Ni wazo tu: Wachaga wahamishwe maeneo ya Mlima Kilimanjaro!

Ni wazo tu: Wachaga wahamishwe maeneo ya Mlima Kilimanjaro!

View attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomora , Kilindi Tanga.

Kama imewezekana Ngorongoro huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.

NB
Sitaki matusi.
Huo ujinga jaribuni kufanyia sehemu nyingine, msichezee moto
 
Hiki ni kichekesho 😅😅😅😅😅
1724225538875.png

Am serious man!!
 
View attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomora , Kilindi Tanga.

Kama imewezekana Ngorongoro huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.

NB
Sitaki matusi.
Na wasambaa, wasafwa, wabena, wahehe, wapogolo, wandamba, wavidunda, wazigua wahame plus wapare
 
View attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomora , Kilindi Tanga.

Kama imewezekana Ngorongoro huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.

NB
Sitaki matusi.
NAUNGA MKONO HOJA WANAHARIBU MAZINGIRA, WAONDOLEWE APEWE MWEKEZAJI ATUNZE MAZINGIRA
 
Kwenye mbuga za wanyama karibia zote kulikuwa na watu wanaishi; ila baada ya sheria ya kuzilinda kupitishwa (baada ya uhuru) watu wote waliokuwa wanaishi ndani ya maeneo yenye wanyama walihamishwa na ndipo mipaka ikawekwa. Wamasai pia ilikuwa wahamishwe, ila ikaonekana kuwa, walikuwa wachache sana; na utamaduni wao wa kutokula wanyama pori na nyumba zao zilizokuwa rafiki wa mazingira zilionesha kuwa, hawakuwa na madhara kwa mazingira na kwa wanyama.
Sasa hivi wamasai wameongezeka sana, huko morogoro wamejaa lakini pia, utamaduni unaenda ukibadilika, kula na hata kujenga nyumba za kisasa ambazo sio rafiki wa mazingira yale.....
Shukrani...
Na Je Ngorongoro ni National Park au Conservation area?
 
View attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomora , Kilindi Tanga.

Kama imewezekana Ngorongoro huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.

NB
Sitaki matusi.
Na wasukuma wahamishwe maeneo ya lake victoria
Na watu huko zanzibar wote waondolewe kisiwa kibaki chenyewe tu watalii tu wawe wanaingia,au unasemaje

Ova
 
View attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomora , Kilindi Tanga.

Kama imewezekana Ngorongoro huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.

NB
Sitaki matusi.
Naunga mkono hoja,mlima Kilimanjaro miaka ya nyuma ilikuwa unaheshimika sana.Ila kizazi cha sasa kilichonzunguka mlima huo kina hatarisha mazingira,ujenzi holela ,vyanzo vya maji ,ona hata theluji ya mlima inavyoyeyuka.Ila kibaya zaidi mlima umezingukwa na makaburi kila upande,hili kabila kila Mtu akifariki hata huko aliko alijemga lazima arudishwe Kilimanjaro kuzikwa why?wakati nchi ni kubwa,kitendo cha mlima mrefu na mahala ambapo tunategemea watalii wafurike kwa wingi basi kumejazana makaburi .Na kingine wakazi wanaonzunguka mlima huu muhimu ni walevi wa kupindukia,huku mikoa mingine tumewapa maeneo ya kutosha na kuwapa fursa za biashara ikiwepo maduka madogomadogo maarifu kwa mangi nchi nzima Bado tu wanarudi kujenga majengo ambayo hawakai na kurudi kila mwisho wa mwaka kuchafua mazingira 😂😂😂jamani me mtani wenu tu😂😂
 
View attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomora , Kilindi Tanga.

Kama imewezekana Ngorongoro huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.

NB
Sitaki matusi.
Nimekuelewa!! lakini onyo ni hili! SSH ataondoka saa nusu hakuna jeshi wala TISS watakawaweza wale majamaa! Hebu ajaribu tu kufikiria halafu ijulikane tu! SIYO kuandika wala kutenda!
 
Naunga mkono hoja,mlima Kilimanjaro miaka ya nyuma ilikuwa unaheshimika sana.Ila kizazi cha sasa kilichonzunguka mlima huo kina hatarisha mazingira,ujenzi holela ,vyanzo vya maji ,ona hata theluji ya mlima inavyoyeyuka.Ila kibaya zaidi mlima umezingukwa na makaburi kila upande,hili kabila kila Mtu akifariki hata huko aliko alijemga lazima arudishwe Kilimanjaro kuzikwa why?wakati nchi ni kubwa,kitendo cha mlima mrefu na mahala ambapo tunategemea watalii wafurike kwa wingi basi kumejazana makaburi .Na kingine wakazi wanaonzunguka mlima huu muhimu ni walevi wa kupindukia,huku mikoa mingine tumewapa maeneo ya kutosha na kuwapa fursa za biashara ikiwepo maduka madogomadogo maarifu kwa mangi nchi nzima Bado tu wanarudi kujenga majengo ambayo hawakai na kurudi kila mwisho wa mwaka kuchafua mazingira 😂😂😂jamani me mtani wenu tu😂😂
Una bahati sana ,apo mwishoni😁
 
Tena Desemba watakuwa wanaenda Msomera!
Siyo Moshi tena!
Shira haiwezi tena kulipuka...

Mawenzi haiwezi tena kulipuka...


Ila si KIBO meku ....

Utani tu..natania kaka

KIBO iko "active" sasa siku VOLKANO ikilipuka na wananchi walioko karibu wakahamishwa kwa muda mfupi ama moja kwa moja watakuwa wamehamishwa na serikali ya JMT ili watalii na wawekezaji waje ?!! [emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom