Ni ujinga tu kushangilia mauaji ya Wapalestina kwa kudhani wanaouliwa ni Waislam

Ni ujinga tu kushangilia mauaji ya Wapalestina kwa kudhani wanaouliwa ni Waislam

fuatilia usiwe zezeta wa propaganda za hawa waislam , Kamsikilize Moasab Yosef aliyekuwa mtoto wa kiongoz wa hamas , hv walichofanya hamas uliona ni kitendo cha kukichekea ? ni nchi gan ingekaa kimya kwa kile kitendo ? kama Kenya aliivamia Somalia kisa watalii wasiozid 20 je jiulize vifo vya watu 260 na mateka juu na bado wanaendeleza mashambuliz , je ulitaka israeñ wafanyaje?

Nkurudishe kwenye historia , kuanzia miaka 1861 waisrael walianza kurudi hapo na hawakuchangamana na wapalestina bali walienda maeneo ya chini kabisa na kununua maeneo kisha wakawa wanalima na baadae kujenga viwanda kufikia mwaka 1948 mkoloni wa hilo eneo alipotangaza uhuru basi waisrael wakajitangazia uhuru kwa maeneo waliyokwepo na sio maeneo ya wapalestina na hayo maeneo yapo maandiko/vitabu vingi vya wafasiri waliowai pita hapo wanasema hawakukuta mtu yalikuwa mapori yenye magofu tu na makaburi ya kale ya waisrael , hivyo baada ya waisrael kujitangazia uhuru kwenye kiardhi kidogo sana ukilinganisha na lile la wapalestina , waisrael wakaanza pata wageni ktk yale maeneo ambao walikuwa wanadai pale ni kwao na waisrael hawaba haki ya kuwepo pale , wkt huu wapalestina walikuwa na eneo krb robo tatu ya ardhi yote iliyoachiwa huru na uingereza na israel alikuwa na karobo tu ambacho kalikuwa mabonden , basi wapalestina wakasahau kuapambaba kujenga nchi na wakaja na agenda ya kuwatoa waisrael hapo ili wabakie wao kwenye eneo lote ( UBINAFSI HUU , Mbona South Africa hakutaka wameza Lesotho na Swaziland ? Mbona sisi waafrika hatukutaka kuwafukuza waarabu wa afrika kaskazini sababu waliua mababu zetu na kukamata yale maeneo ya kaskazin ).

Mwaka 1948 Waarabu na wapalestina wakaivamia Israel ila kibaya wakapigwa na ili Israel awepo salama ilimbidi apore maeneo ya majiran walioshiriki kumvamia maana israel ilikuwa mabonden so ilikuwa nyepes wao kupigwa au kupoteza vita incase wakivamiwa ghafla , Hali hii waarabu wamekuwa wanaifanya kwa waisrael mara kwa mara na badala ya kuleta matumaini kwa wapalestina , ndo wapalestina wamekuwa wanapoteza maeneo zaid , Je hapa wakulaumiwa nan ?

Shida kuu ya Israel ni amani nchi zote za kiarabu na kwa wapelestina walishapewa option 2 , moja ni kuunda taifa moja ila wapalestina walikataa , na la pili ni kila mtu awe na taifa lake lkn Wapalestina waitambue Israel kama taifa huru na hii pia wapelestina walikataa.

Malengo makuu ya wapalestina ni kuwaondoa waisrael hapo na sio kuish nao kwa amani , mtu wa karne ya 21 unapata ujasiri wap wa kusapoti watu wa namna hii ? hawa ni wabaguzi , tukianza kuwa na akili hz basi watu wengi itabidi waondolew katika maeneo mengi sana dunian .

Kibaya zaidi waaabu au wapalestina au washirika wengine ndo wamekuwa wanaanza ivamia israel , hivyo mara zote Israel amekuwa analazimishwa kuingia vitan akiwa hajajipanga na ili kumtisha mvamizi lzm apige mapigo mazito ili iwe hofu kwa mvamiz na tulivyo na akili za kulala tunahukumu tu anaejibu ila hatuoni huyu ambaye yupo duniani na ajui nini anatakiwa afanye , miaka 75 sasa wapalestina hawana hata fikra za kuunda nchi yao badala yake wamekuwa watumwa wa waarab na waajemi kwenye vita dhidi ya israel , je kama ni wewe ungewafanyaj majiran wa hv ?
Maelezo Marefu ukidhani unachozungumza ni fact maskini ya mungu kumbe ni ujinga tuh.

Kabla ya 1948 WAISRAEL hawa unaowasema hawakuwapo hapo,walikuwa wamesambaa Maeneo mbali mbali ulaya na mataifa mengine.

