Ni ujinga tu kushangilia mauaji ya Wapalestina kwa kudhani wanaouliwa ni Waislam

Ni ujinga tu kushangilia mauaji ya Wapalestina kwa kudhani wanaouliwa ni Waislam

Kuongea HIVYO ni makosa makubwa sana,Hilo vugu vugu kutulia haikuwa na maana kwamba Hamas waliweka Silaha chini la hasha,kumbuka IDF imekuwa inaendelea na shughuli za illegal occupation kila mara Kwa kustukiza na taarifa zilikuwa zinaripotiwa mara Kwa mara sema mmeamua kuchagua upande wa kushabikia.

Unashangaza kulaani Hamas na kuwaita magaidi huku IDF mkiwaacha na kusema walinda amani wa Israel ni makosa makubwa sana.

Hamas siyo magaidi Kwa kuwa ni taasisi kamili ambayo Ina uwakilishi ndani ya serikali na Ina wabunge wake na utawala wake,unaowaita wewe magaidi ni freedom fighters Kwa wenzako tambua hilo
Hatujachagua upande wa kushabikia dhidi ya upande mwingine. Ni dhana yako labda kwa kuona watu wanahoji walichotangulia kukifanya Hamas dhidi ya Israel.

Ni hivi. Mambo ya uhamiaji yamekuepo kwa mataifa yote. Jamii dhidi ya jamii. Mfano kuna makaburu karibuni Million 5 huko S. Africa ambao walihamia pale karne nyingi zilizopita. Je leo uwafukuze warudi wapi ?!. Ikiwa walikotoka babu zao hata kumbukumbu zao hazipo. Na hiki cha sasa ni kizazi kilichozaliwa Africa kusini. Utawapereka wapi ?!. The same na waarabu walioko Zanzibar na hata bara je kuna nafasi zao huko Oman tena leo hii ?!. Wahindi waliozagaa Tanganyika na visiwani je wanazo nafasi za kuwarudisha India leo hii ?!. Je makabila yetu ya mipakani, iliyoingiliana na watu wa mataifa jirani. Je leo tuwakatae kwa sababu zozote zile ?!. Tutakuwa taifa la namna gani ?

Mwl kwa hekima alisema wote waliokutwa na uhuru hapa, ni waTanganyika (Tanzania). Hiyo iliondoa pressure za uhasama, dhidi ya jamii za wachache.

Kuhusu mambo ya itikadi ukabila, imani za dini tofauti tofauti. Ni kukubali kuishi pamoja kwa kuvumiliana. The same leo Tanzania tunazo itikadi tofauti, imani tofauti, mila tofauti na hata asili tofauti. Lakini tunavumiliana na kila moja anafuata hamsini zake. Hicho kitu ndicho kinachotakiwa ktk eneo lile la wayahudi na Wafilisti. Kukubali kukaa pamoja kwa kuvumilana. Lakini ukimtafuta wa kumhamisha leo unaleta vita visivyoisha. Ndiyo hiyo utaona na watoto wanauliwa. Kwani vita havina macho.
 
Nyie dawa yenu ni CHINA tu mnatengenezewa Kambi ya kamera juu na hakuna chombo Cha habari Cha china kuripoti habari sababu wanajua kwa population ya china mkifanya vurugu kudhibiti itakuwa ngumu
Hawafai kuwepo duniani
 
Friends and Enemies,

Al Ahl Baptist church ni hospital ya kanisa ambayo imeanza operation Gaza tokea mwaka 1882,Hospital hiyo imeanzishwa na Church Mission Society Of England kipindi Hiko inatawala Gaza ,baada ya ukoloni 1954 hadi 1982 na kuendelea hospital hiyo imekuwa inaendeshwa na Episcopal church in Jerusalem ikitoa huduma za tiba Kwa wapelestine wakristo,waislam na wengine wengi waishio maeneo Hayo.

Hakuna justification ya aina yoyote katika kuua watu wasio na hatia bila kujali kuwa watu hao ni either WAPALESTINA au WAISRAEL au RACE ya aina yoyote ile,it's just plain and Crystal Clear that it's wrong.

Recently tumeona IDF wakishambulia hospital hiyo huko Gaza na muda mfupi baadae kukana kutohusika na shambulio Hilo ili Hali kila ushahidi unaonekana kuwa ni wao na Sasa wanajutia.

