Ni ubabaifu mwanaume kulilia mali za mwanamke katika talaka. Kesi ya talaka ya Fatma Karume ina masomo muhimu sana

Ni ubabaifu mwanaume kulilia mali za mwanamke katika talaka. Kesi ya talaka ya Fatma Karume ina masomo muhimu sana

Kwahiyo akiachika atasonga ugali ajenge ghorofa si ndio.
Asingeolewa angekua pia anapika ale ila sasa anapika bila kutafuta anachopika.

Kazi za nyumbani haziwezi ingiza kipato ndio maana mkiacha kazi mkakaa nyumbani wote hizo kazi za nyumbani hazitawaingizia chochote na njaa itataradadi.

Na hata usipooa au kuolewa hauwezi kufa njaa hivyo hauwezi kusema wewe ulikua unapika ugali.

Kila mmoja haya maisha achakarike asimtegemee yoyote awe mwanamke au mwanaume dunia ya sasa haina huruma utakuja kukuta mali kaandikwa mama wa mmeo ulie kilio kikuu.
Halafu at the same time hamtaki wake zenu wafanye kazi!!!!
 
Mbona hawarudi kwao kama majukumu yake yamemshinda, kwenye maofisi ya watu tunafanya kazi hadi overtime, mambo yakimzidi apishe aje muajiriwa mwingine
Mh cjui kama umenielewa mkuu jibu haliendani na mjadala ulikoanzia...nilichokuwa namaanisha ni wewe uko kazini unalipwa haijalishi unafanya mpaka overtime lakini unalipwa pesa unatimiza mahitaji yako,ya familia yako kwa ujumla kwenu pia vipi yeye anaefanya kazi zisizo na malipo hapewi hata pesa ya mahitaji yake binafsi...angekuwa mfanyakazi wa ndani ungekuwa unatoa unamlipa si ndio?kwa nini kwa mkeo inakuwa ngumu kumpa motisha au mpaka aombe?akati wewe si ajabu boss wako anakulipa motisha ukiwa kazini kwako.
Hivi ugumu unayoka wapi kumpa pesa ya mahitaji yake kama kusuka losheni nguo za ndani na mehitaji mengine kama hayo lakini vimada wa huko nje wanamwagiwa pesa bila kuombwa ..kwa kweli kuna wanaume wanahitaji Maombi ya kitaifa kuwakomboa kutoka fikra kandazimizi dhidi ya wanawake
 
Mh cjui kama umenielewa mkuu jibu haliendani na mjadala ulikoanzia...nilichokuwa namaanisha ni wewe uko kazini unalipwa haijalishi unafanya mpaka overtime lakini unalipwa pesa unatimiza mahitaji yako,ya familia yako kwa ujumla kwenu pia vipi yeye anaefanya kazi zisizo na malipo hapewi hata pesa ya mahitaji yake binafsi...angekuwa mfanyakazi wa ndani ungekuwa unatoa unamlipa si ndio?kwa nini kwa mkeo inakuwa ngumu kumpa motisha au mpaka aombe?akati wewe si ajabu boss wako anakulipa motisha ukiwa kazini kwako.
Hivi ugumu unayoka wapi kumpa pesa ya mahitaji yake kama kusuka losheni nguo za ndani na mehitaji mengine kama hayo lakini vimada wa huko nje wanamwagiwa pesa bila kuombwa ..kwa kweli kuna wanaume wanahitaji Maombi ya kitaifa kuwakomboa kutoka fikra kandazimizi dhidi ya wanawake
Pesa nitampa kama sehemu ya majukumu yangu kama mwanaume siyo kama posho kwa anayofanya
 
Katika mambo yote hayo jioni anakua ameingiza shilingi ngapi kama shares zake kwenye mgao wa 50/50..?
Hizi ndio sampuli za wanaume ambao wanatakiwa wapate maombi ya kitaifa na mitambiko ya kimila ili waondokane na mifumo kandamizi dhidi ya wanawake.
Kwa upande wa wake zao uitishwe mkutano wa kitaifa ipigwe pole moja kubwa kwa ajili ya wanawake walioolewa na wanaume wa sampuli yako..
Umejawa mfumo dume umekukaa kooni... mbona malaya mnawagawia pesa mnatoka na UTI mnaletea wake zenu..mkeo anaekuongezea ukoo na kukulea wewe na wanao bado unauliza swali la kindezi namna hiyo..iko namna kwa kichwa yako sio bure..
 
