The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Baada ya Kiwero kumtema akaja mwamba mwingine aliivaa ile Ngoma bwanaYule mjinga wa chadema harafu akajiona mjanja sana mixer mabago kibao humu Jf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya Kiwero kumtema akaja mwamba mwingine aliivaa ile Ngoma bwanaYule mjinga wa chadema harafu akajiona mjanja sana mixer mabago kibao humu Jf
Jichanganye.wanawake wanaharakati wakiwa nyumbani mbona ni watu wakawaida tu mkuu
Punguza Uoga Mkuu, Hao wana Namna ya kwenda nao mimi fantasy yangu ni hao wanawake High Profile na Nimesha manage art ya kwenda nao, Huyo utamuona Public anaongea sana Ila akija Room anatulia na bikini anavaa kabisa na Ugali anapika na anakuwa Mdada Mzuri tuIla sisi wanaume dah, unawezaje kumuoa Fatma? Hivi atakupa mdinyo kweli yule!!
Yule alikuwa ametoboa masikio?Baada ya Kiwero kumtema akaja mwamba mwingine aliivaa ile Ngoma bwana
Ndo maana mi huwa nauza mapanga yaliyoNOLEWA kabisa kwa bei chee,...musisite kuniungisha🙏🙏wasenge tu, mwanamke hata akiwa anapika ugali na kuangalia tamthilia tu nyumbani mkiachana mahakama inataka apewe 50% ya mali zote.
Punguza Uoga mzee uzuri ndoa za Kislamu hazina Ujinga wa wa Till death do us apart, Ivo usiogopeJichanganye.
Aimkumbuki vizuri ila kuna Mwamba aioa lile tatizoYule alikuwa ametoboa masikio?
Hamna baada ya hapo hakuolewa ila Kuna mwamba anapigo kama shoga ndo alikuwa anaichapa alikuwa anajitapa anaishi LondonAimkumbuki vizuri ila kuna Mwamba aioa lile tatizo
Kwa nini asiwe? Kila binadamu ana awamu zote ati:Hivi huyu anaweza kuwa romantic kwa bd kweli?
Kwani huyo ni dini gani?Punguza Uoga mzee uzuri ndoa za Kislamu hazina Ujinga wa wa Till death do us apart, Ivo usiogope
Ulidate nae/one night stand au ulioa? Maana one stand,hawa wanapigwa sana mashine na wengi issue ni kuwaoa.Punguza Uoga Mkuu, Hao wana Namna ya kwenda nao mimi fantasy yangu ni hao wanawake High Profile na Nimesha manage art ya kwenda nao, Huyo utamuona Public anaongea sana Ila akija Room anatulia na bikini anavaa kabisa na Ugali anapika na anakuwa Mdada Mzuri tu
Na mpipi anaulilia watu waoga sana !Punguza Uoga Mkuu, Hao wana Namna ya kwenda nao mimi fantasy yangu ni hao wanawake High Profile na Nimesha manage art ya kwenda nao, Huyo utamuona Public anaongea sana Ila akija Room anatulia na bikini anavaa kabisa na Ugali anapika na anakuwa Mdada Mzuri tu
Kuna funzo hapa.
Wanandoa tarajali kusainiana Mikataba ya Kusajili Mali zao (Pre-nuptial Contract) ni muhimu sana katika maisha ya Sasa.
Pre-nuptial Contract will help to avoid the problem of the Marriage Conemanship in case of divorce like this.
Ukichunguza kwa umakini Sana utagundua kwamba kiuhalisia Wanaume wenyewe huwa wanakuwa chanzo cha matatizo yote haya ya wao kutapeliwa au kudhulumiwa mali zao kwenye masuala haya ya talaka.
Kwa kawaida mgawanyo wa mali kwenye talaka huwa unagusa mali zile tu ambazo ni 'Chumo la Ndoa,'(Matrimonial Property). Kama Mwanandoa wa kike naye alichangia kwenye suala la upatikanaji wa mali husika, sioni tatizo lolote lile na yeye akipewa Haki yake katika mchakato mzima wa mgawanyo wa mali wakati wa talaka.
1.) Huo ugali anakula nani?Kusonga ugali kwani sio kazi?
Mbona mnalipa hela kwa mama ntilie
Muulize na gesi kanunua yeye?😂unga na jiko umenunua wewe?
Hao watoto ni wa jirani au wa kwake mwenyewe?Bado hajafua minguo, tena nguo za watoto unasugua hadi vidole vinaota sugu.
Oa, ila usifunge ndoa..Mzee tusioe?
Kama mmekubaliana, ni makubaliano halali, yanatambulika so as long as hayavunji sheria.nani kakwambia