I will never understand this society,soma comments mitandaoni humu,even hapa JF na kwingine watu wanashangilia na kusema Israel ni Taifa la Mungu,hao wapelestine wameanzisha ugomvi wasiouweza so wauwawe tuh hao waislam.

Ndiyo kusema kwamba watu wanadhani kuwa wapelestine ni waislam? thinking that hakuna wakristo na watu wengine ambao wanauawa katika mgogoro huo?

HAMAS imechagua military strategy kama vile ambavyo IDF imechagua Military strategy katika occupation of Land,tukichagua kukemea umwagaji wa damu katika mgogoro huo basi tukemee Hilo on both sides,na kama wazo la two states solution ndiyo litaonekana kuwa ndiyo muaraboini basi jumuiya ya kimataifa Ingepaswa kuweka mkazo katika Hilo.

Damu ya kila mwanadamu Ina thamani haijalishi Imani yake, rangi yake wala asili yake.
Ni upumbavu tu kuwakumbatia dp world kisa tu ni waarabu na upumbavu mwingine ni kuwaonea huruma waperestina huku kule [emoji1255] ukibariki uvamizi wa putin.
 
Friends and Enemies,

Al Ahl Baptist church ni hospital ya kanisa ambayo imeanza operation Gaza tokea mwaka 1882,Hospital hiyo imeanzishwa na Church Mission Society Of England kipindi Hiko inatawala Gaza ,baada ya ukoloni 1954 hadi 1982 na kuendelea hospital hiyo imekuwa inaendeshwa na Episcopal church in Jerusalem ikitoa huduma za tiba Kwa wapelestine wakristo,waislam na wengine wengi waishio maeneo Hayo.

Hakuna justification ya aina yoyote katika kuua watu wasio na hatia bila kujali kuwa watu hao ni either WAPALESTINA au WAISRAEL au RACE ya aina yoyote ile,it's just plain and Crystal Clear that it's wrong.

Recently tumeona IDF wakishambulia hospital hiyo huko Gaza na muda mfupi baadae kukana kutohusika na shambulio Hilo ili Hali kila ushahidi unaonekana kuwa ni wao na Sasa wanajutia.

I will never understand this society,soma comments mitandaoni humu,even hapa JF na kwingine watu wanashangilia na kusema Israel ni Taifa la Mungu,hao wapelestine wameanzisha ugomvi wasiouweza so wauwawe tuh hao waislam.

Ndiyo kusema kwamba watu wanadhani kuwa wapelestine ni waislam? thinking that hakuna wakristo na watu wengine ambao wanauawa katika mgogoro huo?

HAMAS imechagua military strategy kama vile ambavyo IDF imechagua Military strategy katika occupation of Land,tukichagua kukemea umwagaji wa damu katika mgogoro huo basi tukemee Hilo on both sides,na kama wazo la two states solution ndiyo litaonekana kuwa ndiyo muaraboini basi jumuiya ya kimataifa Ingepaswa kuweka mkazo katika Hilo.

Damu ya kila mwanadamu Ina thamani haijalishi Imani yake, rangi yake wala asili yake.
Na Kwa nini ufurahie mtu kuuwawa tena asiye na hatia?
 
ni sadism tu, suffering is suffering, mimi siyo fun wa Uislamu kwa sababu zangu binafsi lkn niko na wapelestina kwa sababu ni binadamu kama binadamu wengine na israeli anachofanya ni crime against mankind, hakuna binadamu aliyesafa na kuumizwa kama mwafrika hivyo tunapaswa kukemea kinachoendelea dhidi ya defenceless people Palestina.

Down with Israel!

Punguza unafiki, ungeanza na Hamas. Mbona umewaruka?. Wao ndio wasababishi
 
Ni upumbavu tu kuwakumbatia dp world kisa tu ni waarabu na upumbavu mwingine ni kuwaonea huruma waperestina huku kule [emoji1255] ukibariki uvamizi wa putin.
Wewe mkiristo unafurahia waislamu kuuliwa. Lkn jua vita hivi mwisho ushindi upo kwa waislamu
Waislamu wanauliwa na waislamu wenzao huko somalia, Nigeria, Sudan, Pakistan,alshababu,bokoharamu mbona hamlalamiki kwanini Israel tu?

