Ni uoga au ni uwezo duni wa waandishi wetu wa habari?

Ni uoga au ni uwezo duni wa waandishi wetu wa habari?

Joined 2021..
Nimejiunga jf kabla yako, amini hivyo Ila sijafikia hatua hii yako[emoji116]
 
Nimejiunga jf kabla yako, amini hivyo Ila sijafikia hatua hii yako[emoji116]
Mzee wa multiple ID.. Si unijibu au ujibu hayo maswali kwa ID yako hiyo hiyo
 
Aniajiri mimi niwe mtu wake wa Propaganda..., hapo ningeweka maswali magumu yote yalivyo kwenye vichwa vya wananchi, nikachukua hio copy maswali nikampelekea mwezi mmoja kabla na kuleta magwiji wa kuyajibu hayo maswali..., ningemfanyia rehearsal, alafu nikatafuta presenter ambae ni favourable nikampa hayo maswali aulize....

Easy like taking Candy from a Baby....

Kwahio to kujibu swali lako uoga Yes, Uduni Absolutely ila furthermore viongozi hawana Political Tacticians...
Ni kweli hawana spin doctors wazuri.

Ila uozo kuanzia juu, katikati, mpaka chini.

Sad.
 
Kama Ayoub Rioba angekuwa yule aliekuwa anafanya vipindi kupitia ITV, bila shaka angekuwa na maswali yenye kutaka kujua Rais anawaza nini ana anatupeleka wapi.

Au kama ni Tido Mhando wa sasa Azam au Tido wa BBC sio Tido wa TBC, hapo napo tungeweza kuwa na maswali magumu kwa mepesi yanayowakilisha mahitaji na hisia za umma.
Au hata angekuwa Masoud Kipanya wa Clouds mmoja wa watangazaji wa Power Breakfast, napo tungepata kujua madam SSH anaposheherekea miaka 62 na takribani anaelekea kutimia mwaka mmoja akiwa CinC, tungekuwa na bonge ya session.

Ila waajiriwa wa serikali, magari yao STK/STJ/STL ambao uteuzi wa nafasi ya DG ni mamlaka ya kiserikali, kutakuwa na sense ya uwoga "kumbana" boss.

Ila kama kurugenzi ya mawasiliano ingekaa na madam ili kutengeneza sense ya kuandaa session ambayo legends kama Tido wanaweza kualikwa, bila shaka ingekuwa session nzuri zaidi ya hii ya leo.

JPM alijaribu mara moja pale IKULU kuwa na wanahabari wote, akawepo Tido; kuna swali zuri sana toka kwa Paskali Mayala kuhusu separation of power, majibu yalileta mjadala ila ujasiri wa Mayala kuuliza swali gumu na mhusika kujibu na mjadala ukaendelea, hiyo inakuwa bonge ya session.

Tutafika. Watu bado wanaogopa maisha ya kitaa kama nafasi zao wakipewa watu wengine.

Tido atabaki moja wa watangazaji mahiri ambae kuna wakati alipitia mawimbi makali, ila alisimama kulinda heshima ya kazi ambayo kaifanya kwa weledi na skills za hali ya juu akiwa BBC mpaka sasa.
Una moyo!

Kwamba tutafika tu??!!!

Wake me up when we get there.
 
Kwa mara nyingine tena, Rais wetu huyu Chifu Hangaya amefanya mahojiano na chombo cha habari.

Nimeangalia vipande vipande kadhaa vya mahojiano hayo na sijaona swali lolote lile lililo gumu aliloulizwa huyu chifu wetu.

Anaulizwa vi softballs tu. Naye anatoa majibu mepesi mepesi tu. Sijui mara anaingia mitandaoni, mara anacheza na wajukuu, mara sijui kusikiliza Taarab, yaani mambo mepesi mepesi tu.

Alisema[ga] Le Mutuz, viongozi wetu ni akisi yetu sisi wenyewe wananchi.

Nchi hii ina changamoto kibao. Ina viongozi waongo. Tena waongo wasio hata na haya.

Waandishi wa habari wanapata fursa ya kumhoji Rais aliyeshiriki kudanganya, hawamuulizi kwa nini yeye na wenzake huwa wanatudanganya.

Ni kwenye vijamhuri vya midizi tu kama Tanzania ambako viongozi waandamizi wa kiserikali chao wanawadanganya watu wao kuwa Rais wao ni mzima ilhali si mzima. Ni mgonjwa mahututi au ni marehemu tayari.

Halafu hakuna anayejali [ukinitoa mimi] kuwa kuwa amedanganywa na hakuna anayejali kuona kuwa kunakuwepo na uwajibikaji.

Hapana sio woga bali ni kwamba anaulizwa na wafanyakazi walio chini yake,so technically hawawezi kumuuliza maswali magumu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kuna swali umeuliza?
Ila malizana kwanza na nyani ngabu maana mwenyewe umempenda. Mpelekee harage hilo
Juli umeacha kula kwenye vibanda vya wapemba ukiona nyumbani kunapikwa ugali dagaa??
 
