Ni wakati sasa kwa Serikali kumuomba radhi Tundu Lissu aliyeshauri mapema kuachana na madai ya Barrick

AMEN
 
U
Ndio maana umesema ni wewe , kaa ukifahamu kuna watu walihitaji chanjo pia kwanini wanyimwe haki hiyo na kushurutishwa kunywa michanyato.
 
Watasamehe vipi kitu wasicho dai kwa accacia?

Labda wasamehe tozo
 
Lissu again has proven them Wrong
 
Aliyesema tutashitakiwa Miga aombwe msamaha kwa lipi au atuombe radhi sisi kwa aliyotuhadaa kwa kutaka kututia uwoga

Na JPM angeliogopa tusingepata 700b yetu

Yeye Lissu atuombe msamaha sisi
MIGA naona wengi wetu wameshikilia kushtakiwa lakini wamesahau tulifikaje huku. Serikali yetu sikivu ilianza kutishia KUTAIFISHA mali za acacia na ndipo lissu akashauri mkienda kichwa kichwa mtapelekwa mahakamani. Kama nia yenu ni hiyo lazima kwanza mjitoe MIGA. JPM akaspin kuwa lissu anasema tukiwachukulia hatua acacia tutashitakiwa. Wengi wakamwamini JPM na kumuona lissu mtu wa ajabu. Serikali hawakutaifisha hivyo issue ya Miga ikawa mfu.
 
Mwigulu amethibisha jana kuwa serikali imenyosha mikono.

Lissu ni genius hakurupuki na hajawahi kukurupuka.
 
Negotiation skills ya high level,
Hamuwez kuelewa ule mchezo ulichezwaje, ila its was a perfectly executes negotiations, kuanzia kwenye madini mpaka kwenye mawasiliano.
 
Lissu ni foreseer
 
Hivi ni halali kuiita ripoti za Professor Osoro na Mruma kuwa Professorial Rubish kabla kufanya utafiti mwingine wa kisayansi ili kupata matokeo sahihi.Kwa sasa mtazamo wangu katika taaluma ya Research mpaka sasa Ripoti za Professor Osoro na Mruma ni sahihi mpaka pale itakapofanywa study nyingine.Kwaiyo katika jicho la kitafiti yeye Lissu hoja zake ndiyo Rubish!
Kwa wale ambao tupo au tumewahi kufanya kazi za Research and Consultancy nadhani mmenielewa
 
Pia unaweza kukokotoa namna hii.

300 000 000 ÷ 191 000 000 000 =

(3 ÷ 1910 ) × 100 = 0.157 %

Barrick wamelipa 0.16% ya deni lote.

Makisio ya haraka ni sawa na mtu akuibie sh 1000 halafu wewe ukubali akulipe senti 16.
Wangelipa hata asilimia 20% ya deni lote japo kwa awamu, kulipa tsh. 0.7tril kati ya tsh. 400+trilion ni dharau au walitulisha propaganda hawa inzi wa kijani. Pumbafu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…