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Punguza unafiki, ungeanza na Hamas. Mbona umewaruka?. Wao ndio wasababishi
Chanzo cha mzozo huu sio uvamizi wa Hamas tu, ila ule uvamizi ni mwendelezo tuu wa huu mzozo wa miaka mingi.
Kwa hiyo unawatetea magaidi wa Hamas walichokifanya kuwaua wayahudi kwenye sherehe,kuwachoma moto watoto wadogo na kuwateka ni sahihi

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Huo sio mgogoro wa kidini bali ni;
1. Mgogoro wa raslimali kama ardhi, gesi, mafuta nk.
2. Uzalendo utaifa na kupenda sana nchi yako
3. Wakubwa wana maslahi hapo ndo maana huwa hauishagi

Kipi kifanyike? Acha israel na palestina ziungane iwe nchi moja
Jambo la kuungana Israel haiwez kukubali cos Wapalestina ni wengi hivo wanahofia watapoteza identint yao.
 
Ni ujinga kushangiliana mauaji yeyote yale period.
 
Punguza unafiki, ungeanza na Hamas. Mbona umewaruka?. Wao ndio wasababishi
Punguza unafiki, ungeanza na Hamas. Mbona umewaruka?. Wao ndio wasababishi

i dont have a dog in this fight, mimi najali maisha ya watu innocent hasa wanawake na watoto, wewe kama mwafrika na mtu mweusi you should know better about prejudice and discrimination …
 
Hawatakua radhi mayahudi na manaswara hadi ufate Mila zao
Muhammad (ﷺ) alisema:Wailsamu watapigana na Wayahudi na watawaua mpaka hata jiwe litasema: Njoo hapa, Muislamu, kuna Myahudi (anayejificha nyuma yangu); muue. Sahih Muslim 2921 a
 
Muhammad (ﷺ) alisema:Wailsamu watapigana na Wayahudi na watawaua mpaka hata jiwe litasema: Njoo hapa, Muislamu, kuna Myahudi (anayejificha nyuma yangu); muue. Sahih Muslim 2921 a
Wewe myahudi?
 
Friends and Enemies,

Al Ahl Baptist church ni hospital ya kanisa ambayo imeanza operation Gaza tokea mwaka 1882,Hospital hiyo imeanzishwa na Church Mission Society Of England kipindi Hiko inatawala Gaza ,baada ya ukoloni 1954 hadi 1982 na kuendelea hospital hiyo imekuwa inaendeshwa na Episcopal church in Jerusalem ikitoa huduma za tiba Kwa wapelestine wakristo,waislam na wengine wengi waishio maeneo Hayo.

Hakuna justification ya aina yoyote katika kuua watu wasio na hatia bila kujali kuwa watu hao ni either WAPALESTINA au WAISRAEL au RACE ya aina yoyote ile,it's just plain and Crystal Clear that it's wrong.

Recently tumeona IDF wakishambulia hospital hiyo huko Gaza na muda mfupi baadae kukana kutohusika na shambulio Hilo ili Hali kila ushahidi unaonekana kuwa ni wao na Sasa wanajutia.

I will never understand this society,soma comments mitandaoni humu,even hapa JF na kwingine watu wanashangilia na kusema Israel ni Taifa la Mungu,hao wapelestine wameanzisha ugomvi wasiouweza so wauwawe tuh hao waislam.

Ndiyo kusema kwamba watu wanadhani kuwa wapelestine ni waislam? thinking that hakuna wakristo na watu wengine ambao wanauawa katika mgogoro huo?

HAMAS imechagua military strategy kama vile ambavyo IDF imechagua Military strategy katika occupation of Land,tukichagua kukemea umwagaji wa damu katika mgogoro huo basi tukemee Hilo on both sides,na kama wazo la two states solution ndiyo litaonekana kuwa ndiyo muaraboini basi jumuiya ya kimataifa Ingepaswa kuweka mkazo katika Hilo.

Damu ya kila mwanadamu Ina thamani haijalishi Imani yake, rangi yake wala asili yake.
Ni ujinga kujihusisha sana na masuala ya Waarabu na kupuuza manyanyaso ya Wamaasai wa Loliondo & Ngorongoro.

Ni upuuzi wa kiwango cha kutisha kufikiri mauji ya raia wa Congo ambao ni waafrika wenzetu na kukurupukia,kushabikia,kuhemka masula ya wapalestina kisa Sheikh kawaaminisha ni ndugu zenu kuliko wakenya,wamalawi ..........
 
Back
Top Bottom