Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji112][emoji112][emoji112][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mayalla alijaribu kuuliza swali gumu kwa mhimili unaojitegemea, akaambiwa maana ya jina lake ni njaa , mhimili ulimtabiria njaa[emoji205]
Kawahoji wewe basi. Enzi za Hayati hukusrma haya na hawa ndio waliokuwa waandishi wa habari na watawala na viongozi walikuwa hawa hawaAlisema[ga] Le Mutuz, viongozi wetu ni akisi yetu sisi wenyewe wananchi.
Nchi hii ina changamoto kibao. Ina viongozi waongo. Tena waongo wasio hata na haya
Mpaka ofisi zake upanda akafunga. Baada ya pale akaitwa kuhojiwa na Job wa NazalethiMayalla alijaribu kuuliza swali gumu kwa mhimili unaojitegemea, akaambiwa maana ya jina lake ni njaa , mhimili ulimtabiria njaa🐒
Thibitisha enzi za huyo unayemuita hayati sikusema?Kawahoji wewe basi. Enzi za Hayati hukusrma haya na hawa ndio waliokuwa waandishi wa habari na watawala na viongozi walikuwa hawa hawa
Kimeumana.
Sasa hayo magumu yakiulizwa yatawafaidia nini?Ama wanaogopa kuuliza au nao hawana uwezo wa kuuliza hayo maswali magumu au yawezekana ikawa ni hivyo vyote viwili: yaani waoga na hawana uwezo.
“yatawafaidia” ndo nini?Sasa hayo magumu yakiulizwa yatawafaidia nini?
Kwa mara nyingine tena, Rais wetu huyu Chifu Hangaya amefanya mahojiano na chombo cha habari.
Nimeangalia vipande vipande kadhaa vya mahojiano hayo na sijaona swali lolote lile lililo gumu aliloulizwa huyu chifu wetu.
Anaulizwa vi softballs tu. Naye anatoa majibu mepesi mepesi tu. Sijui mara anaingia mitandaoni, mara anacheza na wajukuu, mara sijui kusikiliza Taarab, yaani mambo mepesi mepesi tu.
Alisema[ga] Le Mutuz, viongozi wetu ni akisi yetu sisi wenyewe wananchi.
Nchi hii ina changamoto kibao. Ina viongozi waongo. Tena waongo wasio hata na haya.
Waandishi wa habari wanapata fursa ya kumhoji Rais aliyeshiriki kudanganya, hawamuulizi kwa nini yeye na wenzake huwa wanatudanganya.
Ni kwenye vijamhuri vya midizi tu kama Tanzania ambako viongozi waandamizi wa kiserikali chao wanawadanganya watu wao kuwa Rais wao ni mzima ilhali si mzima. Ni mgonjwa mahututi au ni marehemu tayari.
Halafu hakuna anayejali [ukinitoa mimi] kuwa kuwa amedanganywa na hakuna anayejali kuona kuwa kunakuwepo na uwajibikaji.
Kwa mara nyingine tena, Rais wetu huyu Chifu Hangaya amefanya mahojiano na chombo cha habari.
Nimeangalia vipande vipande kadhaa vya mahojiano hayo na sijaona swali lolote lile lililo gumu aliloulizwa huyu chifu wetu.
Anaulizwa vi softballs tu. Naye anatoa majibu mepesi mepesi tu. Sijui mara anaingia mitandaoni, mara anacheza na wajukuu, mara sijui kusikiliza Taarab, yaani mambo mepesi mepesi tu.
Alisema[ga] Le Mutuz, viongozi wetu ni akisi yetu sisi wenyewe wananchi.
Nchi hii ina changamoto kibao. Ina viongozi waongo. Tena waongo wasio hata na haya.
Waandishi wa habari wanapata fursa ya kumhoji Rais aliyeshiriki kudanganya, hawamuulizi kwa nini yeye na wenzake huwa wanatudanganya.
Ni kwenye vijamhuri vya midizi tu kama Tanzania ambako viongozi waandamizi wa kiserikali chao wanawadanganya watu wao kuwa Rais wao ni mzima ilhali si mzima. Ni mgonjwa mahututi au ni marehemu tayari.
Halafu hakuna anayejali [ukinitoa mimi] kuwa kuwa amedanganywa na hakuna anayejali kuona kuwa kunakuwepo na uwajibikaji.
Basi kwa mtaji huo Hangaya hawezi fanya mahojiano na vyombo vya habari vya kimataifa.Hizi ishu hua zinakua scripted hizi
Kwa mara nyingine tena, Rais wetu huyu Chifu Hangaya amefanya mahojiano na chombo cha habari.
Nimeangalia vipande vipande kadhaa vya mahojiano hayo na sijaona swali lolote lile lililo gumu aliloulizwa huyu chifu wetu.
Anaulizwa vi softballs tu. Naye anatoa majibu mepesi mepesi tu. Sijui mara anaingia mitandaoni, mara anacheza na wajukuu, mara sijui kusikiliza Taarab, yaani mambo mepesi mepesi tu.
Alisema[ga] Le Mutuz, viongozi wetu ni akisi yetu sisi wenyewe wananchi.
Nchi hii ina changamoto kibao. Ina viongozi waongo. Tena waongo wasio hata na haya.
Waandishi wa habari wanapata fursa ya kumhoji Rais aliyeshiriki kudanganya, hawamuulizi kwa nini yeye na wenzake huwa wanatudanganya.
Ni kwenye vijamhuri vya midizi tu kama Tanzania ambako viongozi waandamizi wa kiserikali chao wanawadanganya watu wao kuwa Rais wao ni mzima ilhali si mzima. Ni mgonjwa mahututi au ni marehemu tayari.
Halafu hakuna anayejali [ukinitoa mimi] kuwa kuwa amedanganywa na hakuna anayejali kuona kuwa kunakuwepo na uwajibikaji.
Ndo banana republic hizo.Kwan mtangulizi alikua hata anahojiwa sasa kwa aman? Mwandishi ni lazima aulize maswali anayopemda yeye na c vingine! Hakutaka kuwapa uhuru waandishi mpaka wakaonywa.. wasidhani wana uhuru.. not to that extent 🤣🤣🤣!! Ndio tawala zetu za kiafrika.
Kwa mara nyingine tena, Rais wetu huyu Chifu Hangaya amefanya mahojiano na chombo cha habari.
Nimeangalia vipande vipande kadhaa vya mahojiano hayo na sijaona swali lolote lile lililo gumu aliloulizwa huyu chifu wetu.
Anaulizwa vi softballs tu. Naye anatoa majibu mepesi mepesi tu. Sijui mara anaingia mitandaoni, mara anacheza na wajukuu, mara sijui kusikiliza Taarab, yaani mambo mepesi mepesi tu.
Alisema[ga] Le Mutuz, viongozi wetu ni akisi yetu sisi wenyewe wananchi.
Nchi hii ina changamoto kibao. Ina viongozi waongo. Tena waongo wasio hata na haya.
Waandishi wa habari wanapata fursa ya kumhoji Rais aliyeshiriki kudanganya, hawamuulizi kwa nini yeye na wenzake huwa wanatudanganya.
Ni kwenye vijamhuri vya midizi tu kama Tanzania ambako viongozi waandamizi wa kiserikali chao wanawadanganya watu wao kuwa Rais wao ni mzima ilhali si mzima. Ni mgonjwa mahututi au ni marehemu tayari.
Halafu hakuna anayejali [ukinitoa mimi] kuwa kuwa amedanganywa na hakuna anayejali kuona kuwa kunakuwepo na uwajibikaji.