Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Hivi wewe unaelewa maana ya kufanyakazi kwa bidii?Mkuu Mimi sio mkinga Ila nnaishi nao na nafanya nao kazi mpaka leo, nawajua in and out
Kuhusu ushirikina hakuna kabila lisilo na washirikina
Wakinga wanatoboa kwa njia kusaidiana, kufanya kazi kwa bidii bila kusahau ubahili uliopitilizaaa
Lema individual anawezaje kuharibu utalii?Naura hitel ni Mrema kafariki 2019. Yeye alikuwa na matatizo ya management kutokuwa wazi. Pili ujio wa JPM na namna God bless Lema alivyovuruga biashara ya utalii ili drop.
Wanyama Hotel ya Sinza ilipigwa mnada baada yabmwenyewe kufa. Alikuwa ni Mkinga alikiuka masharti.
IPP Group ya Rrginald Mengi iko solid chini ya wanaye hata baada ya yeye kufariki. Kuna kesi ya mirathi dhidi ya make mdogo Jack Ntuyabaliwe lakini itaendelea ku flourish.
Wakinga wana utajiri wa mikataba. Unapata pesa muda fulani halafu unakufa.
Kama mnabisha njooni mniue nipo Ubungo Kibo
Umeelewa kinachoongelewawewe Mkinga kweli mbona huna habari za Wakinga. Marekani walimchukua Mkinga mmoja alikuwa ana uwezo mkubwa wa hesabu aliajiriwa moja kwa moja NASA hajawahi kurudi Bongo kwa ajili ya unyeti wa taaluma yake. Mimi nilisoma naye Rungwe Alliance pamoja na Wakinga wengine bora kabisa akina marehemu Jaji Kyando. Msigwa kastaafu kazeeka bado haruhusiwi kutoka Marekani . Naweza kukutajia Wakinga wengi kwa wastani wa usomi wako juu ya makabila mengi hapa. Pia Wakinga wametawanyika Tanzania nzima. Morogoro, Tanga pia. Zungumzia unayoyafahamu usiyoyajua acha ndugu yangu.
Bila kusahau kaacha shamba la miti kijijini lina miaka minne,siku akivuna hela yote anaimwaga dukani,yanakuwa maajabu kwa wasio mjua.
Yaani unajudge kwa kutumia story za kusikia kwa watu? Hukuwahi sikia miaka Fulani Njombe mtu akifa walkuwa lazima waende kupiga ramli na aliyemroga lazima apatikane.Kumbe vifo vilikuwa vinatokana na Ukimwi.Nawe Leo unatumia story za kusikia kuwa huyu mchawi.Embu prove wewe Kama wewe unaprove vipi kwamba wakinga ni wachawi,achana na habari za kusikia.Wewe Kama wewe unaprove vipi habari za ushirikina na makafara?Mimi sio mshiikina kabisa, ila taarifa ninazo.Nilipokuwa Njombe Mkinga akifiwa na mtu wenyewe walikuwa wanasema, mbona haikuwa siri!?Halafu mbaya zaidi sasa, wamewaambukiza na watu wengine sasa.Nchi imekuwa ya makafara tu, biashara ni uchawi uchawi tu.
Mangula siyo mkinga. Ni mhehe.Wakinga wastaarabu sana.
Ona Mangula alovyopewa sumu, mzee wa watu akasamehe tu.
Masharti ya kutoacha wazi mlango ni kudhibiti tu mwingine asichungulie pesa.Zamani hata katika maisha ya kawaida kulikuwa na miiko mingi ukituatilia unakuta zilikuwa ni mbinu tu za kujiepuesha au kupambana na Jambo Fulani.Umenikumbusha mfanyibiashara mmoja wa mabasi Njombe aliyekuwa anaitwa Widambe.Naye alikuwa na chumba ambacho ndugu walikuwa hawaingii.Alifia Mnazi Mmoja kwa kukanyagwa na gari.Nasikia alivunja masharti ya kutoacha mlango wazi, mkewe akaingia akaona vimbwanga vilivyokuwemo.Naambiwa alikufa saa ile ile mkewe aliyofungua mlango.
Hivi yule Marehemu Akikweti alikuwa ni Mkinga?Wakinga wastaarabu sana.
Ona Mangula alovyopewa sumu, mzee wa watu akasamehe tu.