Hapana sio woga bali ni kwamba anaulizwa na wafanyakazi walio chini yake,so technically hawawezi kumuuliza maswali magumu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Walio chini yake kivipi? Kwamba ni wafanyakazi wa TBC, ambayo ni ya serikali?

BBC nayo inamilikiwa na serikali ya Tanzania?
 
Hangaya ni bora wamuulize maswali hayohayo soft, wakimuuliza magumu anajichanganya sana. Wewe angalia tu hata zile hotuba za kusoma, ni lazima utaona anakoseakosea sana na lazima kuwa na maneno controversial.

Hivyo mimi nashauri waendelee kuuliza hahohayo maswali ya kawaida
Hakuna hata hotuba yake yenye controversial word bali sisi wasikilizaji tunajifanya tunajua kila kitu ndio tuko controversial,yaani hata mkinya mavi wenyewe bado mtajifanta kuqa mbajua kila kitu nyie hamkunya,useless

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Nimejiunga jf kabla yako, amini hivyo Ila sijafikia hatua hii yako[emoji116]
Iseee!!....😄😄
 
Hakuna hata hotuba yake yenye controversial word bali sisi wasikilizaji tunajifanya tunajua kila kitu ndio tuko controversial,yaani hata mkinya mavi wenyewe bado mtajifanta kuqa mbajua kila kitu nyie hamkunya,useless

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Unataka kubisha nini?
Kwa uchache tu, Ni yeye aliyesema wenzake na mbowe wameshafungwa
Tuna akiba ya dola bilion 6000
Ni yeye alisema hatujawahi kuwa na shule za private kabla ya uhuru
 
Nchi hii ina changamoto kibao. Ina viongozi waongo. Tena waongo wasio hata na haya.

Waandishi wa habari wanapata fursa ya kumhoji Rais aliyeshiriki kudanganya, hawamuulizi kwa nini yeye na wenzake huwa wanatudanganya.
Wanaogopa kutumbuliwa au kubambikiwa kesi za uongo!
 
Kwa mara nyingine tena, Rais wetu huyu Chifu Hangaya amefanya mahojiano na chombo cha habari.

Nimeangalia vipande vipande kadhaa vya mahojiano hayo na sijaona swali lolote lile lililo gumu aliloulizwa huyu chifu wetu.

Anaulizwa vi softballs tu. Naye anatoa majibu mepesi mepesi tu. Sijui mara anaingia mitandaoni, mara anacheza na wajukuu, mara sijui kusikiliza Taarab, yaani mambo mepesi mepesi tu.

Alisema[ga] Le Mutuz, viongozi wetu ni akisi yetu sisi wenyewe wananchi.

Nchi hii ina changamoto kibao. Ina viongozi waongo. Tena waongo wasio hata na haya.

Waandishi wa habari wanapata fursa ya kumhoji Rais aliyeshiriki kudanganya, hawamuulizi kwa nini yeye na wenzake huwa wanatudanganya.

Ni kwenye vijamhuri vya midizi tu kama Tanzania ambako viongozi waandamizi wa kiserikali chao wanawadanganya watu wao kuwa Rais wao ni mzima ilhali si mzima. Ni mgonjwa mahututi au ni marehemu tayari.

Halafu hakuna anayejali [ukinitoa mimi] kuwa kuwa amedanganywa na hakuna anayejali kuona kuwa kunakuwepo na uwajibikaji.


Wewe ulitaka upewe majibu magumu magumu kama yapi?
 
Una moyo!

Kwamba tutafika tu??!!!

Wake me up when we get there.
Mkuu wakati Nyerere anataka Dodoma iwe mji mkuu, imechukua muda mrefu sana mpaka kaingia Mkapa ndipo shughuli nyingi zikahamia Idodomya na karimjee ikawa basi tena.
Nyerere alitaka kujenga bwala la umeme, mpaka anaondoka hapakuwa hata na dalili, leo hii linajengwa na tunasubiri crane toka ughaibuni kuja kuziba magati ya maji.
Nyerere alitamani kujenga daraja kati ya kagamboni na kivukoni, JK akaja akawa sehemu ya ndoto hiyo.
JPM kwa kukoswakoswa kuzama kwa mtumbwi kigongo busisi akiwa na pikipiki yake aina ya Honda, years later kawa mkulu ameacha ujenzi wa darala la kigongo busisi ili kurahisisha usafiri.

Yote hayo yamechukua muda ila yamefanyika.

Inawezekana kuna siku mwanao akaja kuwa mtu mwenye ushawishi nchi hii na kukawa na freedom of media to the extent ya kumweka "Mhe. Rais wa nchi Kitimoto".

Nihitimishe kwa kusema US ilipata uhuru 1776, Presidential debate ya kwanza ilikuwa 1960 kati ya alikuwa Senator John F. Kennedy na aliekuwa VP Richard Nixon.

Ipo siku, kama sio mie, kuna atakae kuamsha. Kama sio dunia hii basi ile ijayo.

F
 
Back
Top Bottom