Ni uoga au ni uwezo duni wa waandishi wetu wa habari?

Debates Marekani mbona zimeanza siku nyingi tu.

Lincoln - Douglas debates zimefanyika mwaka 1858.

Unaijua significance ya hizo debates?

1858 ni miaka 102 kabla ya 1960….
 
Kuna mwanahabari mwenye akili akafanya kazi TBC??
Wengi pale wanatema mate kwenye microphones wakisubiri teuzi!
Like really, unamuuliza Rais kuhusu "mdako"??
 
Kuna mwanahabari mwenye akili akafanya kazi TBC??
Wengi pale wanatema mate kwenye microphones wakisubiri teuzi!
Like really, unamuuliza Rais kuhusu "mdako"??
Go figure 🤣🤣🤣
 
Rais anapenda kuingia mitandaoni (kwa kauli yake mwenyewe).
 
Unalaumu Mwanahabari ? Kama tu Spika wa Bunge alichambwa na kudhalilishwa na mwishowe “kujiuzulu“ kwa kuhoji tu ije kuwa huyo Mwanahabari ?
Kwa hiyo unamtaka Job Ndugai aendelee kuwa Spika pamoja na udhalimu aliofanya dhidi ya uhuru wa Bunge na Demokrasia?

Kweli Watanzania hatujui tunachotaka
 
Mnapoona maswali hamna mkubali tu kuwa nchi inakwenda vizuri.

Tusitmegemee Rais Samia aulizwe maswali kama Rais Abiy Ahmed wa Ethiopia ambaye nchi yake iko vitani na watu wanaotaka kujitenga wa Tigray.
 
Azori Azori, ngabu kwa umakini wako wote hujui kwamba ukiuliza swali gumu watatokea watu sebuleni kwako bila kuwafungulia milango. Tuweni makini basi wazee nyakati nyingine.
 
Kwa hiyo unamtaka Job Ndugai aendelee kuwa Spika pamoja na udhalimu aliofanya dhidi ya uhuru wa Bunge na Demokrasia?

Kweli Watanzania hatujui tunachotaka

Aliyedhalilishwa na kudhihakiwa siyo Ndugai boyfriend bali ni Spika wa Bunge la JMTZ, do you get the picture?
 
Nyie wenye majigambo ya uelewa na uwezo mkubwa wa kufanya mambo mbona hatuoni impact yenu kwenye jamii? Mara nyingi ni porojo tu na majigambo yasiyokuwa na tija!
 
Debates Marekani mbona zimeanza siku nyingi tu.

Lincoln - Douglas debates zimefanyika mwaka 1858.

Unaijua significance ya hizo debates?

1858 ni miaka 102 kabla ya 1960….
Oh, you have a point boss wangu.

Pengine tusema national televised Presidential debate ndio ilianza na Kennedy na Nixon, hii niliweka kwa muktadha wa televised Tz Presidential birthday cake cutting which went after a talk with TBC Journalist.

Waingereza na ujanja wao wote na demokrasia na uhuru wa habari, 2015 ndio kukawa na televised debates.

Kiufupi, bado tuna safari ila tutafika siku moja.
 
Bro naona umemiss a point hapo,
Hio ilikuwa ni hafla ya birthday ya Mheshimiwa Mama Rais, so kuanza kuuliza maswali yasiyohusiana na mnasaba wa tukio ni kuivunjia heshima taaluma.. Hafla ya Birthday inahusiana na maisha binafsi ya mtu , hivyo wananchi watataka kusikia yahusuyo hayo maisha yake na si vinginevyo.. Maswali mengine ya kitaifa yana mahali pake mnasaba na sio pale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…