Ni wakati sasa kwa Serikali kumuomba radhi Tundu Lissu aliyeshauri mapema kuachana na madai ya Barrick

Kimenuka !!
 
Kifupu Trab na Trat ni daily terms kwake zinatakiwa ziwe kwenye ziwe kwenye fingertips.

Lakini sasa....ya ya ya yasami.....ya...!!
 
Noah zimeyeyuka.
 
Kwa lipi? Makubaliano yaliyofikiwa manufaa yake ni endelevu maana zingepatikana hizo pesa sasa hivi wangekuwa wanagawana watawala na kuuana weneywe kwa wenyewe ili kupata nafasi ya urasi ili azitafune ni bora kidogo ambacho ni endelevu kwa vizazi na vizazi......tamaa ya majizi ilikomeshewa hapo
 
alifikia hatua ya kujenga uwanja wa ndege kwao chato ili atoroshe madini yetu kwenda Rwanda . bado yapo mazuzu yalimshangilia.... kuna container la tanzanite lilipelekwa zima kwa kagame, halikuwa na document yeyote lilikamatwa na akalazimisha lipite mwisho wa siku kagame akalipiga lotee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…