Ni ubabaifu mwanaume kulilia mali za mwanamke katika talaka. Kesi ya talaka ya Fatma Karume ina masomo muhimu sana

Ila sisi wanaume dah, unawezaje kumuoa Fatma? Hivi atakupa mdinyo kweli yule!!
Punguza Uoga Mkuu, Hao wana Namna ya kwenda nao mimi fantasy yangu ni hao wanawake High Profile na Nimesha manage art ya kwenda nao, Huyo utamuona Public anaongea sana Ila akija Room anatulia na bikini anavaa kabisa na Ugali anapika na anakuwa Mdada Mzuri tu
 
wasenge tu, mwanamke hata akiwa anapika ugali na kuangalia tamthilia tu nyumbani mkiachana mahakama inataka apewe 50% ya mali zote.
Ndo maana mi huwa nauza mapanga yaliyoNOLEWA kabisa kwa bei chee,...musisite kuniungisha🙏🙏
 
Ulidate nae/one night stand au ulioa? Maana one stand,hawa wanapigwa sana mashine na wengi issue ni kuwaoa.
 
Na mpipi anaulilia watu waoga sana !
 
Chumo la ndoa ni utapeli.., ndoa haichumi, anae chuma ni mwanaume au mwanamke, sio ndoa.., kila mtu apewe kilicho kwenye jina lake..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…