FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Kwanini usitarajie wakati uwezekano upo?Kuna haja gani ya kuolewa kama una matarajio ya kuachika baadae?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini usitarajie wakati uwezekano upo?Kuna haja gani ya kuolewa kama una matarajio ya kuachika baadae?
Wengi wananyimwa, mara moja kwa mwezi..Unapopewa uchi bila kupimiwa unafikiri ni bure?
Mkiachana ndio utajua mwenzio alikuwa kazini kama wewe🤣
Ha ha ha haIla kuna watu wana roho ngumu. Yaani kabisa unaenda kuoa Fatuma Karume? Kama anabishana na serikali na vyama, wewe utapona?
Woga tu.....Katika maisha yangu siwezi kuoa mwanasheria ni washenzi sana.
Kwahiyo akiachika atasonga ugali ajenge ghorofa si ndio.Kusonga ugali kwani sio kazi?
Mbona mnalipa hela kwa mama ntilie
Siku dawa ikiisha atakiona cha mtema kuni.Woga tu.....
Jamaa yangu kamuoa mmoja ambaye alikuwa KISOI mno....leo amekuwa chini ya nyayo ya mwamba....nilimpeleka mwamba kule Mwamgongo Kigoma....hiyo ndiyo DAWA yao ha ha ha
Hakuna mwanamke paleIla kuna watu wana roho ngumu. Yaani kabisa unaenda kuoa Fatuma Karume? Kama anabishana na serikali na vyama, wewe utapona?
...dawa ni kitu endelevu mwayego......ukichelewa atakuwahi wewe...Siku dawa ikiisha atakiona cha mtema kuni.
Wanasema alipokua anaangalia series za kihindi alikua analinda nyumba 😏😏wasenge tu, mwanamke hata akiwa anapika ugali na kuangalia tamthilia tu nyumbani mkiachana mahakama inataka apewe 50% ya mali zote.
....hao mbona wanatuama tu kwa kurogwa....Hakuna mwanamke pale
Mifumo ya mashoga, mwanaume rijali hawezi support huu ufala, pesa ni ngumu wazee halafu 50/50wasenge kweli hawa watu, wanabebwa sana na mfumo
Hilo swali lilipaswa lisindikizwe na kofi moja matata sana, ubongo wa hivi viumbe umeganda kidogounga na jiko umenunua wewe?
Zaidi ya washenziKatika maisha yangu siwezi kuoa mwanasheria ni washenzi sana.
Ha ha ha nakuona ALPHA MALE !!Mifumo ya mashoga, mwanaume rijali hawezi support huu ufala, pesa ni ngumu wazee halafu 50/50
Ni kweli tunakatazwa makanisani na misikitini.....ila bila ya kuwainamisha kimazingara hao HAWAENDI......Zaidi ya washenzi
Katika mambo yote hayo jioni anakua ameingiza shilingi ngapi kama shares zake kwenye mgao wa 50/50..?Nashangaa sana ujue hakuna kazi ngumu kama kazi za nyumbani nashangaa watu wanachukuliaga poa sana hii sekta.. kuwafanyia maandalizi watoto na baba wanaokwenda shule na wanaokwenda kazini waende wakiwa smart..na bado wengine ubaki nao na kazi za nyumbani upambane nazo warudi wakute mambo yako fresh si jambo rahisi na ukute hana hata msaidizi wa nyumbani so ni kila kitu anafanya mtu mmoja tena kwa ukamilifu na bado anachukuliwa poa mwanamke hiyu..wanahaki na kupata 50 50 acha mfumo uwabebe
Ha ha ha haWanasema alipokua anaangalia series za kihindi alikua analinda nyumba 😏😏
Mbona hawarudi kwao kama majukumu yake yamemshinda, kwenye maofisi ya watu tunafanya kazi hadi overtime, mambo yakimzidi apishe aje muajiriwa mwingineHuwa nawaaprisheti sana wanaume wanaowarecognise wake zao japo kwa pesa kidogo motisha kwao..sa mijanaume mingine haijali wala nn si kwa losheni ,nguo za ndani za mkewe wala pesa za kusuka ..kazi za nyumbani zinachosha usipokuwa makini unachakaa utashinda bila kuoga au mazingira ya nyumbani yatakuwa safi ila wewe mama mchafu utakosa muda wa kuoga hekaheka hadi jioni inakukuta unaogea kitanda unalala hoiii..
....dawa yao ni ile niliyokwambia.....hao watata bana....watata mnooo.....Mbona hawarudi kwao kama majukumu yake yamemshinda, kwenye maofisi ya watu tunafanya kazi hadi overtime, mambo yakimzidi apishe aje muajiriwa mwingine
Nakaa ukimya kwa sasaKuna funzo hapa.
Wanandoa tarajali kusainiana Mikataba ya Kusajili Mali zao (Pre-nuptial Contract) ni muhimu sana katika maisha ya Sasa.
Pre-nuptial Contract will help to avoid the problem of the Marriage Conemanship in case of divorce like this.
Ukichunguza kwa umakini Sana utagundua kwamba kiuhalisia Wanaume wenyewe huwa wanakuwa chanzo cha matatizo yote haya ya wao kutapeliwa au kudhulumiwa mali zao kwenye masuala haya ya talaka.
Kwa kawaida mgawanyo wa mali kwenye talaka huwa unagusa mali zile tu ambazo ni 'Chumo la Ndoa,'(Matrimonial Property). Kama Mwanandoa wa kike naye alichangia kwenye suala la upatikanaji wa mali husika, sioni tatizo lolote lile na yeye akipewa Haki yake katika mchakato mzima wa mgawanyo wa mali wakati wa talaka.