Baada ya holocaust na Hitler alivyotaka kuangamiza Hiko kizazi choote na baada ya second world war kwisha Germany ya Hitler kuanguka ndipo hao watu wakabid watafutiwe maeneo ya kukaa,uingereza ikitaka kuwaleta katika koloni lake la Uganda huo mpango ukagonga ukuta,ikaja wazo la kuwapeleka katika koloni lake la Palestine ili Taifa lao Lianzishwe huko na wapelestine wakaridhia hao jamaa kuishi hapo, Israel wamesahau holocaust TAYARI na wanaona wana jeur ya kufanya Hiko wanachokifanya now.

Hiyo history yako umesomea wapi wewe,teh teh teh
 
Hili jambo liko wazi. Kuna washabiki wanaoshangalia bila kutojua na kuna wanaoshangilia kwa chuki na kuna kuna wanashangilia kwa kufuata mkuombo. Kama ilivyo kwa mambo mengine yanayotokea duniani, watanzania wanavyoyachukulia kwa ushabiki, hili nalo kila mtu amechagua upande. Ila ukweli ni kuwa mauaji ya bianadamu wasiyo na hatia siyo jambo la kushangilia, iwe kwa waisrael au kwa wapalestina. Suluhisho la mgogoro lishawekwa i.e. two states.
 
IDF siyo wajinga kushambulia hospital, Hamas ndiyo walioganya huo mchezo, a blame game

Sasa unabishana na Mimi au na facts za dunia,huo ukweli mbona uko wazi??

Mapenzi yenu Kwa Israel Kwa kweli hayana kifani,hadi mnashangilia hata wakiua wakristo wenzenu??teh teh teh,mnasema sawa ua tuh ww Israel ni Taifa Teule la Mungu..!!
 
Arab league haiwez fanya chochote Kwa sababu ya maslahi ya kiuchumi...

Mind that serikali ya marekani Jews Wana Influence kubwa sana, that's why unaona support kubwa Israel anaipata kutoka Kwa USA na nchi za ulaya.

Ila ukweli dunia inaufahamu.
mnavamia hlf mnataka watu waache shughuli zao waje wasikilize upuuz wenu
 
Ndio maana nikasema acheni kuwachokonoa wale watu, maana wanapojibu mashambulizi yenu wanapiga bila kuchagua mnasababisha na watu wa madhehebu mengine waliopo katikati yenu wanaumia, mjifunze kukaa kwa amani na madhehebu yote acheni kulazimisha ugomvi kwa kila dhehebu.

sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.

Muslims conflicts
Fight with hindus
Fight with Jews
Fight with Christians
Fight among themselves - shias and baha
Figjt with buddhists
Fights with atheists ( all over the world)


Fight fight everywhere

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
uislam ni ugaid hata anaeamin uislam hajui swala usawa , haki na ukwel
 
kwan nan alianza kumvamia mwenzie? mbona ujinga wa hali ya juu
Ndugu yangu unasikitisha sana,na hakika Mimi naona huruma sana hata kujadili hili na ww,kwani Nia yako ninaiona kbs,lkn bahati mbaya unachowaza ni tofaut...

Baina ya Israel na Palestine,mvamizi hapo ni Israel,Sasa mvamiwa akijilinda Kwa matendo ya mvamizi iweje wewe umuite mvamiwa ni Gaidi?

Ukitaka afanye nini.
 
Uvamiz wa HAMAS?

Hamas imeundwa 1987,IDF ipo hapo miaka na miaka inamwaga damu na kufanya illegal occupation of Land ya wapelestine, Sasa nani hapo kavamia?

Yani mtu anaejilinda kutokana na vitendo vya kuuliwa unamuita mvamizi na Gaidi?
mnapokonywa maeneo bila sababu ? mbona mnakuwa wanafiki
 
Waksaema , msulubishee, msulubishee, wakamwambia Pilato tufungulie baraba badala yake , wakaendelea kusema "Na damu yake iwe juu yetu na vzazi vyetu"..
Unabariki watu waliojiapiza kwa damu ya Yesu laana iwe nao na vizazi vyao?
basi kaangalie muvi ya yesu ujifunze , kusema sio kuua , aliemuua alikuwa anamuwinda tangu awali na pale hawakwepo wayaudi wote kusema wayaudi ndo walimuua yesu , warumi ndio walimuua yesu
 
uislam ni ugaid hata anaeamin uislam hajui swala usawa , haki na ukwel

Well uislam ni Ugaidi,so unataka kusema kitu Gani?

Hiyo Imani ambayo ww unaamini siyo Ugaidi ni ipi ambayo inakusukuma useme Israel Iko sahihi iwaue tuh hao wapelestine ambao pia humo ndani wapo wakristo wenzako?

Wewe Ruksa tuh sema chochote uislam Ugaidi,uislam ushoga, uislam vurugu say whatever,ila hiyo Imani inayosema Israel ni Taifa la Mungu na lenye Haki ya kuua wapelestine ni Imani Gani?
 