Naongelea wa mama wa kizazi hiki ambacho tupo ambacho ninakiona na ambacho ninakiishi...House girl anamipaka yake ya kimajukumu ,kuandaa watoto kwenda shule,chakula cha watoto na tunachokula sisi usafi wa bedroom yangu ,nguo za watu wazima hizo kazi kwangu huw hazimuhusu housegirl na hawajawahi fanya..hizo ni principles za nyumbaani kwangu na kila mtu anazake kwa home yake
Hapo umeeleweka
 
Ila kuna watu wana roho ngumu. Yaani kabisa unaenda kuoa Fatuma Karume? Kama anabishana na serikali na vyama, wewe utapona?
Hapana umemtafsiri vibaya huyu Mtu.

Kama kitu kinachosemwa siyo sahihi au kinavunja Haki zake, Je, kwa Nini asibishe?
Kitu Cha msingi Cha kuangalia hapa ni Msingi wa Hoja ambazo anasimamia katika ubishi wake. Tuache kufanya hast generalization.
 
Manjovial nimeusoma mchango wako. Upo sawa na una experience ila unaojadiliana nao ni vijana ambao hata girlfriends hawana. Familia ni mgawanyo wa majukumu. Kama kila mtu anatimiza majukumu yake, familia ikisambaratika 50/50 ni sahihi.

kabla ya kuanzisha familia (ndoa) ni muhimu watarajiwa kuweka mambo sawa hususan umuhimu wa ndoa ambao ni matunda ya ndoa - WATOTO. Hili likitimizwa hakutakuwa na kitu kinaitwa talaka ila ubinafsi ukitamalaki, hapo talaka haikwepeki na migao ya mali etc
 
Manjovial nimeusoma mchango wako. Upo sawa na una experience ila unaojadiliana nao ni vijana ambao hata girlfriends hawana. Familia ni mgawanyo wa majukumu. Kama kila mtu anatimiza majukumu yake, familia ikisambaratika 50/50 ni sahihi.

kabla ya kuanzisha familia (ndoa) ni muhimu watarajiwa kuweka mambo sawa hususan umuhimu wa ndoa ambao ni matunda ya ndoa - WATOTO. Hili likitimizwa hakutakuwa na kitu kinaitwa talaka ila ubinafsi ukitamalaki, hapo talaka haikwepeki na migao ya mali etc
Dah alafu kweli itakuwa nakomàa fuvuu kumuelimisha form six na form four leavers humu au wanachuo wanaoishi kinyumba baada ya miaka 3 mkataba umeishia hapo..ila wacha nondo ziwaingie maan ndo wanandoa wa badae hawa wacha wakubwa zao tutuwape shule..asante mkuu
 
Dah alafu kweli itakuwa nakomàa fuvuu kumuelimisha form six na form four leavers humu au wanachuo wanaoishi kinyumba baada ya miaka 3 mkataba umeishia hapo..ila wacha nondo ziwaingie maan ndo wanandoa wa badae hawa wacha wakubwa zao tutuwape shule..asante mkuu
Hata sisi kabla ya kuingia tulikuwa na mawazo finyu kama yao. Endelea kuwapa somo
 
Kweli wanaume tunayakanyaga ila huyu mzala aliemuo Fatma ni kiboko zaidi ya Boko Haramu anaweza kujilipua popote huyu huyu Fatma Karume kutoa mzigo si anaweza kutoa vifungo na asitoe utamfanya nini..
Halafu unaweza kukuta Fatma yuko romantic sana, ni nyiwe tu wanaume msiojiamini na uoga wenu.
 
Kuna mjinga mwingine alijitwisha Joyce Kiria,nilicheka sana.
Ni vizuri kuoa mwanamke smart, anayejiamini, anayeweza kukupa challenges kuliko wa ndio kila kitu.
 
Ni vizuri kuoa mwanamke smart, anayejiamini, anayeweza kukupa challenges kuliko wa ndio kila kitu.

Hatukatai challenge ila mwanaume ukimkosoa kwa heshima ataka chini kujiuliza sana kisha akatenda,ila kwa kelele hakuna rangi utakosa kuiona,
 
Back
Top Bottom