Ni upi utaratibu wa kumrudisha mke asiye na nidhamu nyumbani kwa wazazi wake?

Nawasiwasi mwamba anashindwa kumkabili wife.
 
Umenena vyema mkuu
 
Huyo mwanamke dawa yake ni ndogo.... Anza kulewa sana, ukirudi nyumbani uwe umelewa chakari, hata akikutukana ajue anamtukana mlevi

Mara nyingine uwe unalala nje, ili umtie stress sometimes unaamua kulala kwa malaya zako mwezi mzima bila kurudi nyumbani. Akipiga simu unawapa malaya zako unawaambia malaya zako wawe wanamtukana matusi makubwa....
 
Nashangaa watu wanasema mwanamke hapigwi. My bro hujakutana na mwanamke mwenye kibri na dharau... Mim kukua kwangu sikuwahi kumwona baba akimpiga mama wala ukoo hatuna desturi hiyo ila huu msaraba wangu nimejikuta nimembutua zaidi ya mara moja kitu ambacho si kizuri kbx kupigana ndani ya ndoa... Sasa hvi naona heshima utii vimerudi sasa anaelewa kila ninalomwambia
 

1. Tafuta nauli, nenda naye nyumbani kwao.
2. Ukifika waambie utamuacha binti yao hapo mpaka atakapokuwa na adabu na heshima. Waambie adabu waliyomfundisha haku-score alama nzuri ndio maana anakusumbua.

3. Waambie utakuja kumchukua mwenyewe kama ulimvyomleta.

4. Kisha huyo unatoka zako.
Usijibishane naye. Kuhusu hizo dharau na utovu wa adabu usiwasimulie wewe. Waambie binti yao atawaambia ukweli. Kama atashindwa au atatunga uongo hiyo ni juu yake na yao.

Kisha unatoka Nduki
 

Kwa nini umpige mtu mzima.
Fukuza.
Unajua wengi wanaoua Wake zao wanaua kwa mtindo huohuo bila ya kukusudia
 
Mkuu umemaliza yote tena ni Kama unanisema Mimi manake wanawake wanatiwa viburi na ndugu zao hasa Mama mzazi
Tena wanataka wawe juu yako ndani ya familia aisee hicho kitu hakiwezekani Bora aende hukooo
 

Hajamuoa.
Katoa tuu mahari(kamnunua)

Hivyo kumuacha anauwezo wala hahitaji kujishauri
 
Hadithi ya upande mmoja


Hivi na wewe ukizingua mke naye aseme atakurudisha kwenu?

Au anayepaswa kurudishwa kwao ni mwanamke tuu?
Mwanaume akikosea mwanamke hatakiwi Wala kumpazia sauti
Sansana labda atoe machozi na kuzidi kumuombea mume wake kwa Mungu
 
Duh yaani badala ya kua mpole kwanza apate ndoa ,mahari tu ndo anazingua hivyo?

We usiende kwanza kanisani,tulia kabisa

Matatizo ya Jamaa yapo kati ya haya;

1. Hamkojozi binti wa Watu.
Mke ukimkojoza hawezi kukusumbua kamwe.

2. Hajiamini
Mwanaume anayejiamini anauhakika wa kuoa Mwanamke mzuri mwingine. Hivyo mkewe hawezi kumsumbua

3. Anampenda kupitiliza.
Lakini kumpenda mtu kupitiliza hakumfanyi Mwanamke akudharau ikiwa unamkojoza
 
.
Hata dunia zima mpaka nipate anaye-fit mfumo wangu.

Hizo kauli za utafukuza wangapi ni visingizio vya wanaume legelege. Unafukuza tuu.
haondoki mkuu lbd kama mlisogezana tu... Anakwambia tutabanana hapa hapa lbd uondoke wewe mim hapa nilishafika
 
Usiishi kwa kukojikosesha Furaha ya moyo wako,

Let it go.

Itafute Furaha yako ilipo uipate.
 
Wakati huo wewe ukiwa wiki nzima kwa malaya zako, na sisi bodaboda tunatumia hiyo fursa
 
Haya mambo ndo yananifanya nisimshirikishe mke wangu mambo muhimu ya maisha yetu (fedha, baadhi ya assets na mipango kingine ya familia). Vichwa box kama hawa ambao leo yupo,kesho mnaachana (hata kama mmefunga ndoa) ni wa kuwaweka mbali bila kusahau kuwapa michapio pale inapobidi.
 
Nafanya hivyo kesho
 
Hizo dharau zake ni zipi?
 
Mkuu umemaliza yote tena ni Kama unanisema Mimi manake wanawake wanatiwa viburi na ndugu zao hasa Mama mzazi
Tena wanataka wawe juu yako ndani ya familia aisee hicho kitu hakiwezekani Bora aende hukooo
The same to me yani mke akili zake zinaongozwa na Mama yake kila siri za ndani anaenda kusimulia kwa Mama yake adi the way tunafanya tendo la ndoa yani kiukweli inachosha sana huruma ni kwa mtoto lakini kwa hatua hii nimefika mwisho nimejichanganya kuoa kwenye familia ya watu wenye tabia za ajabu lakini nashukuru sijafunga ndoa kanisani hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…