Ni usafi mwanaume kukojoa kwa kuchuchumaa na kisha kutawadha baada kumaliza

Msichukulie utani, wako serious.

Kuna siku nilibanwa barabarani nikakimbilia choo cha msikitini. Nikaingia hata mlango sijafunga nikaanza kumwaga oil. Jamaa mmoja aliingia akaanza kuongea kwamba mambo gani haya mtu anakojoa amesimama, nadhani na viatu niliingia navyo wenzangu wanaaacha nje. Nilstaajabu mno!

Ukitanga kuingia msalani msikitini jipange, uchuchumae.
 
Ukichuchumaa kama umeshiba unatoa haja zote inadvertently
 
Ng'ombe asimame
Mbuzi asimame
Mbwa asimame
Mweha asimame
Afu mm nichuchumae?
 
Sasa tofauti ya mwanaume na mwanamke iko wapi?acheni masihara kwa mambo sirious.
 
Kwasababu kuna vimkojo huwa vinabakia mwishoni pale, hivyo haviepukiki hata ukichuchumamaa kama mnavotaka wewe na mleta uzi.

Hivyo vimkojo huwa havibaki ukiwa utavikamua kwa kujikohoza kohoza.
 
Mwanaume kukojoa huku amechuchumaa ni utamaduni wa kiarabu kutokana na aina ya mavazi waliyovaa enzi hizo, ila kama suruali ina zipu huwezi kuchuchumaa eti unakojoa tu.
 
Kwenye vyoo vya bar siwaoni hao waislamu Safi wakikojoga kwa kuchuchumaa au wakiosha ninihii zao baada ya kukojoa ?
Muislamu safi halewi wala hazini.
Ukimuona huyo mtu ujue tu kwa wakati huo huyo mtu si Muislamu. Uislamu hua unavuka kama zinavyo vuka NGUO, wakati wa kufanya mambo hayo mpaka atakapo maliza.
Na ndio maana kifo kikikukuta umo ndani ya mambo hayo wewe ni Fiinaari huna msamaha.
 
Basi sio huyo tu, rafiki yangu nae aliniadithia kwa mara ya kwanza aliwaona wanaume wanakojoa kwa kuchuchumaa na kuosha mali njia ya dsm kuelekea Dodoma .
 
Mwanaume kukojoa huku amechuchumaa ni utamaduni wa kiarabu kutokana na aina ya mavazi waliyovaa enzi hizo, ila kama suruali ina zipu huwezi kuchuchumaa eti unakojoa tu.
Wewe sio mstaarabu? Hivi unakojoa umesimama huku mikojo inakurukia halafu unasema ndio utamaduni mwema? Dah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…