neno attributes beyond uwezo/reach ya viongozi wa mashirika haya nitatoa mifano. Kwanza tunaambiwa kuna kipindi serikali inakopa almost faida yote na sehemu ya mtaji kutoka hifadhi za jamii na mashirika ya umma kama NSSF, NHIF na sijui kama unafahamu sakata la MSD ambapo serikali iliwaagiza wapeleke consignment za madawa na vifaa tiba kwenye mahospitali ya serikali yenye thamani ya mabillioni ya shiringi kwa ahadi watawalipa na hawakuwalipa, MSD ikawa imekaribia kukauka, mkuu wake alipowakumbusha kwamba shirika linakalipia kufa tokana na deni hilo akaondolewa na wakamuweka mwingine na kuinject funds kidogo la deni lao ili shirika lisije kufa. Kwa hiyo tunawezaa tukawa tunashutumiana hapa mimi na wewe kumbe sababu iko juu ya uwezo wa uongozi wa shirika; it is the governing system itself. Nyakati za chaguzi, nyakati za majanga, nyakati serikali inakosa mapato kulipa mishahara ndipo huwaga wanaborrow.
 
Ongezea na TANESCO ......
Hayo ni ya kawaida ktk jamii ambayo wanaomba mkopo wa maendeleo na wenye masharti; wakipewa tu wanamega sehemu na kufanya sherehe ya kupata mkopo.
Kila ansyepata nafasi ya uongozi anawaza na kuzunguka kokote kunakomhusu , akifhaniwa anafuatilia maendeleo, kumbe anapotos madili yake. Wengine wanapewa escot kabisa!
 
Ongezea na TANESCO ......
Hayo ni ya kawaida ktk jamii ambayo wanaomba mkopo wa maendeleo na wenye masharti; wakipewa tu wanamega sehemu na kufanya sherehe ya kupata mkopo.
Kila ansyepata nafasi ya uongozi anawaza na kuzunguka kokote kunakomhusu , akifhaniwa anafuatilia maendeleo, kumbe anapotos madili yake. Wengine wanapewa escot kabisa!
Yaani you have nailed it, baadhi ya mashirika wanaanzisha project kubwa zisizo na faida kwa kukopa matrillioni, huku wakijua while implementing hiyo project wao watatumia huo mwanya kupiga mabilioni kwenye estimate za cost, kwenye procurement, kwenye tendering na 10% . Yaani ni taabu sana
 
Back
Top Bottom