Shida upande wenu ni wakipumbavu ndo maana watu wenye akili wakaa kimya. Kiongozi wa kidini wa iran anasema waislam wote waungane na palestina badala ya kusema Dunia iungane na palestina, hamas nao wanasema waislam waungane kupigana na Israel
dini ya uislam ina mapunguf meng sn na wahuni wanapita humo humo , wakitaka kustukiwa wanasema marekan ndo fadhiri ila ss hv wanasapoti haya makundi
 
Huo ndo ujinga wenyewe tunaousema Sasa,Kwa watu wenye akili Zao timamu wakisoma wanaona kabisa unaonekana chizi, mgogoro huo ni WA ardhi au wa dini?

Wapi WAISRAEL wamekuambia wanapigana na uislam ?Umekazana kuqoute hivyo vifungu vyako ukiamini kuwa unaweza justify unachokizungumza,hizo siyo Aya za. Quran,na fabrications tuh na zipo kibao mtandaoni hata ukigoogle unaziona na kucopy na kupaste,Tena siyo hizo tuh,zipo hadi ambazo zinauhusisha uislam na mambo mengine meengi ya hovyo watu wanatengeneza,Sasa wewe kuzichukua hizo na kuziweka hapa ni kuzidi kuonesha ujinga wako tuh Kwa watu wanaotambua.

Andika kwamba Qur an verse flan,sura flan unasema hivi na hivi na hivi ili tuone unaelewa kweli Hiko unachokisema,ila ukifanya HIVYO maana yake ni kudhihirisha ujinga wako tuh
ww ndo umeanzisha story za kidini , kubali ukwel , dini yenu na ufreemason ni sawa tu , mnaona raha mkichinja au kuua mtu
 
km hamas walikuwa ndan yake bas ni sahihi kulilipua

Kwani Taarifa huangaliii,au upo kijijin kias kwamba hauna hata TV?

Kama Hamas waliokuwapo hapo hospital baada ya kulipuwa mbona hawakupatikana Sasa wafu wa hao Hamas?au hata majeruhi? badala yake tunaona civilians tuuh,hivi una umri na elimu Gani?shida JF siku hizi haieleweki,usikute tunadeal na darasa la Saba failure hapa...
 
Sasa Kuna shida gan Kwa mfano akisema waislam woote waungane na wapelestine??

Mind that katika wapelestine Kuna wakristo pia? ameonesha ubaguz hapo?

Mimi nilidhan ungechukia kama angesema waislam wote waungane na wapelestine wakristo,hivi tatizo nini hasa
kwan ni mgogoro wa kidini huo ? si umeuliza swali hili hapo juu na ss hv huon shida ya hiyo kauli ya kiongoz wa iran , tukiwaita wapumbav mnalalama
 
Nakupa maua yako.Katika comment bora bac na hii ni miongoni.Kwanza hakuna Mkristo mwenye kushabikia vita hata kama wamechokozwa.Mkristo wa kweli anapambana kwa kutii sio kurusha ngumi.Akupigaye shavu la kushoto mgeuzie na la kuume.Sasa wanaoshabikia mpalestina kuuawa na Israel eti kisa Israel kachokozwa huyo ni Mkristo wa kujiita.
umeambiwa israel taifa la kidini ? km huez jitetea uhai wako basi usimtegemee mungu maana ww ni mzigio umepewa kila kitu kujilinda
 
ww ndo umeanzisha story za kidini , kubali ukwel , dini yenu na ufreemason ni sawa tu , mnaona raha mkichinja au kuua mtu
Ona Sasa, mwisho wake utakuja kusema uislam unafungisha NDOA za mashoga Sasa,una umri Gani?

Uislam na ufreemason Tena?teh teh teh...

Kwanza uislam unaingia vipi katika hili,tuambie katika mgogoro huu uislam unaingia Kwa lipi?sema japo jambo Moja tuh.
 
Sasa ukitaka afanye nini? mufti anaweza Simama Na kutamka kuwa wakristo na waislam wote muungane na wapelestine?si yataanza maneno Tena kwamba why atusemee sisi na hali ya kuwa sisi tuna kiongoz wetu tunaemsikiliza na kumtii?
kwann utaje dini , kwan ni mgogoro wa kidini huo?
 
umeambiwa israel taifa la kidini ? km huez jitetea uhai wako basi usimtegemee mungu maana ww ni mzigio umepewa kila kitu kujilinda
SI mnasema ni Taifa Teule la Mungu,umebadili Sasa?teh teh
 
Mbona tunajua wanaouawa si wapalestina pekee? Tatizo lenu nyie kina BIG SHOW mnashabikia sana uislam. Isingekuwa hamshabikii uislam hoja zenu zingeeleweka. Hakuna namna acheni watandikwe tu pamoja na magaidi, sasa kama magaidi yenyewe yanajifichia kwao utafanyaje kama si kuwalipua wote ili kukomesha magaidi?
 
Back
Top Bottom