Ndio hatutajiriki tunapanga kutumia kabla ya kutafuta.Mwenzetu akitafuta tunasema mshirikinaLabda kahamia juzi tu. Lakini mpaka 2012 alikuwa anaishi eneo lisilopangwa (unsurveyed) pale Ilemi. Nyumba ilikuwa haina umeme.
Mara nyingi akiwa Mbeya hupatikana kwenye duka lake la jumla pale Mwanjelwa Stand. Naye hushiriki kubeba mizigo ya wateja ambao wamenunua na wanapakia kwenye mabasi.
Utajiri wa mateso sana ule
AiseeeGUSSIE kuwa tajiri anayemiliki gorofa kubwa au msululu wa basi halafu huwezi kula chakula kizuri na kuvaa mavazi mazuri ni utumwa.
Labda Fred Vunjabei tu ndiye mkinga ninaye muona anaishi kama binadamu. Wengine wote wanaishi kama Fuko au panya buku. Wengi wamewaweka wazaz wao misukule kwenye vyumba vya Siri ndani ya biashara zao.
Na wakivunja masharti hufilisika immediately. Ukinga ni utumwa
Anafikiri akipata milioni 100 basi kuimaintain iendelee kubaki au kuzalisha ni rahisi rahisi tu.Tujifunze kwa wale waliokuwa wanashiriki Big brother Africa walikuwa wanapata mamilioni lakini yanaisha yote.Kutunza hela na kuzalisha nyingine sio kazi ndogoWewe kuwa tajiri bado sana kwa akili yako hii mgando
Mkinga sio threat kwa mchaga kwenye biashara?Unajua dalili moja wapo ya umasikini ni kujadli mali za watu! Wakinga kweli hela wanayo ila jamii yao bado iko nyuma kielimu sana huwezi linganisha na wachaga au wahaya! Kwa mfano kwetu sisi wasukuma jamii yetu kipindi kirefu cha nyuma hatukuwekeza sana kwenye elimu kama wenzetu kwa hilo mimi huwa sibishi japokuwa kwa sasa tunawekeza sana kwenye elimu kama wenzetu wananavofanya siku zote! Ila wakinga bado wachaga washaanza harakati mda mrefu na kwenye biashara nyie sio threat kwao hata kidogo bora hata useme msukuma anaweza kuwa threat kwa mchaga kwa baadae kutokana na mabadiliko ya wasukuma na wingi wao kwenye utafutaji ila kinga big NO,
Mkinga sio threat mchaga yupo mbali sana shehe na mchaga kaenea zaidi!Mkinga sio threat kwa mchaga kwenye biashara?
Juma Akukweti alikuwa mtu wa Tunduru kama sikosei.
Huyo jamaa hawezi kuwa mhe..he...he..he...!🤣hata mla mbwa johnthebaptist anaelewa hii.
Mimi mwenyewe Mkinga. Hadithi yake ni ndefu. Mimi nimechukua sehemu ninayoifahamu aliyoizungumzia isivyo. Uchawi anazungumzia yeye mimi siufahamu ndiyo maana namshauri mwenzangu azidishe zaidi huko kama mimi ninavyozungumzia ninayo yafahamu ya sisi Wakinga. Kama uelewa wako ni mdogo basi usiuoneshe hadharani.Umeelewa kinachoongelewa
Soma taratibu kinachoongelewa kwenye mada
Mada inaongelea Siasa kwa wakinga ni kitu cha ziada
Wewe unaongelea mambo yako, Wakinga wapo kidogo sana huko kwao na wapo wengi Makete wilaya , Wasukuma wapo mikoa kibao mbona hawana influence kariakoo
Dar kwa sasa story ni wakinga
Mleta mada anawajua wakinga kama Tuntemeke Sanga na wengine
Hapa ishu ni utajiri wa wakinga
Wakinga wamekamata kariakoo kwa sasa, Siri ni kitu gani?
Mkuu Jadili mada
Je wakinga wanatumia uchawi, Huyo Mwakipande ni ndugu yake
Wewe unamfahamu Mwakipande?
Hakuna mtu aliyepinga kuwa Mwakipande yupo huko Ikonda, Wewe nani?
Ni MbenaMangula siyo mkinga. Ni mhehe.