Ni uoga au ni uwezo duni wa waandishi wetu wa habari?

Ni uoga au ni uwezo duni wa waandishi wetu wa habari?

Kwa mara nyingine tena, Rais wetu huyu Chifu Hangaya amefanya mahojiano na chombo cha habari.

Nimeangalia vipande vipande kadhaa vya mahojiano hayo na sijaona swali lolote lile lililo gumu aliloulizwa huyu chifu wetu.

Anaulizwa vi softballs tu. Naye anatoa majibu mepesi mepesi tu. Sijui mara anaingia mitandaoni, mara anacheza na wajukuu, mara sijui kusikiliza Taarab, yaani mambo mepesi mepesi tu.

Alisema[ga] Le Mutuz, viongozi wetu ni akisi yetu sisi wenyewe wananchi.

Nchi hii ina changamoto kibao. Ina viongozi waongo. Tena waongo wasio hata na haya.

Waandishi wa habari wanapata fursa ya kumhoji Rais aliyeshiriki kudanganya, hawamuulizi kwa nini yeye na wenzake huwa wanatudanganya.

Ni kwenye vijamhuri vya midizi tu kama Tanzania ambako viongozi waandamizi wa kiserikali chao wanawadanganya watu wao kuwa Rais wao ni mzima ilhali si mzima. Ni mgonjwa mahututi au ni marehemu tayari.

Halafu hakuna anayejali [ukinitoa mimi] kuwa kuwa amedanganywa na hakuna anayejali kuona kuwa kunakuwepo na uwajibikaji.


Hivi nchi hii yenye wasomi wazuri wabobevu inakuwaje tunaongozwa na watu wenye iq ya chini sana? Tatizo ni unafiki wetu kusifia na kuwapa sifa viongozi wabovu sifa wasizokuwa nazo
 
Kwa mara nyingine tena, Rais wetu huyu Chifu Hangaya amefanya mahojiano na chombo cha habari.

Nimeangalia vipande vipande kadhaa vya mahojiano hayo na sijaona swali lolote lile lililo gumu aliloulizwa huyu chifu wetu.

Anaulizwa vi softballs tu. Naye anatoa majibu mepesi mepesi tu. Sijui mara anaingia mitandaoni, mara anacheza na wajukuu, mara sijui kusikiliza Taarab, yaani mambo mepesi mepesi tu.

Alisema[ga] Le Mutuz, viongozi wetu ni akisi yetu sisi wenyewe wananchi.

Nchi hii ina changamoto kibao. Ina viongozi waongo. Tena waongo wasio hata na haya.

Waandishi wa habari wanapata fursa ya kumhoji Rais aliyeshiriki kudanganya, hawamuulizi kwa nini yeye na wenzake huwa wanatudanganya.

Ni kwenye vijamhuri vya midizi tu kama Tanzania ambako viongozi waandamizi wa kiserikali chao wanawadanganya watu wao kuwa Rais wao ni mzima ilhali si mzima. Ni mgonjwa mahututi au ni marehemu tayari.

Halafu hakuna anayejali [ukinitoa mimi] kuwa kuwa amedanganywa na hakuna anayejali kuona kuwa kunakuwepo na uwajibikaji.


Kuna news za Aina mbili, hard news na soft news, na kwa interviews za viongozi, kuna public news na private news. Ile ilikuwa ni interview ya soft news ya birthday ya rais about private personal issue, hivyo waandishi wako very right kuuliza maswali soft soft and easy.
P
 
Nilipendezwa na andiko lako but ulipomquote let mutuz nimeishia hapo. Huyo unayemquote yeye ndio anakuwaga chawa sema Sasa hivi amekosa uchawa tu.

Pia Hana hadhi ya kufikia maneno yake yawe quoted sababu haishi na hajawahi kuishi Wala kuamini kwenye hayo maneno Kama aliwahi kutamka.
Sasa hivi Hana uchawa? Nenda IG msome tena, Sasa hivi ndio kawa pro max
 
Nilipendezwa na andiko lako but ulipomquote let mutuz nimeishia hapo. Huyo unayemquote yeye ndio anakuwaga chawa sema Sasa hivi amekosa uchawa tu.

Pia Hana hadhi ya kufikia maneno yake yawe quoted sababu haishi na hajawahi kuishi Wala kuamini kwenye hayo maneno Kama aliwahi kutamka.
Hata saa mbovu kuna nyakati huwa inakuwa iko sahihi. Uongo?
 
Kuna news za Aina mbili, hard news na soft news, na kwa interviews za viongozi, kuna public news na private news. Ile ilikuwa ni interview ya soft news ya birthday ya rais about private personal issue, hivyo waandishi wako very right kuuliza maswali soft soft and easy.
P
Public news ndo nini? Private news ndo nini?

Hard news ndo nini? Soft news ndo nini?

Wewe ulijifunzia wapi kuhusu hizo aina za habari?
 
Hivi nchi hii yenye wasomi wazuri wabobevu inakuwaje tunaongozwa na watu wenye iq ya chini sana? Tatizo ni unafiki wetu kusifia na kuwapa sifa viongozi wabovu sifa wasizokuwa nazo
Tanzania ina wasomi wazuri wabobevu?
 
