Ni wakati sahihi kwa Serikali kuanzisha sheria za PreNup Kwa Wanaotaka kuingia kwenye Ndoa kupeusha matapeli

Ni wakati sahihi kwa Serikali kuanzisha sheria za PreNup Kwa Wanaotaka kuingia kwenye Ndoa kupeusha matapeli

Sasa hapa unachanganya mambo ya uhalisia kwenye masuala ya kiimani. Kuna wanaoamini kuwa Israel ni watoto wateule wa MUNGU na vyumbani kwao kuna bendera za Israel.

Umetaja amri za Mungu na mimi ndio nikakuambia amri hizo ambazo alipewa musa hiyo ilikuwa ni katiba ya taifa la waisraeli ambalo Mungu alitaka kulianzisha.

Sheria hizo baadaye waisraeli walikataa kutawaliwa na Mungu wakataka nao wawe na mfalme kama mataifa mengine. Hujasoma kitu kama hicho?
 
Umetaja amri za Mungu na mimi ndio nikakuambia amri hizo ambazo alipewa muda hiyo ilikuwa ni katiba ya taifa la waisraeli ambalo Mungu alitaka kulianzisha.
Ndo wenye imani sasa wamezichukua zikawa sheria zao za kiimani na kuna adhabu ya moto usipozifata.
Sheria hizo baadaye waisraeli walikataa kutawaliwa na Mungu wakataka nao wawe na mfalme kama mataifa mengine. Hujasoma kitu kama hicho?
Ni kweli waisrael walihitaji mfalme.
 
Ndo wenye imani sasa wamezichukua zikawa sheria zao za kiimani na kuna adhabu ya moto usipozifata.

Ni kweli waisrael walihitaji mfalme.

Imani haina sheria Mkuu. Ila dini zinasheria.
Akili hazina sheria ila Elimu zinazo.
Tofautisha hayo mambo.

Unapozungumzia sheria Unazungumzia Mamlaka na Utawala.
Sasa kama waisraeli walikataa utawala na Mamlaka ya Mungu sheria zake utasemaje wenye imani wamezichukua?

Kwa mfano kama imani inasheria,
Tuambie mtu akizini kwa Mujibu wa ukristo anatakiwa afanyajwaje? Yaani adhabu yake
 
Ni suala la kiimani, usililete kwenye uhalisia. Kiimani Mariam mchumba wa Yusufu alipata mimba kwa uwezo wa MUNGU roho akazaliwa MUNGU mwana. Kiimani, narudia tena, kiimani. Usianze mambo ya uhalisia hapa ya mtoto anapatikanaje.
kumbe alikuwa mchumba wa yusufu Tena.
Basi Ina paswa awe mtoto wa yusufu bhana.

Huyo Mungu mwana ndo yukoje??,
 
Imani haina sheria Mkuu. Ila dini zinasheria.
Akili hazina sheria ila Elimu zinazo.
Tofautisha hayo mambo.

Unapozungumzia sheria Unazungumzia Mamlaka na Utawala.
Sasa kama waisraeli walikataa utawala na Mamlaka ya Mungu sheria zake utasemaje wenye imani wamezichukua?

Kwa mfano kama imani inasheria,
Tuambie mtu akizini kwa Mujibu wa ukristo anatakiwa afanyajwaje? Yaani adhabu yake
Okey boss
 
kumbe alikuwa mchumba wa yusufu Tena.
Basi Ina paswa awe mtoto wa yusufu bhana.

Huyo Mungu mwana ndo yukoje??,
Yusufu alishtuka ila alieleweshwa na akaambiwa asimuache Mariam na akaelewa.

MUNGU mwana ni yule aliyefia msalabani kwa ajili ya wenye dhambi na kufufuka siku ya tatu. Soma maandiko boss.
 
Yusufu alishtuka ila alieleweshwa na akaambiwa asimuache Mariam na akaelewa.

MUNGU mwana ni yule aliyefia msalabani kwa ajili ya wenye dhambi na kufufuka siku ya tatu. Soma maandiko boss.
Yesu ni nabii Kama manabii wengine, yeye mwenyewe Ali ogopa Hadi kifo.
Usimpe cheo kisicho chake bhana
 
Hii kitu inaweza kusaidia kwa kiasi fulani.
Uhalisia ni kwamba kila mtu atakuwa anatazama maisha yake na jinsi gani apambane kuongeza mali zake.

Prenup ni nzuri lakini itaua ndoa mazima.
Kama mwanamke anaingia ndani ya ndoa akifahamu mali fulani za mume wangu ni za kwake mwenyewe, there’s no way akawa submissive kwa % kubwa.

atafanya juhudi ya kutafuta pesa zake kwa nguvu.

Prenup itakuja kusababisha ndoa zisiwepo kabisa kuliko hali ilivyo sasa.
Itapendeza sana nakwambia
 
NI WAKATI SAHIHI KWA SERIKALI KUANZISHA SHERIA ZA PRENUP KWA WANAOTAKA KUINGIA KWENYE NDOA KUEPUSHA MATAPELI.

Anàandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Huwezi ukawa na sheria ya Talaka alafu muda huohuo isiwepo sheria ya PreNup. Huko ni kutengeneza mazingira ya utapeli, dhulma na kuifanya ndoa isiwe ya Haki.

