Ni Waziri gani alikwenda gerezani kumshawishi Freeman Mbowe?

hivi Samia hakuwa naibu spika wa bunge la katiba?.....huu ni unafiki wa kiwango cha hali ya juu
 
Ni huyu huyu lema alijifanya kutabiri kifo cha Dkt Magufuli kumbe wana magenge ya kutaka kumuua yaani waliandaa mazingira kwa kutoa kauli
Kumbe walipanga mipango. Shame on them

Mbona sasa aliuawa?
 
Uongo tu na usanii wa lema kufikiri kwa kufanya hivyo anaongeza umashuhuri wa mbowe.
Mbowe hana lolote anapigania la maana hata kwa hao wamagharibi.
 
Alimpigia Lema kutoka kwenye simu zake zinazotumika kama.kidhibiti mahakamani au?
 
Gaidi no.1tulimzika Chato bado no, 20 naye siku zinahesabika
Mbowe lifie gerezani kabisa maana hii chuki mmeianzisha wenyewe, mlifanya sherehe bila kificho kifo cha mpendwa wetu
 
Kwa hiyo Lema,ndio chawa wa Mbowe hadi ayajue yeye hayo kabla ya Katibu wa Chama?

Na hiviiii wafungwa wanaruhusiwa kupiga simu tena kuongea na walio nje ya nchi?

Mfungwa ni Sabaya, Mbowe ni mahabusu….. nahisi nawe umechanganya kama sio kuchanganyikiwa.
 
Hamna kitu , tafuteni watu proffessional wa kutengeneza kiki
'Rais Magufuli atende haki, asipotenda haki, atakufa akiwa madarakani' - Lema

'Lengai tena haki, Magufuli unayemtegemea, siyo Mungu. Kuna siku utalipia uovu unaoutenda' - Lema

'Spika Ndugai asiwasumbue, siku zake za zimeisha' - Lema.

Lazima uwe huna akili, huna kumbukumbu, kuweza kumpuuza mtu wa namna hii.
 
Kwa Stress gani huyo Mbowe anazompa Rais hadi amtume Waziri akampange, yeye kua gerezani kuna kitu gani kimepungua ndio kwaaaaaanza anazidi kuchanja mbuga,

Mbowe aombe msamaha atolewe ataozea jela shauri zake.
Akiozea jera unawashwa na nini[emoji1]
 
Mazuri yote anayofanya Samia, ni sawa na jambazi akakirimia biriani. Ule, lakini haibadilishi chochote kuwa huyo aliyekupa ni jambazi.

Hakuna mtu mwema, mkweli na mwaminifu wa nafsi, anaweza kutumia madaraka yake kuwatesa watu wengine. Hila na uovu wa Samia dhidi ya Mbowe ni uthibitisho usio na shaka kwamba Samia ana Roho ya shetani. Mema anayoyafanya ni hila tu za kuwadanganya wasio na upeo.
 
Eti Mbowe alimpigia simu Lema bila kusahau time difference ya Tanzania na Canada tena akiwa gerezani!!
Za kusikia changanya na zako.
Nenda katunge tena ngonjera halafu rudi hapa ukiwa na uzushi ambao labda watu wanaweza kuuamini.
Cheki hii tikiti, time difference ndo inazuia watu kuwasiliana[emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…