FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,169
- 13,455
Joined 2021..Hadi sasa natafuta kosa la huyo jamaa Hadi ukaamua kumshambulia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Joined 2021..Hadi sasa natafuta kosa la huyo jamaa Hadi ukaamua kumshambulia
Nimejiunga jf kabla yako, amini hivyo Ila sijafikia hatua hii yako[emoji116]Joined 2021..
Mzee wa multiple ID.. Si unijibu au ujibu hayo maswali kwa ID yako hiyo hiyoNimejiunga jf kabla yako, amini hivyo Ila sijafikia hatua hii yako[emoji116]
Nyani Ngabu the JF Superstar
Wasalaam wanabodi.. Nimekuwa nikijiuliza hili swali mara kadha wa kadhaa, Hivi kuna ambaye hamfahamu Nyani Ngabu humu JF? Ni kwanini Nyani ni maarufu sana humu JF? Hili swali ningeomba Nyani wenyewe anijibu.. Lakini pia, hivi kuna mrembo yeyote humu JF ambaye hamfagilii Nyani na swagg zake za...www.jamiiforums.com
Kuna swali umeuliza?Mzee wa multiple ID.. Si unijibu au ujibu hayo maswali kwa ID yako hiyo hiyo
Ni kweli hawana spin doctors wazuri.Aniajiri mimi niwe mtu wake wa Propaganda..., hapo ningeweka maswali magumu yote yalivyo kwenye vichwa vya wananchi, nikachukua hio copy maswali nikampelekea mwezi mmoja kabla na kuleta magwiji wa kuyajibu hayo maswali..., ningemfanyia rehearsal, alafu nikatafuta presenter ambae ni favourable nikampa hayo maswali aulize....
Easy like taking Candy from a Baby....
Kwahio to kujibu swali lako uoga Yes, Uduni Absolutely ila furthermore viongozi hawana Political Tacticians...
Una moyo!Kama Ayoub Rioba angekuwa yule aliekuwa anafanya vipindi kupitia ITV, bila shaka angekuwa na maswali yenye kutaka kujua Rais anawaza nini ana anatupeleka wapi.
Au kama ni Tido Mhando wa sasa Azam au Tido wa BBC sio Tido wa TBC, hapo napo tungeweza kuwa na maswali magumu kwa mepesi yanayowakilisha mahitaji na hisia za umma.
Au hata angekuwa Masoud Kipanya wa Clouds mmoja wa watangazaji wa Power Breakfast, napo tungepata kujua madam SSH anaposheherekea miaka 62 na takribani anaelekea kutimia mwaka mmoja akiwa CinC, tungekuwa na bonge ya session.
Ila waajiriwa wa serikali, magari yao STK/STJ/STL ambao uteuzi wa nafasi ya DG ni mamlaka ya kiserikali, kutakuwa na sense ya uwoga "kumbana" boss.
Ila kama kurugenzi ya mawasiliano ingekaa na madam ili kutengeneza sense ya kuandaa session ambayo legends kama Tido wanaweza kualikwa, bila shaka ingekuwa session nzuri zaidi ya hii ya leo.
JPM alijaribu mara moja pale IKULU kuwa na wanahabari wote, akawepo Tido; kuna swali zuri sana toka kwa Paskali Mayala kuhusu separation of power, majibu yalileta mjadala ila ujasiri wa Mayala kuuliza swali gumu na mhusika kujibu na mjadala ukaendelea, hiyo inakuwa bonge ya session.
Tutafika. Watu bado wanaogopa maisha ya kitaa kama nafasi zao wakipewa watu wengine.
Tido atabaki moja wa watangazaji mahiri ambae kuna wakati alipitia mawimbi makali, ila alisimama kulinda heshima ya kazi ambayo kaifanya kwa weledi na skills za hali ya juu akiwa BBC mpaka sasa.
Hapana sio woga bali ni kwamba anaulizwa na wafanyakazi walio chini yake,so technically hawawezi kumuuliza maswali magumuKwa mara nyingine tena, Rais wetu huyu Chifu Hangaya amefanya mahojiano na chombo cha habari.
Nimeangalia vipande vipande kadhaa vya mahojiano hayo na sijaona swali lolote lile lililo gumu aliloulizwa huyu chifu wetu.
Anaulizwa vi softballs tu. Naye anatoa majibu mepesi mepesi tu. Sijui mara anaingia mitandaoni, mara anacheza na wajukuu, mara sijui kusikiliza Taarab, yaani mambo mepesi mepesi tu.
Alisema[ga] Le Mutuz, viongozi wetu ni akisi yetu sisi wenyewe wananchi.
Nchi hii ina changamoto kibao. Ina viongozi waongo. Tena waongo wasio hata na haya.
Waandishi wa habari wanapata fursa ya kumhoji Rais aliyeshiriki kudanganya, hawamuulizi kwa nini yeye na wenzake huwa wanatudanganya.
Ni kwenye vijamhuri vya midizi tu kama Tanzania ambako viongozi waandamizi wa kiserikali chao wanawadanganya watu wao kuwa Rais wao ni mzima ilhali si mzima. Ni mgonjwa mahututi au ni marehemu tayari.
