Ni ubabaifu mwanaume kulilia mali za mwanamke katika talaka. Kesi ya talaka ya Fatma Karume ina masomo muhimu sana

Katika maisha yangu siwezi kuoa mwanasheria ni washenzi sana.
Woga tu.....

Jamaa yangu kamuoa mmoja ambaye alikuwa KISOI mno....leo amekuwa chini ya nyayo ya mwamba....nilimpeleka mwamba kule Mwamgongo Kigoma....hiyo ndiyo DAWA yao ha ha ha
 
Kusonga ugali kwani sio kazi?
Mbona mnalipa hela kwa mama ntilie
Kwahiyo akiachika atasonga ugali ajenge ghorofa si ndio.
Asingeolewa angekua pia anapika ale ila sasa anapika bila kutafuta anachopika.

Kazi za nyumbani haziwezi ingiza kipato ndio maana mkiacha kazi mkakaa nyumbani wote hizo kazi za nyumbani hazitawaingizia chochote na njaa itataradadi.

Na hata usipooa au kuolewa hauwezi kufa njaa hivyo hauwezi kusema wewe ulikua unapika ugali.

Kila mmoja haya maisha achakarike asimtegemee yoyote awe mwanamke au mwanaume dunia ya sasa haina huruma utakuja kukuta mali kaandikwa mama wa mmeo ulie kilio kikuu.
 
Woga tu.....

Jamaa yangu kamuoa mmoja ambaye alikuwa KISOI mno....leo amekuwa chini ya nyayo ya mwamba....nilimpeleka mwamba kule Mwamgongo Kigoma....hiyo ndiyo DAWA yao ha ha ha
Siku dawa ikiisha atakiona cha mtema kuni.
 
Katika mambo yote hayo jioni anakua ameingiza shilingi ngapi kama shares zake kwenye mgao wa 50/50..?
 
Mbona hawarudi kwao kama majukumu yake yamemshinda, kwenye maofisi ya watu tunafanya kazi hadi overtime, mambo yakimzidi apishe aje muajiriwa mwingine
 
Nakaa ukimya kwa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…