Unajua kwa mtaani yani sehemu za makazi ni jambo la aibu sana, unapita na watoto wako au wazazi ni jambo baya sanaMkuu, Kwani wao sio watu? 😳 Kula tunda sio lazima kuwe na kumbi za starehe. Mwenye kumiliki kumbi za starehe yupo na biashara yake binafsi na mdada yupo na biashara yake binafsi (Tofauti) na hawaingiliani.
...Fahari ya macho 🤠
Unafanya kazi Bar gan mkuu?Hapa ofisini wadangaji NI wengi Sana.
Wazee wa nyama hii ni habar kubwaKinyerezi mbuyuni
Sengerea chama
Noted
Huku yapo yakutosha ninayoyajua ni Kama 7 Mimi mwenyewe nilishangaa hadi huku porini ChanikaNineshangaa sana hadi chanika wana chimbo za kutosha aisee…..
Ni kweli hili liangaliwe lasivyo linaenda kuathiri kizazi kwa kiasi kikubwa sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kinyerezi mbuyuni
Sengerea chama
Noted
Chanika sehemu gani? Na ni wa umri gani? Watu wazima au vitoto vya elfu 2?
Mtaani kwetu hamna chimbo, nilisikia tu chanika mwisho wapo ila sijawahi kushuhudia.
Chanika ni kubwa bwashee
Sawa mkuu ni danguro au ?
Yes nimekuelewa Nina enda sana Chanika Nimejenga huko Nina namba za boda boda wa chanika ambazo nimezisave kwa jina: Bodaboda chanika . That's why I was saying am in my phone searching 4 bodaboda chanika.
Chanika mbona siwaonagi? Embu nitajie location zao
Huku yapo yakutosha ninayoyajua ni Kama 7 Mimi mwenyewe nilishangaa hadi huku porini Chanika
Ukiwa mkubwa utajua.Unafanya kazi Bar gan mkuu?
Sio kila biashara au kazi inapaswa kulipiwa kodiMimi nacho ona walipe kodi na wenyewe si biashara wanafanya.