Nyani Ngabu ni chawa wa Polepole, alienda ughaibuni akarudi na kiingereza wakati wenzie wamerudi na mitaji ya biashara, zile posho za Polepole zimekata, njaa inamuua
Nilipendezwa na andiko lako but ulipomquote let mutuz nimeishia hapo. Huyo unayemquote yeye ndio anakuwaga chawa sema Sasa hivi amekosa uchawa tu.

Pia Hana hadhi ya kufikia maneno yake yawe quoted sababu haishi na hajawahi kuishi Wala kuamini kwenye hayo maneno Kama aliwahi kutamka.
 
Walau bbc kkdoogo walimuhoji vijiswali vigumu mpaka akajkchanganya na Huyu si kumuhukumu mbowe kuwa ni gaidi hata kabla ya kesi kuisha!!
 
Basi kwa mtaji huo Hangaya hawezi fanya mahojiano na vyombo vya habari vya kimataifa.
Wewe una achievement gani binafsi kwa kukaa US baby miaka zaidi ya 20?

Ukirudi bongo unagombania Bolt na Uber hata kiCarina kibovu cha mamako unaona aibu kutembea nacho
 
Wewe una achievement gani binafsi kwa kukaa US baby miaka zaidi ya 20?

Ukirudi bongo unagombania Bolt na Uber hata kiCarina kibovu cha mamako unaona aibu kutembea nacho
Hadi sasa natafuta kosa la huyo jamaa Hadi ukaamua kumshambulia
 
Kwa mara nyingine tena, Rais wetu huyu Chifu Hangaya amefanya mahojiano na chombo cha habari.

Nimeangalia vipande vipande kadhaa vya mahojiano hayo na sijaona swali lolote lile lililo gumu aliloulizwa huyu chifu wetu.

Anaulizwa vi softballs tu. Naye anatoa majibu mepesi mepesi tu. Sijui mara anaingia mitandaoni, mara anacheza na wajukuu, mara sijui kusikiliza Taarab, yaani mambo mepesi mepesi tu.

Alisema[ga] Le Mutuz, viongozi wetu ni akisi yetu sisi wenyewe wananchi.

Nchi hii ina changamoto kibao. Ina viongozi waongo. Tena waongo wasio hata na haya.

Waandishi wa habari wanapata fursa ya kumhoji Rais aliyeshiriki kudanganya, hawamuulizi kwa nini yeye na wenzake huwa wanatudanganya.

Ni kwenye vijamhuri vya midizi tu kama Tanzania ambako viongozi waandamizi wa kiserikali chao wanawadanganya watu wao kuwa Rais wao ni mzima ilhali si mzima. Ni mgonjwa mahututi au ni marehemu tayari.

Halafu hakuna anayejali [ukinitoa mimi] kuwa kuwa amedanganywa na hakuna anayejali kuona kuwa kunakuwepo na uwajibikaji.


Kama Ayoub Rioba angekuwa yule aliekuwa anafanya vipindi kupitia ITV, bila shaka angekuwa na maswali yenye kutaka kujua Rais anawaza nini ana anatupeleka wapi.

Au kama ni Tido Mhando wa sasa Azam au Tido wa BBC sio Tido wa TBC, hapo napo tungeweza kuwa na maswali magumu kwa mepesi yanayowakilisha mahitaji na hisia za umma.
Au hata angekuwa Masoud Kipanya wa Clouds mmoja wa watangazaji wa Power Breakfast, napo tungepata kujua madam SSH anaposheherekea miaka 62 na takribani anaelekea kutimia mwaka mmoja akiwa CinC, tungekuwa na bonge ya session.

Ila waajiriwa wa serikali, magari yao STK/STJ/STL ambao uteuzi wa nafasi ya DG ni mamlaka ya kiserikali, kutakuwa na sense ya uwoga "kumbana" boss.

Ila kama kurugenzi ya mawasiliano ingekaa na madam ili kutengeneza sense ya kuandaa session ambayo legends kama Tido wanaweza kualikwa, bila shaka ingekuwa session nzuri zaidi ya hii ya leo.

JPM alijaribu mara moja pale IKULU kuwa na wanahabari wote, akawepo Tido; kuna swali zuri sana toka kwa Paskali Mayala kuhusu separation of power, majibu yalileta mjadala ila ujasiri wa Mayala kuuliza swali gumu na mhusika kujibu na mjadala ukaendelea, hiyo inakuwa bonge ya session.

Tutafika. Watu bado wanaogopa maisha ya kitaa kama nafasi zao wakipewa watu wengine.

Tido atabaki moja wa watangazaji mahiri ambae kuna wakati alipitia mawimbi makali, ila alisimama kulinda heshima ya kazi ambayo kaifanya kwa weledi na skills za hali ya juu akiwa BBC mpaka sasa.
 
Aniajiri mimi niwe mtu wake wa Propaganda..., hapo ningeweka maswali magumu yote yalivyo kwenye vichwa vya wananchi, nikachukua hio copy maswali nikampelekea mwezi mmoja kabla na kuleta magwiji wa kuyajibu hayo maswali..., ningemfanyia rehearsal, alafu nikatafuta presenter ambae ni favourable nikampa hayo maswali aulize....

Easy like taking Candy from a Baby....

Kwahio to kujibu swali lako uoga Yes, Uduni Absolutely ila furthermore viongozi hawana Political Tacticians...
 
Back
Top Bottom