Huo ujinga jaribuni kufanyia sehemu nyingine, msichezee motoView attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomora , Kilindi Tanga.
Kama imewezekana Ngorongoro huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.
NB
Sitaki matusi.
Kuhamisha watu wengi wenye common unifying factor kama dini, kabila au tabaka flan ni ngumu kinoma ndo maana huku Rufiji wanateswa na mafuriko miaka nenda rudi hawawezi hamishwaWajipambanie mwenyewe
🤣🤣🤣🤣Siyo kubwaHahahahaha kazi ipo
Na wasambaa, wasafwa, wabena, wahehe, wapogolo, wandamba, wavidunda, wazigua wahame plus wapareView attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomora , Kilindi Tanga.
Kama imewezekana Ngorongoro huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.
NB
Sitaki matusi.
NAUNGA MKONO HOJA WANAHARIBU MAZINGIRA, WAONDOLEWE APEWE MWEKEZAJI ATUNZE MAZINGIRAView attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomora , Kilindi Tanga.
Kama imewezekana Ngorongoro huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.
NB
Sitaki matusi.
Wapare wahamishwe tu 😁Na wasambaa, wasafwa, wabena, wahehe, wapogolo, wandamba, wavidunda, wazigua wahame plus wapare
Shukrani...Kwenye mbuga za wanyama karibia zote kulikuwa na watu wanaishi; ila baada ya sheria ya kuzilinda kupitishwa (baada ya uhuru) watu wote waliokuwa wanaishi ndani ya maeneo yenye wanyama walihamishwa na ndipo mipaka ikawekwa. Wamasai pia ilikuwa wahamishwe, ila ikaonekana kuwa, walikuwa wachache sana; na utamaduni wao wa kutokula wanyama pori na nyumba zao zilizokuwa rafiki wa mazingira zilionesha kuwa, hawakuwa na madhara kwa mazingira na kwa wanyama.
Sasa hivi wamasai wameongezeka sana, huko morogoro wamejaa lakini pia, utamaduni unaenda ukibadilika, kula na hata kujenga nyumba za kisasa ambazo sio rafiki wa mazingira yale.....
Na wasukuma wahamishwe maeneo ya lake victoriaView attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomora , Kilindi Tanga.
Kama imewezekana Ngorongoro huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.
NB
Sitaki matusi.
🤣🤣🤣Naona umeamua kutu'attack direct sasa..Nishafikafika mtani, niliishia hapa kati tu🤣🤣🤣
Ila watani mnapenda pombe..
Mawazo ya kilofa kabisaNasapoti hoja tusipowatoa haraka wachagga muda si mrefu watawauzia wakenya Mlima wote...halafu ukizingatia hawa watu ndugu zao wengi ni wakenya kuliko hata watanzania
Wivu tu kupenda pombe kuna ubaya gani😁😁😁🤣🤣🤣Naona umeamua kutu'attack direct sasa..
Tupo...Wachagaa mnaitwaa huku, kuna mtu ana jambo na nyie.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naunga mkono hoja,mlima Kilimanjaro miaka ya nyuma ilikuwa unaheshimika sana.Ila kizazi cha sasa kilichonzunguka mlima huo kina hatarisha mazingira,ujenzi holela ,vyanzo vya maji ,ona hata theluji ya mlima inavyoyeyuka.Ila kibaya zaidi mlima umezingukwa na makaburi kila upande,hili kabila kila Mtu akifariki hata huko aliko alijemga lazima arudishwe Kilimanjaro kuzikwa why?wakati nchi ni kubwa,kitendo cha mlima mrefu na mahala ambapo tunategemea watalii wafurike kwa wingi basi kumejazana makaburi .Na kingine wakazi wanaonzunguka mlima huu muhimu ni walevi wa kupindukia,huku mikoa mingine tumewapa maeneo ya kutosha na kuwapa fursa za biashara ikiwepo maduka madogomadogo maarifu kwa mangi nchi nzima Bado tu wanarudi kujenga majengo ambayo hawakai na kurudi kila mwisho wa mwaka kuchafua mazingira 😂😂😂jamani me mtani wenu tu😂😂View attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomora , Kilindi Tanga.
Kama imewezekana Ngorongoro huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.
NB
Sitaki matusi.
Nimekuelewa!! lakini onyo ni hili! SSH ataondoka saa nusu hakuna jeshi wala TISS watakawaweza wale majamaa! Hebu ajaribu tu kufikiria halafu ijulikane tu! SIYO kuandika wala kutenda!View attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomora , Kilindi Tanga.
Kama imewezekana Ngorongoro huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.
NB
Sitaki matusi.
Una bahati sana ,apo mwishoni😁Naunga mkono hoja,mlima Kilimanjaro miaka ya nyuma ilikuwa unaheshimika sana.Ila kizazi cha sasa kilichonzunguka mlima huo kina hatarisha mazingira,ujenzi holela ,vyanzo vya maji ,ona hata theluji ya mlima inavyoyeyuka.Ila kibaya zaidi mlima umezingukwa na makaburi kila upande,hili kabila kila Mtu akifariki hata huko aliko alijemga lazima arudishwe Kilimanjaro kuzikwa why?wakati nchi ni kubwa,kitendo cha mlima mrefu na mahala ambapo tunategemea watalii wafurike kwa wingi basi kumejazana makaburi .Na kingine wakazi wanaonzunguka mlima huu muhimu ni walevi wa kupindukia,huku mikoa mingine tumewapa maeneo ya kutosha na kuwapa fursa za biashara ikiwepo maduka madogomadogo maarifu kwa mangi nchi nzima Bado tu wanarudi kujenga majengo ambayo hawakai na kurudi kila mwisho wa mwaka kuchafua mazingira 😂😂😂jamani me mtani wenu tu😂😂
Shira haiwezi tena kulipuka...Tena Desemba watakuwa wanaenda Msomera!
Siyo Moshi tena!