Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
- #81
Debates Marekani mbona zimeanza siku nyingi tu.Mkuu wakati Nyerere anataka Dodoma iwe mji mkuu, imechukua muda mrefu sana mpaka kaingia Mkapa ndipo shughuli nyingi zikahamia Idodomya na karimjee ikawa basi tena.
Nyerere alitaka kujenga bwala la umeme, mpaka anaondoka hapakuwa hata na dalili, leo hii linajengwa na tunasubiri crane toka ughaibuni kuja kuziba magati ya maji.
Nyerere alitamani kujenga daraja kati ya kagamboni na kivukoni, JK akaja akawa sehemu ya ndoto hiyo.
JPM kwa kukoswakoswa kuzama kwa mtumbwi kigongo busisi akiwa na pikipiki yake aina ya Honda, years later kawa mkulu ameacha ujenzi wa darala la kigongo busisi ili kurahisisha usafiri.
Yote hayo yamechukua muda ila yamefanyika.
Inawezekana kuna siku mwanao akaja kuwa mtu mwenye ushawishi nchi hii na kukawa na freedom of media to the extent ya kumweka "Mhe. Rais wa nchi Kitimoto".
Nihitimishe kwa kusema US ilipata uhuru 1776, Presidential debate ya kwanza ilikuwa 1960 kati ya alikuwa Senator John F. Kennedy na aliekuwa VP Richard Nixon.
Ipo siku, kama sio mie, kuna atakae kuamsha. Kama sio dunia hii basi ile ijayo.
F
Lincoln - Douglas debates zimefanyika mwaka 1858.
Unaijua significance ya hizo debates?
1858 ni miaka 102 kabla ya 1960….