Ni wakati sasa Serikali ipeleke mswada bungeni ili iundwe sheria ya PreNup Yaani makubaliano ya Wenza hasa Wachumba kuhusu mgawanyo wa mali utakavyokuwa kabla hawajaingia ndoani pindi tuu wakapoachana.

Kama kweli Watu wapo Serious na ulimwengu wa sasa na wanataka ndoa ziendelee kuwepo basi sheria ya PreNup haitaepukika. Vinginevyo idadi ya Watu wanaokimbia na kuipinga ndoa itazidi kuongezeka maradufu.

Vijana wengi wa sasa wanajifunza mengi hasa yale mabaya yanayotokana na ndoa. Wanaona wanaume wengi wakipasuka na kuchukuliwa mali zao na wale walioitwa wenza wao.

Vijana hawataki kuoa. Moja ya sababu yao kubwa ni hiyo ya kugawana Mali.
Jasho la mtu haliliwi, lazima mtu aonee uchungu jasho lake. Ingawaje matapeli na wenye dhulma vijana hawa hawana hoja lakini ukifuatilia vijana wanahoja.

Unataka tuingie Ndoani tunasaini makubaliano ya kugawana mali endapo itatokea tutaachana.
Hii itafanya kila mmoja afanye kazi kwa bidii.
Pili hii itadhihirisha mapenzi ya kweli ya wahusika hasa wanawake ambao wengi ni walemavu wa akili na ombaomba ambao hutaka mserereko.

Hii itachochea nguvu kazi yote ya nchi hasa rasilimali Watu kutumika ipasavyo,

Hii itaepusha malalamiko ya wanaume kuwa wanatapeliwa mali na nguvu zao. Lakini pia itachochea wanawake kufanya kazi na kutodhulumiwa haki zao hasa za jasho lako.

Masuala ya Dini hapa hayana nafasi kwa sababu sisi sio dini moja.
Masuala ya utamaduni hapa hayana nafasi kwa sababu sisi sio Kabila wala ukoo mmoja.
Masuala ya kusema dini sijui utamaduni wetu hizo ni kauli za kisiasa ambazo zimekaa kitapeli tapeli. Sisi sio Dini moja, hatuabudu Mungu mmoja, hatutoi kabila moja.

Sheria ndio itakuwa muongozo wetu. Masuala ya kusema utamaduni wa Muafrika ni kauli za kijanja janja. Afrika ina makabila zaidi ya elfu moja yenye tamaduni tofauti. Huo utamaduni ni upi unaoitwa utamaduni wetu.

Kama tumeamua kufanya muingiliano wa Watu iwe kikabila au kidini huwezi leta mambo ya utamaduni wetu wakati sisi ni Watu kutoka maeneo tofautitofauti. Hapo kinachotakiwa ni kuunda sheria mpya za Watu walioamua kuchangamana.

Vinginevyo hili kundi la kataa ndoa na idadi ya single Mothers itaongezeka kila kukicha na itafikia hatua ndio itakuwa maisha ya jamii yetu.

Ndoa itaonekana ni utapeli, dhulma, ujanjaujanja.

Sheria hii itaepusha maisha ya kubet bet. Maisha yasiyo na uhakika.
Yaani ati ndoa au kupata mwenza inachukuliwa kama mchezo wa kubet wakati tunaweza kuweka sheria ili Watu waishi maisha ya uhakika. Huu ni ujinga wa hali ya juu.

Hii itasaidia pia kuondoa tamaa kwa wale wanaotaka kuoa au kuolewa na Watu wasio hadhi sawa ili wapate Mali. Kila mmoja ataoa au kuolewa na mtu wa hadhi yake, wanaofanana kama ilivyo kanuni ya asili kuwa ndege wafananao huruka pamoja.

Wewe kama ni maskini kaoe au kaolewe na maskini mwenzako ili siku mkiachana usijisikie vibaya mnapogawana mali kwa sababu uwiano utakuwa unakaribiana.

Lakini wewe kipato chako ni laki moja, unaolewa na mtu mwenye kipato cha milioni tano alafu siku mkitaka kugawana mali baada ya kutengana mnaanza kukamiana kwa sababu huyu mwenye kipato kikubwa ataona amedhulumiwa alafu na wewe utajifanya unataka nyingi kisa ulichangia vitu vilivyoonekana.

Nimemaliza.
Acha Nipumzike

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
" you are REAL GENIOUS",,,,may GOD bless you sir!!!
 
Hii kitu inaweza kusaidia kwa kiasi fulani.
Uhalisia ni kwamba kila mtu atakuwa anatazama maisha yake na jinsi gani apambane kuongeza mali zake.

Prenup ni nzuri lakini itaua ndoa mazima.
Kama mwanamke anaingia ndani ya ndoa akifahamu mali fulani za mume wangu ni za kwake mwenyewe, there’s no way akawa submissive kwa % kubwa.

atafanya juhudi ya kutafuta pesa zake kwa nguvu.

Prenup itakuja kusababisha ndoa zisiwepo kabisa kuliko hali ilivyo sasa.
Itasababisha maendeleo kuwa makubwa baina ya wanandoa.
 
Uhitaji PreNup na inakuaje uoe tapeli? Tatizo sisi watu wa kizazi hiki utandawazi unatuaribia dada zetu.

Kwa sababu huwezi jua nafsi ya mtu na Watu hubadilika. Leo yupo hivi kesho yuko vile.
Na ndio maana kuna mikataba ili kuzuia kugeukana au kutapeliana
 
Back
Top Bottom