Halafu hakuna anayejali [ukinitoa mimi] kuwa kuwa amedanganywa na hakuna anayejali kuona kuwa kunakuwepo na uwajibikaji.
Juli umeacha kula kwenye vibanda vya wapemba ukiona nyumbani kunapikwa ugali dagaa??Kuna swali umeuliza?
Ila malizana kwanza na nyani ngabu maana mwenyewe umempenda. Mpelekee harage hilo
Walio chini yake kivipi? Kwamba ni wafanyakazi wa TBC, ambayo ni ya serikali?Hapana sio woga bali ni kwamba anaulizwa na wafanyakazi walio chini yake,so technically hawawezi kumuuliza maswali magumu
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Hakuna hata hotuba yake yenye controversial word bali sisi wasikilizaji tunajifanya tunajua kila kitu ndio tuko controversial,yaani hata mkinya mavi wenyewe bado mtajifanta kuqa mbajua kila kitu nyie hamkunya,uselessHangaya ni bora wamuulize maswali hayohayo soft, wakimuuliza magumu anajichanganya sana. Wewe angalia tu hata zile hotuba za kusoma, ni lazima utaona anakoseakosea sana na lazima kuwa na maneno controversial.
Hivyo mimi nashauri waendelee kuuliza hahohayo maswali ya kawaida
Iseee!!....😄😄Nimejiunga jf kabla yako, amini hivyo Ila sijafikia hatua hii yako[emoji116]
Nyani Ngabu the JF Superstar
Wasalaam wanabodi.. Nimekuwa nikijiuliza hili swali mara kadha wa kadhaa, Hivi kuna ambaye hamfahamu Nyani Ngabu humu JF? Ni kwanini Nyani ni maarufu sana humu JF? Hili swali ningeomba Nyani wenyewe anijibu.. Lakini pia, hivi kuna mrembo yeyote humu JF ambaye hamfagilii Nyani na swagg zake za...www.jamiiforums.com
Unataka kubisha nini?Hakuna hata hotuba yake yenye controversial word bali sisi wasikilizaji tunajifanya tunajua kila kitu ndio tuko controversial,yaani hata mkinya mavi wenyewe bado mtajifanta kuqa mbajua kila kitu nyie hamkunya,useless
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Wanaogopa kutumbuliwa au kubambikiwa kesi za uongo!Nchi hii ina changamoto kibao. Ina viongozi waongo. Tena waongo wasio hata na haya.
Waandishi wa habari wanapata fursa ya kumhoji Rais aliyeshiriki kudanganya, hawamuulizi kwa nini yeye na wenzake huwa wanatudanganya.
Salim ni kijani kama alivyo Baruan.Walio chini yake kivipi? Kwamba ni wafanyakazi wa TBC, ambayo ni ya serikali?
BBC nayo inamilikiwa na serikali ya Tanzania?
Kisa kufanya kazi zao? Seriously?Wanaogopa kutumbuliwa au kubambikiwa kesi za uongo!
Kwa mara nyingine tena, Rais wetu huyu Chifu Hangaya amefanya mahojiano na chombo cha habari.
Nimeangalia vipande vipande kadhaa vya mahojiano hayo na sijaona swali lolote lile lililo gumu aliloulizwa huyu chifu wetu.
Anaulizwa vi softballs tu. Naye anatoa majibu mepesi mepesi tu. Sijui mara anaingia mitandaoni, mara anacheza na wajukuu, mara sijui kusikiliza Taarab, yaani mambo mepesi mepesi tu.
Alisema[ga] Le Mutuz, viongozi wetu ni akisi yetu sisi wenyewe wananchi.
Nchi hii ina changamoto kibao. Ina viongozi waongo. Tena waongo wasio hata na haya.
Waandishi wa habari wanapata fursa ya kumhoji Rais aliyeshiriki kudanganya, hawamuulizi kwa nini yeye na wenzake huwa wanatudanganya.
Ni kwenye vijamhuri vya midizi tu kama Tanzania ambako viongozi waandamizi wa kiserikali chao wanawadanganya watu wao kuwa Rais wao ni mzima ilhali si mzima. Ni mgonjwa mahututi au ni marehemu tayari.
Halafu hakuna anayejali [ukinitoa mimi] kuwa kuwa amedanganywa na hakuna anayejali kuona kuwa kunakuwepo na uwajibikaji.
Mi sitaki majibu magumu. Nataka majibu tu ya maswali yenye maslahi na taifa.Wewe ulitaka upewe majibu magumu magumu kama yapi?
Mkuu wakati Nyerere anataka Dodoma iwe mji mkuu, imechukua muda mrefu sana mpaka kaingia Mkapa ndipo shughuli nyingi zikahamia Idodomya na karimjee ikawa basi tena.Una moyo!
Kwamba tutafika tu??!!!
Wake me up when we get there.
Hujayaskia au hujaelewa?Mi sitaki majibu magumu. Nataka majibu tu ya maswali yenye maslahi na taifa.
Wewe hutaki hayo majibu?