ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Kama hakuna basi kunya wimaHivi kuna kiumbe cha kiume kilichoumbwa ambacho kikikojoa kinachuchumaa...?
Mbona unacheka [emoji19][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Kwahiyo ww huwa unachuchumaa mkuu ?
Sasa tofauti ya mwanaume na mwanamke iko wapi?acheni masihara kwa mambo sirious.Unless unakojoa polini kwenye majani, sehemu yene mchanga mwingi au vile vyoo special vya juu hasa vinavyokuaga stand za mabasi au vyoo vya kulipia au vile vya shimo la moja kwa moja unaweza ukasimama, ila hivi vyoo vya sink na kwengineko ni uchafu mwanaume kukojoa umesemama.
Ukikojoa kwa kusimama Mkojo unaruka na kuingia kwenye nguo, ukutani na chombo cha karibu cha kuhifadhia maji au kunawia.
Pia ni vizuri kuosha zakali yako baada ya kukojoa, sio baada ya kukojoa unaiingiza tu kwenye suluali na kufunga zipu.
Pia hakikisha umemaliza kila kitu ndio unawe na kuiingiza ndani vinginevyo kuna vidogo vidogo vinavyobakia vinakua vinakuja taratibu mwishoni na unaweza usifahamu.
Naomba kuwasilisha
Ndiyo maana hata urinals kwenye hotels n.k. zinawekwa kuruhusu mwanaume akojoe akiwa kasimama.Mwanaume rijali starti akojoe kasimama, hii Inaonyesha urijali wake.
Kwasababu kuna vimkojo huwa vinabakia mwishoni pale, hivyo haviepukiki hata ukichuchumamaa kama mnavotaka wewe na mleta uzi.Kojoa ukiwa umelenga tundu la choo.
Hakikisha unaingiza dushe ndani ikiwa tayari umemaliza mkojo wote.
Kwasababu kuna vimkojo huwa vinabakia mwishoni pale, hivyo haviepukiki hata ukichuchumamaa kama mnavotaka wewe na mleta uzi.
Simple kihivyo tu, labda uwe huna akili nzuri ndo huo mkojo utakurukia wakati tundu unaliona.
Teh teh teh teh...nyie raia bhana...haaa 😄😄Ashakum si matusi...
Ukijamba je? Ushuzi nao si uchafu? Nao unachuchumaa au ukijamba unavua chupi fasta na kuikung'utaa??
Mwanaume kukojoa huku amechuchumaa ni utamaduni wa kiarabu kutokana na aina ya mavazi waliyovaa enzi hizo, ila kama suruali ina zipu huwezi kuchuchumaa eti unakojoa tu.Hayo hata kwa mwanamke pia, Si mwanamme tu.
Mijanajike na mijana dume mingi haielewi usafi huo, wao ni kukojoa kwa kusimama tu na hawajioshi kabisa kwa maji, si wanawake wala wanaume. Hawana ustaarabu huo. Wana ustaarabu wa paka kunya mavi kujipaka.
Muislamu safi halewi wala hazini.Kwenye vyoo vya bar siwaoni hao waislamu Safi wakikojoga kwa kuchuchumaa au wakiosha ninihii zao baada ya kukojoa ?
Basi sio huyo tu, rafiki yangu nae aliniadithia kwa mara ya kwanza aliwaona wanaume wanakojoa kwa kuchuchumaa na kuosha mali njia ya dsm kuelekea Dodoma .Mara ya kwanza kuona mwanamme MTU mzima anakojoa amechuchumaa ni kipindi nasafiri na magari ya Tanga wakati wa kuchimba dawa porini.
Kuna mwingine alienda mbele zaidi badala ya kutingisha kengele yeye alimuosha abdala kichwa wazi.
Seriously watu wa Tanga hii ndio kitu gani mwanamme anakojoa amechuchumaa?
Nimeshangaa Sana.Hivi kuna kiumbe cha kiume kilichoumbwa ambacho kikikojoa kinachuchumaa...?
Wewe sio mstaarabu? Hivi unakojoa umesimama huku mikojo inakurukia halafu unasema ndio utamaduni mwema? Dah!Mwanaume kukojoa huku amechuchumaa ni utamaduni wa kiarabu kutokana na aina ya mavazi waliyovaa enzi hizo, ila kama suruali ina zipu huwezi kuchuchumaa eti unakojoa tu.
Wanaume tokikojoa tuchuchumae, ukidhani umemaliza kila kitu linazuka jambo🤣🤣🤣Ngoja niangalie huu mjadala
Mambo ni mengi[emoji1787]